Dodoma FM

Recent posts

20/01/2026, 17:47

Mitazamo hasi kwa vijana kwenda veta ipuuzwe

Serikali na wadau wa elimu wanaendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuwahamasisha vijana kujiunga na vyuo vya ufundi stadi, kama njia mbadala ya kukabiliana na tatizo la ajira nchini. Na Anwary Shaban.Jamii imetakiwa kuachana na mitazamo hasi kuhusu kuwapeleka…

20/01/2026, 15:47

Kanda namba tatu wafanya ziara ufuatiliaji wa miradi ya elimu

Ziara hiyo imewahusisha viongozi wa kanda namba 3 pamoja na viongozi mbalimbali za serikali kutoka kata ya Zuzu. Na Lilian Leopold. Viongozi wa kanda namba tatu wafanya ziara ya ufuatiliaji wa miradi  ya elimu inayotekelezwa katika shule ya sekondari Zuzu…

19/01/2026, 15:58

Wafanyabiashara Ving’awe waiomba serikali kuwaboreshea soko

Milioni 36 ya wafanyakazi Tanzania, milioni 25.95 sawa na 71.8% wanafanya kazi katika sekta isiyo rasmi. Na Steven Noel.Wafanyabiashara soko dogo la Vighawe, wilaya ya Mpwampwa jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboresha miundombinu ya soko na kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu…

19/01/2026, 15:33

Wagombea 67 wachukua fomu uongozi soko la Machinga

Uchaguzi wa viongozi katika soko hilo unatarajiwa kufanyika Januari 24, 2026. Na Lilian Leopold. Jumla ya wagombea 67 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika soko la wazi la Machinga  Complex jijini Dodoma. Nafasi zinazowaniwa ni pamoja…

19/01/2026, 15:09

Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu kuhusu anwani za makazi

Mfumo huo unarahisisha utambuzi wa makazi, ufuatiliaji wa huduma muhimu pamoja na kuchochea maendeleo ya mijini na vijini. Na Anwary Shaban.Katika kuelekea kongamano la Anwani ya Makazi litakaloanza Februari 02 hadi 08 jijini Dar es salaam wananchi wametakiwa kujitokeza kwa…

16/01/2026, 15:27

Vodacom kutoa kipaumbele kwa wenye mahitaji maalum

Besiimire amesema duka hilo ni mkombozi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa jirani iliyo katika Kanda ya Kati kutokana na kuboreshwa kwa huduma zake. Na Yussuph Hassan. Kampuni ya Mtandao wa Simu ya Vodacom imesema imejipanga kuhakikisha  inatoa…

16/01/2026, 15:05

Baadhi ya kaya Nayu zakabiliwa na njaa

Wananchi wamesema baadhi ya kaya kijijini hapo wanaishi wazee ambao hawawezi kumudu gharama za manunuzi ya chakula cha kila siku. Na Victor Chigwada. Baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dodoma yanakabiliwa na upungufu wa chakula kwa sasa licha ya msimu…

16/01/2026, 14:40

Sheria zizingatiwe ili kulinda uraia

Vile vile Mrakibu msaidizi Muhina amewataka wananchi waliopewa uraia kwa mujibu wa sheria waendelee kutii sheria pasipo kukiuka utaratibu waliopewa ili wasiweze kupoteza hadhi ya kuwa raia wa Tanzania. Na Jerome John. Wananchi ambao ni raia wa Tanzania wametakiwa kuheshimu…

16/01/2026, 14:23

Serikali kuendelea kuboresha maslahi ya watumishi wa TRA

Mkutano huo uliwakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya ukusanyaji mapato nchini. Na Mariam Kasawa. Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mcha Musa Mcha, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya uongozi wa mamlaka hiyo na…

16/01/2026, 12:50

Wananchi Mbori walilia chumba cha kuhifadhia maiti

Nae Maria Manyelezi amesema pamoja na ukosefu wa chumba cha kuhifadhia maiti, pia kijiji hicho kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama na hivyo kumpelekea kijiji hicho kukmbwa na mlipuko wa magonjwa ya mara kwa mara. Na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger