Radio Tadio

Elimu

16 January 2024, 18:39

Rasmi chuo kikuu cha Kikatoliki Mbeya CUoM chapanda hadhi

Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu Kassim Majaliwa rasmi amekizindua na kukipandisha Hadhi chuo kikuu kishiriki Cha Cathoric University Collage of Mbeya (CUCoM) na kuwa chuo kikuu kamili Cha kikatoliki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024. Awali akifungua chuo hicho kwa…

16 January 2024, 4:48 pm

RC Mwanza aipongeza Sengerema ujenzi wa madarasa.

Mkuu wa mkoa wa mwanza Mh, Amos Mkala  baada ya kutamatisha ziara yake katika Halmshauri ya Sengerema,  ameendelea na ziara yake katika Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema kwa ajili ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo sekta ya…

16 January 2024, 12:00

PM Majaliwa awasili Mbeya kufungua chuo kikuu CUoM

Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa Songwe ulioko Mkoani Mbeya kwaajiri ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya(CUoM). Waziri Mkuu amepokelewa na…

16 January 2024, 10:19

Wananchi wajenga shule ya sekondari, serikali yatia mkono

Na mwandishi wetu Isaka sekondari, shule mpya katika kata ya Nkunga ambayo imesajiliwa kwa namba S. 6491 na tayari imeanza kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Kuanzishwa kwa shule hii kumesaidia kuondoa msongamano wa wanafunzi darasani katika shule ya sekondari…