Dodoma FM
Dodoma FM
20/01/2026, 17:47
Serikali na wadau wa elimu wanaendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuwahamasisha vijana kujiunga na vyuo vya ufundi stadi, kama njia mbadala ya kukabiliana na tatizo la ajira nchini. Na Anwary Shaban.Jamii imetakiwa kuachana na mitazamo hasi kuhusu kuwapeleka…
20/01/2026, 15:47
Ziara hiyo imewahusisha viongozi wa kanda namba 3 pamoja na viongozi mbalimbali za serikali kutoka kata ya Zuzu. Na Lilian Leopold. Viongozi wa kanda namba tatu wafanya ziara ya ufuatiliaji wa miradi ya elimu inayotekelezwa katika shule ya sekondari Zuzu…
19/01/2026, 15:58
Milioni 36 ya wafanyakazi Tanzania, milioni 25.95 sawa na 71.8% wanafanya kazi katika sekta isiyo rasmi. Na Steven Noel.Wafanyabiashara soko dogo la Vighawe, wilaya ya Mpwampwa jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboresha miundombinu ya soko na kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu…
19/01/2026, 15:33
Uchaguzi wa viongozi katika soko hilo unatarajiwa kufanyika Januari 24, 2026. Na Lilian Leopold. Jumla ya wagombea 67 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Nafasi zinazowaniwa ni pamoja…
19/01/2026, 15:09
Mfumo huo unarahisisha utambuzi wa makazi, ufuatiliaji wa huduma muhimu pamoja na kuchochea maendeleo ya mijini na vijini. Na Anwary Shaban.Katika kuelekea kongamano la Anwani ya Makazi litakaloanza Februari 02 hadi 08 jijini Dar es salaam wananchi wametakiwa kujitokeza kwa…
16/01/2026, 15:27
Besiimire amesema duka hilo ni mkombozi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa jirani iliyo katika Kanda ya Kati kutokana na kuboreshwa kwa huduma zake. Na Yussuph Hassan. Kampuni ya Mtandao wa Simu ya Vodacom imesema imejipanga kuhakikisha inatoa…
16/01/2026, 15:05
Wananchi wamesema baadhi ya kaya kijijini hapo wanaishi wazee ambao hawawezi kumudu gharama za manunuzi ya chakula cha kila siku. Na Victor Chigwada. Baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dodoma yanakabiliwa na upungufu wa chakula kwa sasa licha ya msimu…
16/01/2026, 14:40
Vile vile Mrakibu msaidizi Muhina amewataka wananchi waliopewa uraia kwa mujibu wa sheria waendelee kutii sheria pasipo kukiuka utaratibu waliopewa ili wasiweze kupoteza hadhi ya kuwa raia wa Tanzania. Na Jerome John. Wananchi ambao ni raia wa Tanzania wametakiwa kuheshimu…
16/01/2026, 14:23
Mkutano huo uliwakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya ukusanyaji mapato nchini. Na Mariam Kasawa. Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mcha Musa Mcha, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya uongozi wa mamlaka hiyo na…
16/01/2026, 12:50
Nae Maria Manyelezi amesema pamoja na ukosefu wa chumba cha kuhifadhia maiti, pia kijiji hicho kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama na hivyo kumpelekea kijiji hicho kukmbwa na mlipuko wa magonjwa ya mara kwa mara. Na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-