Uvinza Fm

Je mfumo dume unawanyima wanawake nafasi za uongozi ndani ya vyombo vya habari?

04/07/2023, 2:54 pm

Na Groly Kusaga

Wanawake wengi wamekuwa wakikutana na changamoto mbalimbali zinazowakwamisha katika kutekeleza majukumu yao na kusahau kuwa wanawake wana uwezo wa kufanya mambo makubwa wanapopewa nafasi ndani ya vyombo vya habari na uongozi kwa ujumla.

Picha Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania, (TAMWA), Rose Reuben. picha na TAMWA