Uvinza Fm

Recent posts

19/11/2021, 7:13 pm

Shilingi bilioni 2 kujenga vyumba vya madarasa

Na,Glory Paschal Wananchi Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la Ujenzi wa vyumba 48 vya madarasa, ambavyo vinatakiwa kukamili ndani ya siku 45  Mkuu wa Wilaya ya Kigoma ESTER MAHAWE , akizungumza na wananchi wa kata ya…

18/10/2021, 7:24 pm

Serikali yajipanga kujenga mwalo wa kisasa

Na,Glory Paschal Naibu wa Waziri wa Uvuvi na mifugo ABDALLAH ULEGAamesema Serikali imejipanga kujenga mwalo wa kisasa wa Katonga Manispaa ya Kigoma Ujiji ili wavuvi wapate sehemu Ya kuanika dagaa na kiwanda cha kusindika dagaa. Mh. ULEGA amesema hayo akiwa…

12/10/2021, 5:57 pm

Majangili wawili wakamatwa

Na,Glory Paschal Polisi mkoani Kigoma wamesema kwa nyakati tofauti wamefanikiwa kuwakamata watu wawili wakituhumiwa kujihusisha na ujangili Pamoja na uhalifu mwingine katika matukio mawii tofauti yaliyotokea Oktoba tisa katika Wilaya za Kibondo na Uvinza Kamanda wa Polisi Mkoa wa KigomaJAMES…

08/10/2021, 6:08 pm

Taa za kuongozea magari zenye thamani ya milioni 55 zazinduliwa

Na,Glory Paschal Mkuu wa Mkoa wa Kigoma THOBIAS ANDENGENYE amezindua taa za kuongozea magari na watumiaji wengine wa barabara za njia nne katika barabara ya Lumumba Mjini Kigoma ambazo thamani yake ni Shilingi Milioni 55 Akizungumza mara baada ya kuzindua…

07/10/2021, 5:53 pm

Serikali mbioni kuhakikisha umeme wa uhakika unapatikana

Na,Glory Paschal Waziri wa Nishati JANUARY MAKAMBA amesema serikali iko katika mchakato wa kuhakikisha inafikisha umeme wauhakika Mkoani Kigoma kwa kuunganisha Mkoa huu na Gridi ya Taifa kutoka vituo vya Nyakanazi na Tabora Mh. MAKAMBA  amesema hayo wakati alipotembelea Kituo…

29/09/2021, 7:29 pm

Wajasiriamali wametakiwa kutunza mazingira

Na,Glory Paschal Wajasiriamali nchini wametakiwa kuzingatia elimu ya utunzaji wa mazingira inayotolewa na baraza la uhifadhi wa mazingira NEMC ili kuweka mazingira safi na salama. Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi mkuu wa NEMC Nchini Bw. Samwel Gwamaka wakati akiongea na…

29/09/2021, 6:40 pm

Imani potofu na uchache wa vituo kudhoofisha zoezi la utoaji chanjo

Na,Glory Paschal KIGOMA Imeelezwa kuwa Imani  Potofu na uchache wa vituo vya kutolea chanjo katika maeneo ya jamii imeelezwa kuwa chanzo cha kudhoofisha zoezi la utoaji chanjo ya UVIKO 19 kutofanikiwa mkoani Kigoma Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa Mkoa…

29/09/2021, 6:34 pm

Majambazi watatu wauawa

Na,Glory Paschal Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limefanikiwa kuwaua watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi katika barabara inayotokea  kijiji cha Kagerankanda kata ya Nyakitonto Tarafa ya Buhoro wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Jeshi…

27/09/2021, 6:48 pm

Serikali kuja na mpango harakishi wa kila mwananchi kupata chanjo

Na, Mwanaid Suleiman Serikali  imesema imekuja na mpango harakishi wa kuhamasisha  chanjo  ya corona ikiwa lengo ni kuhamasisha kila mwananchi anapatiwa chanjo ya corona Hayo yamesemwa na  DR CRESENCIA JOHN kutoka ofisi ya mganga mkuu mkoani kigoma wakati akizungumza na…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm