Dodoma FM

Halmashauri ya Mpwapwa yapanga kukusanya bil 52.8 mwaka wa fedha 2026/2027

13 February 2026, 4:29 pm

Picha ni kikao cha baraza la madiwani wilayani Mpwapwa.Picha na Steven Noel.

Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho  Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo.

Na Steven Noel.

Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya jumla ya shilingi billion 52. na milion mia nane Kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kutoka vyanzo mbalimbali .

Akiongea kwenye kikao cha Baraza la madiwani  mwenyekiti  wa halmashauri hiyo  bwana Richard Maponda  amesema

Wakitoa salama za serikali  kuu kaimu Afisa tawala wilaya na kaimu Afisa tawala mkoa  wamesema

Sauti kwa kina