Uvinza Fm

Recent posts

23/04/2021, 4:15 pm

Shilingi 7.3bilioni kutengeneza mtandao wa barabara

UVINZA Na,Editha Edward Wananchi katika wilaya ya UVINZA mkoani Kigoma wameiomba serikali kupitia TARURA kuongeza kasi katika ujenzi wa barabara ya Uvinza mjini ili Kuruhusu shughuli za kiuchumi za wananchi kufanyika kwa urahisi Wakizungumza na Radio Uvinza Baadhi yao wamesema…

22/04/2021, 5:24 pm

Ushirikiano hafifu chanzo cha ukatili wakijinsia Mkoani Kigoma

KIGOMA Na, Glory Kusaga Jumla ya Kesi  881 za vitendo  vya unyanyasaji wa kijinsia Mkoani Kigoma zimeripotiwa kwa kipindi cha kuanzia mwezi Oktoba Mwaka jana hadi Machi 2021 huku kesi  138 tu ndizo zimefika mahakamani huku changamoto ikitajwa kuwa ni…

21/04/2021, 10:22 am

Suluhisho la Vifo vya Wajawazito lapatikana

KIGOMA Na, Glory Paschal Serikali ya Mkoa wa Kigoma ikishirikiana na wadau wa Afya imezindua mpango wa dharula wa miaka mitatu ya kukabiliana na vifo vya mama mjamzito na mtoto mchanga ambavyo kwa sasa vimeongezeka na  kufikia asilimia 95 katika vituo…

18/04/2021, 8:56 am

Mafuriko yakumba Kaya 50

KIGOMA Na; Glory Kusaga Takribani kaya 50 zilizopo Kata ya Katubuka manispaa ya kigoma ujiji Mkoani Kigoma zimekumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani kigoma.Baadhi ya waathirika Wamesema changamoto ya maji kukaa katika makazi yao ni kubwa na…

16/04/2021, 3:35 pm

Kilio cha Walemavu chatatuliwa

UVINZA Na, Editha Edward Baada ya Redio uvinza fm kuripoti taarifa ya watu wenye ulemavu kupatiwa mikopo  ya asilimia 10 inayotolewa na kila halmashauri  kwa takribani miezi mitano iliyopita  ili kujikwamua kiuchumi halmashauri ya wilaya ya uvinza mkoa wa kigoma…

16/04/2021, 1:27 pm

Wananchi wa Kibirizi wawashukuru Viongozi wao

Na; Glory Kusaga KIGOMA Wananchi wa kata ya Kibirizi Manispaa ya kigoma ujiji wamewashukuru Viongozi wa kata hiyo kwa jitihada za kudhibiti matukio ya wizi na udokozi yaliyokuwa yanaathiri Maendeleo yao . Wakizungumza kwa nyakati tofauti  wamesema Vitendo vya wizi vimekuwa…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm