
Recent posts

17 May 2025, 12:36 am
Vikundi vya wajasiriamali Uvinza vyapatiwa elimu ya msaada wa kisheria
Wananchi watumieni maafisa maendeleo jamii dawati la msaada wa kisheria kupata elimu ya kisheria ili kupunguza migogoro isiyo ya lazima hasa migogoro ya ardhi na mirathi. Na Linda Dismas Ikiwa leo ni siku ya pili ya muendelezo wa elimu juu…

15 May 2025, 8:31 pm
Elimu yatolewa kwa vikundi vya wajasiriamali wa wilaya ya Uvinza
Vikundi vya wajasiriamali wa halamashauri ya wilaya ya Uvinza waanza kunufaika na elimu iliyoanza kutolewa hii leo mei 15 juu ya mkopo wa asilimia kumi wa mama Samia. Na Linda Dismas Vikundi vya ujasiriamali katika wilaya ya Uvinza leo Mei…

12 May 2025, 2:36 pm
Wazazi wapeni watoto elimu ya kijinsia bila kupepesa macho
Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…

5 May 2025, 11:41 pm
wanawake wajawazito watakiwa kuhudhuria klinik kuepuka matatizo ya uzazi
Madhara mengi yanaweza kujitokeza endapo mama mjamzito atafika kwa kuchelewa hospitalini siku ya kujifungua. Na Theresia Damasi. Ikiwa ni siku ya Mkunga Duniani Kituo cha Afya uvinza wilayani uvinza kimewataka akina mama wajawazito kuhudhuria clinik mapema pale tu wanapogundua ni…

29 March 2025, 7:09 pm
Kamati ya afya msingi Uvinza kutoa elimu ya magojwa ya mlipuko
Kila mmoja anatakiwa kutimiza wajibu wake kwa kuchukua tahadhari kwa kila hatua ili kujikinga na kuwakinga wengine. Na Abdunuru Shafii Kamati ya afya ya msingi ya wilaya ya Uvinza imefanya kikao katika ukumbi wa halmashauri kwa lengo la kutoa elimu…

25 March 2025, 9:10 am
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya m-pox
Diwani wa wa kata ya kumunyika Bw. Seleman Kwirusha kutoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanajikinga na ugonjwa hatari wa homa ya nyami kwa kufuata taratibu za kiafya. Na. Emmanuel Kamangu Diwani wa wa kata ya kumunyika ambaye pia ni Makamu…

14 March 2025, 3:00 pm
Kampeni ya ugawaji wa vyandarua bure ngazi ya kaya yaanza wilayani uvinza
Licha ya mafanikio yaliyopatikana katika kupunguza visa vya malaria, bado kuna changamoto ya baadhi ya wananchi hutumia dawa za Malaria bila kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya. Na Abdunuru Shafii Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI…

12 March 2025, 12:41 pm
Tuimarishe usafi kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama marburg
Wananchi wametakiwa kuimarisha usafi na kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama marburg katika maeneo yao. Na Abdunuru Shafii Wakazi wa mtaa wa Mjimwema kata ya Nguruka halmashauri ya wilaya Uvinza wameeleza namna wanavyojikinga na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa…

6 March 2025, 11:25 pm
Maadhimisho ya wanawake Uvinza yaleta tija kwa jamii
Kuelekea kilele cha maadhisho ya wanawake duniani 2025, serikali imetoa fedha zaidi ya milioni tatu katika halmashauri ya wilaya ya uvinza kwa ajili ya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambapo wanatakiwa watumie katika kuleta maendeleo. Na Theresia Damasi Kuelekea kilele…

5 March 2025, 12:00 am
Walaji wa wanyama wa mwituni hatarini kupata marburg
Ameseama jamii inapaswa kuchukua tahadhari kwa kuepuka kugusa au kula nyama ya popo, au nyama ya mnyama wa mwituni akiwemo nyani. Na Theresia Damasi Wananchi wa Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma na maeneo ya jirani wameshauriwa kuchukua tahadhari juu ya…