Radio Tadio

Elimu

27 January 2024, 8:26 pm

Milioni 147 zatumika ukarabati wa madarasa shule ya msingi Sengerema

Shule ya Msingi Sengerema ni miongoni mwa shule kongwe nchini ambayo ilikuwa ikikabiliwa na uchakavu wa miundombinu hasa vyumba vya madarasa jambo lililopelekea wadau mbalimbali kujitokeza na kuanza kusaidia ukarabati. Na;Emmanuel Twimanye. Shirika lisilisolikuwa la Kiserikali  la  Suport  school  Fees…

25 January 2024, 5:52 pm

Walimu wanyang’anywa madawati, wakaa chini Geita

Kitendo cha walimu kunyang’anywa madawati waliyokuwa wakiyatumia kwenye ofisi yao kimezua mjadala. Na Mrisho Shabani – Geita Chama cha walimu Tanzania (CWT) wilayani Geita kimelaani kitendo cha serikali ya kijiji cha Nyansalala Kata ya Bukondo wilayani Geita cha kuwanyang’anya walimu…

25 January 2024, 15:53

Serikali, wananchi Buhigwe watatua kero ya umbali mrefu wa shule

Mwenyekiti wa Jumuia ya Umoja Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Muhamed Kawaida amewapongeza wananchi wa kata ya Biharu Wilaya ya Buhigwe kuanzisha ujenzi wa sekondari kutokana na changamoto kadhaa za kiusalama na umbali kwa wanafunzi waliokuwa wakilazimika kufuata huduma…

25 January 2024, 11:22

Kibondo: Vijana waaswa kutumia amani iliyopo kusoma kwa Bidii

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Rehema Sombi, amewataka vijana wa kitanzania kutumia amani iliyopo kusoma kwa juhudi na maarifa ili kuhakikisha nchi inapiga hatua zaidi kimaendeleo kwa kuwa na watu wenye uwezo wa kukabili changamoto…