Bajeti
22 July 2026, 16:29
Wananchi watakiwa kuwa makini na matumizi ya pilipili kupita kawaida
Hivyo, pamoja na kuleta ladha kwenye chakula, matumizi sahihi ya pilipili yanaweza kuwa na manufaa kiafya, huku ukizingatia kiasi kinachofaa kulingana na hali ya mwili. Na Husna Munis. Wananchi wametakiwa kuwa makini na matumizi ya pilipili, hususan watu wenye matatizo…
28 December 2023, 18:00
Rungwe waandaa bajeti ya mwaka 2024/25
Na mwandishi wetu Maandalizi ya Bajeti ya Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa mwaka wa fedha 2024/25 yameendelea katika ukumbi wa kituo cha Kilimo Ilenge kata ya Kyimo. Pamoja na mambo mengine Watalamu wameendelea kuchakata vipaumbele vitakavyosaidia kuleta maendeleo endelevu…
28 September 2023, 11:29 pm
Baraza la madiwani Mpanda lapitia bajeti ya fedha
Baraza la Madiwani Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wafanya kikao kifupi cha mapitio ya bajeti ya fedha kwa mwaka 2022 – 2023. Na Mwandishi wetu – MpandaBaraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi limefanya kikao kifupi…