Dodoma FM

Ajifanya mwanamke ili kumfanyia mtihani mpenzi wake

16 September 2025, 3:08 pm

Picha ni Kijana huyo akiwa ameshikiliwa na polisi baada ya kubainika .Picha na je wajuatz.

Je, nini kilipelekea kijana huyu ajiingize katika matatizo ili tu kumsaidia mpenzi wake? Fuatana nasi katika vjimambo.

Leo katika vijimambo tupo nchini Uganda ambapo tunakutana na kisa cha kijana mmoja kujifanya mwanamke ili amfanyie mpenzi wake mtihani.

Sauti ya Peter Mnunduma.