Uvinza Fm

Recent posts

16/09/2021, 9:10 pm

Waziri mkuu amewahakikishia wakulima wa mazao ya kimkakati masoko

Na,Glory Paschal Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Mjaliwa Kassim amewahakikishia wakulima wanaolima mazao ya kimakakati nchini kuwawezesha katika mchakato wa kuandaa kulima na kuwatafutia masoko ya ndani na nje ya nchi. Ametoa kauli hiyo alipotembelea Shamba la michikichi katika  kambi…

13/09/2021, 3:40 pm

UNDP kuwafunda wabunifu mbalimbali mkoani Kigoma

Na,Glory Paschal Shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia  Maendeleo UNDP, likishirikiana na shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidogo sido mkoani kigoma wametoa mafunzo kwa wabunifu wanaoanza ili kuibua bunifu  na kuahindanisha kazi zao ambapo mshindi wa kwanza atapatazawadi ya milioni 10…

09/09/2021, 5:54 pm

Kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito husaidia kiafya

Na,Editha Edward Imeelezwa kuwa kuwahi mapema kliniki kwa mama mjamzito humsaidia kujua hali ya mama kiafya Pamoja na hali ya  mtoto wake aliyeko tumboni Akizungumza na redio Uvinza fm mganga mkuu wilaya ya Uvinza dkt ZAITUNI HAMZA amesema kuna baadhi…

09/09/2021, 5:44 pm

Utalii waongezeka hifadhi ya Ruaha baada ya kupungua kwa covid 19

Na,Glory Paschal Imeelezwa kuwa katika Kipindi cha Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona awamu ya kwanza na ya pili hali ya watalii kutembelea hifadhi za Taifa Ikiwemo Ruaha ilipungua ikilinganishwa na wakati huu ambapo watalii wameanza kujitokeza kwa wingi kutembelea hifadhi…

08/09/2021, 5:43 pm

Wafungwa na watumishi wa gereza wapokea chanjo ya uviko 19

Na,Glory Paschal Wafungwa na watumishi katika gereza la bangwe mjini kigoma, wamepokea chanjo ya uviko 19 kwa kuchwanjwa ili kuendelea kujilinda na maambukizi ya ugonjwa huo na kuendelea kujilinda na kuwalinda ndugu jamaa na marafiki wanaowatembelea gerezani Wamesema hatua hiyo…

07/09/2021, 8:17 pm

Uharibifu wa miundombinu ya maji mkongoro bado unaendelea

Na,Glory Paschal Licha ya Kuundwa Jumuiya za watumia maji katika baadhi ya kata Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma  kwa lengo la kutoa taarifa ya uharibifu wa miundombinu ya maji katika mradi wa Maji wa Mkongoro Namba mbili bado uharibifu unaendelea. Hayo…

03/09/2021, 5:57 pm

Dawa ya kupunguza makali ya Vvu yaanza kutolewa

Na,Glory Paschal Dawa ya kupunguza Makali ya  virusi vya UKIMWI imeanza kutolewa kwa miezi sita kwa wagonjwa wenye maambukizi ili kusaidia kupunguza makali ya virusi hivyo. Hayo yamezungumzwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Saimon Chacha, nakusema wagonjwa…

02/09/2021, 5:51 pm

Apoteza maisha kwa kukatwa na kitu kikali shingoni

Na,Jacob Kapaya Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la JACKIAS KIPARA mkazi wa kijiji cha Ruchugi wilayani Uvinza mkoani Kigoma  mwenye umri wa miaka 31 amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni. Kamanda wa jeshi  la polisi…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm