Dodoma FM

Wananchi Mpwapwa waiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara

20 February 2026, 5:29 pm

Picha ni Barabara ya kutoka Kongwa hadi Mpwapwa.Picha Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa.

Wananchi hao wanadai kuwa ahadi ya kutekeleza ujenzi wa barabara hiyo zimekuwa hazitekelezeki.

Na Stephen Noel

Wananchi wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma wameiomba serikali kukamikisha mpango wa ujenzi wa barabara ya Rami kutoka njia panda ya Kongwa Hadi Mpwapwa .

Wakiongea na Taswira ya habari wananchi hao wamesema wamekuwa wakipewa ahadi ambazo zimekuwa hazitekelezeki miaka nenda miaka Rudi .

Sauti ya kina Noel.