Elimu
22 January 2024, 12:30
Michango mingi yawaondoa walimu CWT
Baadhi ya waalimu wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameulalamikia uongozi wa chama cha walimu Tanzania (CWT) kwa kuwakata michango mingi hali inayopelekea baadhi ya waaalimu kijiondoa katika chama hicho. Akizungumza katika kikao cha wadau Elimu Mkuu wa shule ya sekondari Ruchugi…
20 January 2024, 1:52 pm
Utoro wawakosesha 400 mtihani darasa la nne shule ya msingi Nyerere
Picha na Mtandao Wanafunzi hao hawakuweza kufanya mtihani wao wa darasa la nne kwa sababu za utoro ziliopelekea kushindwa kufika katika chumba cha kufanyia mtihani. Na Asha Bakari-Katavi Zaidi ya wanafunzi mia nne [400] wa Shule ya Msingi Nyerere wameshindwa…
20 January 2024, 1:46 pm
Nini chanzo cha idadi ndogo ya wanafunzi kidato cha kwanza kata ya Terrat?
Waliohudhuria shuleni ni wengi lakini si wote kwani waliofaulu wote wanatakiwa kuripoti shule. Na Mwandishi wetu. Ni wiki ya pili sasa tangu wanafunzi wa kidato cha kwanza kutakiwa kuripoti shuleni nchi nzima kwa shule ya sekondari Terrati wilaya ya Simanjiro…
January 19, 2024, 5:56 pm
DC Sweda ampa kongole Rais Samia kwa miradi Makete
na mwandishi wetu kutokana na fedha nyngi kutolewa na serikali viongozi mbali mbali na wananchi wahimizwa kutunza miradi hiyo Mkuu wa wilaya ya makete mh Juma Sweda amemshukuru Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mh Samia Suluh Hassani kwa…
19 January 2024, 10:18 am
Chakula shuleni chatajwa kuwa chanzo uelewa wa wanafunzi
Ushirikiano mzuri baina ya wazazi na walimu umetajwa kuwa chachu ya ongezeko la ufaulu kwa wanafunzi wa shule ya msingi. Na Sabina Martin – RUNGWE, Wazazi na walezi wilayani Rungwe wameshauriwa kushirikiana zaidi na walimu ili kuboresha maendeleo ya watoto…
18 January 2024, 20:59
Rungwe DC yakamilisha ujenzi nyumba za watumishi
Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya wilaya ya Rungwe imekalisha ujenzi wa nyumba ya watumishi (two in one) katika shule ya sekondari Msasani one kwa gharama ya shilingi million 100. Fedha hii imetolewa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na…
18 January 2024, 11:36
Rungwe kuanza kutoa elimu ya msingi kwa michepuo ya kiingereza
Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe baada ya kukamilisha ujenzi kwa kutumia Mapato yake ya ndani ipo mbioni kuanza kutoa huduma ya elimu katika shule mpya ya Msingi Umoja kwa Mchepuo wa Kingereza (Umoja English Medium). Shule hii…
17 January 2024, 11:18 am
Wanafunzi darasa la nne zaidi ya 1,000 wamefeli Nyang’hwale
Kutokana na matokeo mabaya ya darasa la nne na kidato cha pili mwaka jana wilaya ya Nyang’hwale imeanza mikakati ya mapema ili kuepukana na changamoto hiyo mwaka huu. Na Mrisho Sadick : Kufuatia anguko la kufeli wanafunzi wa darasa la…
17 January 2024, 09:54
Hatua kali kuchukuliwa watoto kutoripoti shuleni
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewataka Wazazi na walezi ambao watoto wao hawajaripoti shule wahakikishe wanakwenda shule kabla ya hatua kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao. Na Hagai Luyagila Kanali mwakisu amesema mahudhurio ya wanafunzi shuleni bado…
17 January 2024, 8:13 am
Upungufu wa walimu Chididimo wadidimiza elimu ya msingi
Ninini Mchakato wa serikali juu ya changamoto ya upungufu wa walimu katika shule hii. Na Thadei Tesha.Upungufu wa walimu katika shule ya msingi Chididimo iliyopo jijini Dodoma Imetajwa kama moja ya kikwazo kinacho sababisha wananfunzi kushindwa kusoma ipasavyo. Hini shule…