Dodoma FM
Dodoma FM
17 October 2025, 3:19 pm
Picha ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum wakati wa uzinduzi wa jengo la Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) jijini Dodoma. Picha na Anwary Shaban. Uzinduzi wa TIRA Bima…
17 October 2025, 12:19 pm
Ripoti ya LHRC ya mwaka 2023 imebainisha ongezeko la ukatili wa kijinsia mtandaoni nchini hasa kwa wanawake. Picha na INEC. Ongezeko la ukatili wa kijinsia mtandaoni limeibua mjadala mpana kati ya vijana na wataalamu kuhusu hatua za kuchukua kuondoa vitendo…
17 October 2025, 10:48 am
Ukosefu wa huduma za afya kijiji cha Ilangali umetajwa kuwa changamoto hasa kwa mama wajawazito. Picha na Dodoma FM. Ukosefu wa huduma za afya maeneo ya karibu unawafanya wananchi kutembea umbali mrefu kufuata huduma hizo jambo ambalo ni hatari kwa…
17 October 2025, 10:10 am
Picha ni studio za Dodoma FM Redio zilizopo Miyuji Jijini Dodoma. Picha na Noah Patrick. Karibu katika mwendelezo wa sehemu ya tano ya igizo la sauti ya tiba kutoka Dodoma FM. Na Mariam Kasawa.Karibu sana msikilizaji kusikiliza kipindi cha Sauti…
16 October 2025, 10:32 am
Picha ni studio za Dodoma FM Redio zilizopo Miyuji Jijini Dodoma. Picha na George John. Karibu katika sehemu ya tano ya igizo la sauti ya tiba kutoka Dodoma FM. Na Mariam Kasawa.Karibu sana msikilizaji kusikiliza kipindi cha Sauti ya Tiba…
15 October 2025, 3:59 pm
Mafunzo kwa Maafisa Viwanda na Uwekezaji mkoani Dodoma yamelenga kuongeza ufanisi na kupunguza urasimu katika utoaji wa huduma kwa wawekezaji kupitia matumizi ya mifumo ya kisasa ya usajili wa makampuni na biashara. Na Lilian Leopold. Maafisa Viwanda na Uwekezaji kutoka…
15 October 2025, 12:27 pm
Ukatili unaofanywa na wazazi kwa watoto umechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa idadi ya watoto wanaoishi kwenye vituo vya malezi. Na Selemani Kodima. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake na makundi maalumu imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria…
14 October 2025, 2:33 pm
Picha ni baadhi ya mabondia watakaoshiriki katika pambano la ngumi Kibaigwa. Picha na Hamis Makila. Pambano la ngumi Kibaigwa limeahirishwa hadi Oktoba 25 huku mabondia wakipimwa afya zao kabla ya kushiriki. Na Hamis Makila. Pambano la ngumi lililopangwa Kibaigwa limeahirishwa…
14 October 2025, 1:46 pm
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanahitaji msaada wa kitabibu, lishe, na mazoezi, huku wazazi wakipokea mwongozo kutoka serikalini na taasisi za kiraia. Na Anwary Shaban. Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma…
14 October 2025, 1:02 pm
Kutokana na changamoto hiyo wananchi waiomba serikali kuongeza nguvu ya umeme ili kukidhi mahitaji ya jamii. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kitongoji cha Kawawa, Kijiji cha Chanhumba, wameiomba serikali kuongeza nguvu ya upatikanaji wa nishati ya umeme katika eneo hilo,…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-