Elimu
16 January 2024, 11:33 pm
Serikali yakabidhi vifaa vya wanafunzi wenye huitaji maalum Ngorongoro
Serikali imeendelea kutatua changamoto mbalimbali zinazowafanya wanafunzi kushindwa kuendelea na na masomo ikiwemo kutoa vifaa vya kusomea kwa wanafunzi wenye huitaji maalum. Na Edward Shao. Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imepokea vifaa maalum kwaajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum. Serikali…
16 January 2024, 21:22
Serikali imetenga bilioni 48 mikopo ya Wanafunzi ngazi ya stashahada kwa mwaka w…
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika mwaka wa masomo wa 2023/2024, Serikali imetenga shilingi bilioni 48 kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa ngazi ya stashahada. Amesema hayo leo wakati wa ufunguzi wa Chuo Kikuu Katoliki…
16 January 2024, 19:45
Waziri mkuu Majaliwa ameondoka mkoani Mbeya baada ya kufungau rasmi chuo kikuu c…
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa ameondoka Mkoani Mbeya baada ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024.
16 January 2024, 18:39
Rasmi chuo kikuu cha Kikatoliki Mbeya CUoM chapanda hadhi
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu Kassim Majaliwa rasmi amekizindua na kukipandisha Hadhi chuo kikuu kishiriki Cha Cathoric University Collage of Mbeya (CUCoM) na kuwa chuo kikuu kamili Cha kikatoliki Mbeya (CUoM) Leo January 16 2024. Awali akifungua chuo hicho kwa…
16 January 2024, 4:48 pm
RC Mwanza aipongeza Sengerema ujenzi wa madarasa.
Mkuu wa mkoa wa mwanza Mh, Amos Mkala baada ya kutamatisha ziara yake katika Halmshauri ya Sengerema, ameendelea na ziara yake katika Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema kwa ajili ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo sekta ya…
16 January 2024, 12:00
PM Majaliwa awasili Mbeya kufungua chuo kikuu CUoM
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa Songwe ulioko Mkoani Mbeya kwaajiri ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya(CUoM). Waziri Mkuu amepokelewa na…
16 January 2024, 10:19
Wananchi wajenga shule ya sekondari, serikali yatia mkono
Na mwandishi wetu Isaka sekondari, shule mpya katika kata ya Nkunga ambayo imesajiliwa kwa namba S. 6491 na tayari imeanza kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Kuanzishwa kwa shule hii kumesaidia kuondoa msongamano wa wanafunzi darasani katika shule ya sekondari…
16 January 2024, 10:11 am
DC Tanganyika akanusha wanafunzi kuchangishwa mifuko ya saruji, madawati
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu akizungumza na wanafunzi .Picha na Deus Daudi Taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii haina ukweli wowote na wanafunzi waendelee kufika shuleni . Na Deus Daudi-Katavi Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekanusha…
13 January 2024, 5:16 pm
Miaka 60 ya mapinduzi ya zanzibar yazinufaisha shule za sekondari Rungwe
ikiwa dunia ikikabiliwa na mabadiliko ya tabianchi jamii imetakiwa kuwa msitari wa mbele kuhakikisha miti inapandwa kwa wingi ili mvua imeze kupatikana na uzalishaji wa mazao uongezeke. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mmwamakula Ikiwa serikali ya mapindunduzi ya Zanzibar inadhimisha miaka 60…
12 January 2024, 11:19 pm
Walioripoti kuanza Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari Terrat, Simanjiro 2024 n…
Wanafunzi wapatao 105 kati ya 226 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari Terrat wilaya ya Simanjiro ndio pekee walioripoti shuleni hadi sasa. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Orkonerei FM Redio Mkuu wa shule ya sekondari…