Dodoma FM

Kisasa heroes yaaga mashindano ligi ya kikapu mkoa

29 September 2025, 2:37 pm

Picha ni Timu ya kikapu ya Kisasa heroes Jijini Dodoma. Picha na Kisasa heroes.

Na Hamis Makila.

Timu hiyo ya kisasa heroes baada ya kuaga mashindano ya kikapu Mkoa imewaahidi mashabiki wake kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Kitaifa ya Kikapu.

michezo