Uvinza Fm

Recent posts

19/08/2021, 4:45 pm

Wafanyabiashara waishukuru serikali kwa kuondoa vikwazo vya kufanya biashara

Na,Glory Paschal Wafanyabiashara katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameishukuru serikali  kupitia  mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuondoa vikwazo vya kufanya biashara  vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo kubabikiziwa makadilio ya juu ya kodi na baadhi ya watumishi  wasio waadilifu. Wamesema tangu…

19/08/2021, 4:34 pm

Shirika la afya WHO latoa msaada wa baiskeli 100

Na,Glory Paschal Shirika la afya Duniani, WHO limetoa msaada wa baiskeli 100 Mkoani Kigoma kwaajili ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii waliopo katika maeneo ya mipakani na katika kambi za wakimbizi ili kuimarisha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko Akikabidhi…

19/08/2021, 4:23 pm

Wazazi na walezi washauriwa kutowaruhusu watoto kusafirishwa

Na,Glory Paschal Wazazi na Walezi Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma wameshauriwa kutoruhusu watoto wao kusafirishwa kwenda kutumikishwa katika shughuli mbalimbali kinyume cha sheria Afisa Ustawi wa Jamii halmashauri ya wilaya Kakonko  Bw. Mohamed Shauri  amesema baadhi ya wazazi na walezi wamekuwa…

12/08/2021, 4:31 pm

Wananchi walia na ukosefu wa maji

Na,Mwanaid Suleiman Wakazi wa kijiji cha Ruchugi Wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameiomba serikali kutataua changamoto ya maji inayowakumba katika kijiji hicho  hasa katika kipindi cha kiangazi Hayo yamesemwa na baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ruchugi kuwa changamoto hiyo imekua…

11/08/2021, 7:29 pm

Waliopokea chanjo ya uviko 19 afya zao ni salama

Na,Timotheo Leornadi Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Ruchugi kata ya Uvinza wilayani Uvinza Mkoani Kigoma ambao tayari wamepokea chanjo ya UVIKO -19 wamesema ni salama kwa afya, nakwamba wale ambao bado wanamitazamo hasi wakachajwe  kulinda maisha yao Hayo wameyasema…

05/07/2021, 5:55 pm

Corona yaathiri Wafanyabiashara wa samaki na dagaa

Na,Glory Paschal Baadhi  ya Wavuvi  na Wafanyabiashara wa Samaki na Dagaa Mkoani Kigoma Wamesema Kufungwa kwa Mipaka ya Nchi Jirani  Kutokana na Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona Kumeathiri Biashara zao Wavuvi  Pamoja na Wafanyabiashara ambao Wamesema hali ya biashara imekuwa…

05/07/2021, 5:43 pm

Wananchi Waomba Muongozo Chanjo ya Corona

Na,Glory Paschal Wananchi wilayani kasulu mkoani kigoma wameiomba  serikali kuharakisha  kutoa  muongozo wa chanjo ya virusi vya corona ili waweze kupata elimu zaidi kuhusu chanjo hiyo ya virusi vya corona ambayo wamekuwa wakiisikia kutoka nchi jirani Wamesema hayo Wakati Wakizungumza…

24/06/2021, 7:31 pm

Jeshi la polisi latakiwa kufanya kazi zao kwa weledi

Na,Glory Paschal Watendaji wa Jeshi la polisi pamoja na mahakama Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi zao kwa weledi ili kutokomeza mimba za utotoni Hayo yameelezwa na Katibu Tawala  Mkoani hapa Rashid Kassim Mchatta katika mkutano wa utetezi kuhusu haki za…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm