Offline
Play internet radio

Recent posts

08/07/2023, 10:14 pm

Vipigo kwa wanawake wajawazito hupelekea kuzaliwa kwa watoto njiti

Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewataka wanaume wenye tabia za kupiga wake zao wakati wakiwa wajawazito kuacha mara moja tabia hiyo. Na. Abdunuru Shafii Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amepokea misaada mbalimbali iliyotolewa na taasisi ya…

04/07/2023, 11:27 am

Ukosefu mitaro ya maji yawakero kwa wananchi kata ya Mwanga

Wananchi wa kata ya mwanga manispaa ya kigoma uiomba TARURA kurekebisha mitaro ya maji kulingana na adha wanayoipata ya kukatika kwa barabara wakati wa mvua Na Glory Kusaga KIGOMA. Baadhi ya Wananchi wa Mtaa wa Kilimahewa B Kata ya Mwanga…

03/07/2023, 12:55 pm

Kigoma: Serikali kuwachukulia hatua wazazi wasiowapeleka watoto shule

Kutokana na wanafunzi kutojiunga na masomo ya sekondari na wengine kuchelewa kujiunga na masomo, serikali yaahidi kuendelea na zoezi la kuwakamata wazazi wanaokiuka amri hiyo kwa kutumia sheria mbalimbali Na Glory Kusaga Changamoto ya baadhi ya wazazi kutokuwa na mwamko…

24/02/2022, 4:36 pm

Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha

Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…

12/01/2022, 7:01 pm

Mikutano ya kisheria husaidia kutatua migogoro ya wananchi

Na,Rosemary Bundala Mikutano ya kisheria katika halmashauri za vijiji imetajwa kuwa njia mojawapo ya kutatua matatizo pamoja na migogoro  kwa wananchi Hayo yamezungumzwa na wanachi wa wilaya ya uvinza mkoani Kigoma Bwana VICENT LAZARO na  Bi MWAMINI JUMA  wakati wakizungumza…

05/01/2022, 5:44 pm

Radi yaua watu watano wa familia tofauti

Na,Editha Edward Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa wa Kigoma zikiambatana na radi imepelekea ajali ya radi ambapo imepiga watu watano na kusababisha vifo Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma JAMES MANYAMA…

24/11/2021, 4:09 pm

Wanawake watakiwa kuunda vikundi ili wapate mikopo ya Serikali

Wanawake wajasiriamali Mkoani Kigoma wametakiwa kuunda vikundi, ili waweze kupatiwa mikopo na Serikali ili kuweza  kendeleza shughuli zao na kujikomboa kiuchumi Hayo yamesemwa na Afisa Maendeleo Halmashauri ya wilaya ya Kigoma ZILIPA KISONZELA mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm