Elimu
27 January 2024, 8:26 pm
Milioni 147 zatumika ukarabati wa madarasa shule ya msingi Sengerema
Shule ya Msingi Sengerema ni miongoni mwa shule kongwe nchini ambayo ilikuwa ikikabiliwa na uchakavu wa miundombinu hasa vyumba vya madarasa jambo lililopelekea wadau mbalimbali kujitokeza na kuanza kusaidia ukarabati. Na;Emmanuel Twimanye. Shirika lisilisolikuwa la Kiserikali la Suport school Fees…
27 January 2024, 9:13 am
Butiama: NMB watoa msaada wa million 17 shule ya msingi Madaraka
Mkuu wa wilaya ya Butiama Moses Kaegele amewapongeza bank ya NMB kwa kuwa wadau wa maendeleo katika sekta za elimu na afya na kuendelea kuwa karibu na jamii. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya BUTIAMA Moses Kaegele amewapongeza bank…
25 January 2024, 5:52 pm
Walimu wanyang’anywa madawati, wakaa chini Geita
Kitendo cha walimu kunyang’anywa madawati waliyokuwa wakiyatumia kwenye ofisi yao kimezua mjadala. Na Mrisho Shabani – Geita Chama cha walimu Tanzania (CWT) wilayani Geita kimelaani kitendo cha serikali ya kijiji cha Nyansalala Kata ya Bukondo wilayani Geita cha kuwanyang’anya walimu…
25 January 2024, 15:53
Serikali, wananchi Buhigwe watatua kero ya umbali mrefu wa shule
Mwenyekiti wa Jumuia ya Umoja Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa Muhamed Kawaida amewapongeza wananchi wa kata ya Biharu Wilaya ya Buhigwe kuanzisha ujenzi wa sekondari kutokana na changamoto kadhaa za kiusalama na umbali kwa wanafunzi waliokuwa wakilazimika kufuata huduma…
25 January 2024, 11:22
Kibondo: Vijana waaswa kutumia amani iliyopo kusoma kwa Bidii
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Rehema Sombi, amewataka vijana wa kitanzania kutumia amani iliyopo kusoma kwa juhudi na maarifa ili kuhakikisha nchi inapiga hatua zaidi kimaendeleo kwa kuwa na watu wenye uwezo wa kukabili changamoto…
23 January 2024, 8:44 pm
Wazazi, walezi watakiwa kuacha kushinikiza watoto kujifelisha mitihani
Hata hivyo changamoto hiyo imekuwa ni kubwa kwa baadhi ya wazazi kuwataka watoto wao kutofanya vizuri katika mitihani yao mwisho. Na Victor ChigwadaJamii imetakiwa kuachana na dhana potofu ya kuwakatisha watoto wao masomo kwa kuwawekea shinikio la kujifelisha mitahani yao…
23 January 2024, 17:14
Chakula cha mchana kwa wanafunzi kinavyoleta tija katika ufundishaji
Na Hobokela Lwinga Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa kushirikiana na wazazi imeendelea na Mpango wake kuhakikisha kila Mwanafunzi anapata chakula cha mchana kwa siku zote za masomo. Uongozi wa shule ya Msingi Masebe na Mpuguso zilizopo Ushirika (Kata ya…
22 January 2024, 19:30
Dkt. Tulia atoa msaada wa vifaa vya shule kwa wanafunzi jijini Mbeya
Na Ezra Mwilwa Taasisi ya Tulia Trust inayoingonzwa na Dkt.Tulia Akson Mwansasu Mbunge wa Mbeya Jiji, Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzani ambaya pia Rais wa Mabunge yote Duniani ametoa msaada wa vifaa vya shule kwa wanafunzi…
22 January 2024, 6:40 pm
Walimu Sengerema wajikita kuchoma mkaa, kilimo badala ya kufundisha
Shule ya msingi Mayuya ipo katika kata ya Tabaruka iliyopo Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikifanya vibaya kwenye mitihani yake kutokana na changamoto ya Walimu wa shule hiyo kujikita katika shughuli zao binafsi za kuchoma mikaa na kilimo badala ya kufunsha.…