Elimu
4 Mei 2026, 07:43
Mwigulu aagiza taasisi za dini kuimarisha amani
“Pasipokuwa na amani, hata malengo binafsi ya mtu mmoja mmoja ya Mtanzania mmoja mmoja hayawezi kufikiwa,” Na Hafidh Ally Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini ili kuimarisha maadili, mshikamano wa…
1 Mei 2026, 12:36 mu
Walimu na wanafunzi wa shule za sekondari wapewa elimu ya kilimo
Fuateni kanuni bora za kilimo cha bustani ili kuhakikisha uzalishaji endelevu wa mbogamboga pamoja na kuimarisha lishe bora kwa wanafunzi. Na. Abdunuru Shafii Afisa Kilimo kutoka Halmashauri ya Mji Kasulu anayeshughulikia mazao ya bustani Bi. Elina Alphonce amefanya ziara katika…
Aprili 22, 2026, 3:52 um
Uchimbaji mgodi wa Msasa kuanza baada ya ukaguzi
Shughuli za uchimbaji zitarejea mgodini hapo baada ya ukaguzi wa Wizara ya Madini kukamilika na kwamba Wachimbaji hawanabudi kuwa na subira na utulivu wakati ukaguzi huo. Na Clement Shawishi – GEITA Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amesema zoezi…
13 Machi 2026, 3:05 um
Uvinza yapokea trekta 19 za kilimo
maafisa ugani kuwa karibu na wakulima kwa kuwapatia elimu na ushauri wa kitaalamu Na. Abdunuru Shafii Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza katika zana za kisasa za kilimo ikiwemo matrekta makubwa na…
3 Machi 2026, 11:13 um
Arusha kuadhimisha siku ya wanawake duniani Machi 05
Wananchi wa jiji la Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yatakayofanyika kimkoa siku ya Machi 05/2026 katika viwanja vya Ngarenaro mkoani Arusha. Na Mariam Mallya Akizungumza katika Studio za Savvy FM Mratibu wa jinsia…
18 Febuari 2026, 1:28 um
Lwamgasa Farmers Amcos waendesha harambee ununuzi wa trekta
Chama cha ushirika kimekuwa na fursa mbalimbali ya kuwaunganisha wakulima katika kujadili na kufanya mambo ya kuleta tija kwenye kilimo. Na: Kale Chongela Chama cha ushirika cha Lwamgasa Farmers Amocos Limited kilichopo wilaya ya Geita mkoani Geita kimefanya harambe kwa ajili…
12 Febuari 2026, 21:01
Ifakara hainufaiki na kiwanda cha sukari Kilombero
“Wakulima wengi wameamua kutoa zao la muwa na kupanda mpunga kutokana na kupungua kwa bei ambapo kipindi cha nyuma walikuwa wakiuza gari moja la miwa Tsh Mil.3 lakini kwa sasa gari hilo linauzwa hadi chini ya Laki 8” Na Katalina…
3 Febuari 2026, 2:06 mu
Mbinu zinazochangia upotevu wa mazao shambani
Kila msimu wa mavuno unapofika, mashamba mengi vijijini hujaa tabasamu na matumaini ya maisha bora, lakini nyuma ya furaha hiyo kuna ukweli usioonekana kirahisi. Jasho la mkulima la miezi mingi mara nyingi huishia kupotea shambani, si kwa sababu ya ukame…
9 Januari 2026, 4:37 um
Mpango wa chakula kila shule Nyang’hwale umetiki
Zaidi ya wanafunzi 5,700 kutoka shule saba za msingi na shule moja ya sekondari ndio wanufaika wa moja kwa moja wa mpango huo. Na Mrisho Sadick: Kata ya Shabaka wilayani Nyang’hwale mkoani Geita imelima jumla ya ekari 41 za mahindi…
29 Oktoba 2025, 10:49 mu
DC Kiteto ajitokeza kupiga Kura
Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema, amesema hali ya usalama katika wilaya yake imeimarika katika vituo vyote vya kupigia kura na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura Ili wawachague viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid Mwema amesema hayo wilayani Kiteto…