29 March 2025, 7:09 pm

Kamati ya afya msingi Uvinza kutoa elimu ya magojwa ya mlipuko

Kila mmoja anatakiwa kutimiza wajibu wake kwa kuchukua tahadhari kwa kila hatua ili kujikinga na kuwakinga wengine. Na Abdunuru Shafii Kamati ya afya ya msingi ya wilaya ya Uvinza imefanya kikao katika ukumbi wa halmashauri kwa lengo la kutoa elimu…

On air
Play internet radio

Recent posts

5 February 2026, 4:23 pm

TRA Uvinza yatoa mafunzo mfumo mpya wa IDRAS

IDRAS ni mfumo jumuishi wa kodi za ndani unaolenga kumwezesha mlipakodi kupata huduma mbalimbali za kikodi akiwa katika eneo lake la biashara. Na Abdunuru Shafii Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kigoma imeendesha mafunzo kwa wafanyabiashara wa Wilaya ya…

3 February 2026, 2:06 am

Mbinu zinazochangia upotevu wa mazao shambani

Kila msimu wa mavuno unapofika, mashamba mengi vijijini hujaa tabasamu na matumaini ya maisha bora, lakini nyuma ya furaha hiyo kuna ukweli usioonekana kirahisi. Jasho la mkulima la miezi mingi mara nyingi huishia kupotea shambani, si kwa sababu ya ukame…

3 February 2026, 1:21 am

Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini

Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya  afya kwa wote  Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF  elfu 66800 mkoani kigoma  Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…

3 February 2026, 12:54 am

Watendaji waonywa kutoingilia mashauri ya mahakama

Maadhimisho ya Siku ya Sheria yameelezwa kuwa ni jukwaa muhimu la kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu haki zao, wajibu wa kuheshimu sheria, na mchango wa mahakama katika kujenga taifa lenye amani, haki na maendeleo endelevu. Na. Abdunuru Shafii Mahakama ya…

30 January 2026, 12:21 am

Baraza la Madiwani lapitisha bajeti ya bil. 51.05 Uvinza

bajeti hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi, ikiwemo sekta za elimu, afya, miundombinu, maji pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Na Abdunuru Shafii Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza limepitisha…

18 January 2026, 4:14 pm

Wazazi wametakiwa kushirikiana malezi ya watoto wao

kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…

24 December 2025, 7:19 pm

Mazoezi ni muhimu kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza

Tunatakiwa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo pia kuendelea kujenga afya zetu. Na Emmanuel Kamangu. Wananchi wilayani kasulu wametakiwa kujenga tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kujenga afya…

22 December 2025, 9:26 am

Lupimo sanitarium clinic yarudisha kwa jamii Kigoma

sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…

19 November 2025, 12:57 am

Wakulima Uvinza waomba fedha za kimataifa ziwafikie

Na. Abdunuru Shafii Karibu kusikiliza Makala fupi inayozungumzia kwa kina athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi katika kilimo nchini Tanzania, hususan katika Wilaya ya Uvinza na Mkoa wa Kigoma. Wakulima wamekuwa wakikumbana na mabadiliko yasiyotabirika ya mvua ikiwemo vipindi virefu…

10 November 2025, 10:18 am

Tanzania yaweka kipaumbele jinsia na tabianchi COP30

Wadau wa maendeleo wanaaswa kuwekeza katika elimu, teknolojia rafiki kwa mazingira, na miradi ya kiuchumi itakayowawezesha wanawake kuwa sehemu ya suluhisho la mabadiliko ya tabianchi. Na Abdunuru Shafii Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameendelea kukabiliwa na athari kubwa…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm