Elimu
6 July 2026, 17:09
Manispaa Zanzibar yahakikishia wananchi maboresho ukusanyaji wa taka
Mlundikano wa taka katika eneo la Nyerere, Wilaya ya Mjini, umeibua hofu ya kuongezeka kwa magonjwa kutokana na harufu mbaya na nzi wengi wanaozunguka maeneo ya makazi. Wananchi wameiomba Manispaa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa taka na Serikali kutafuta suluhisho…
6 July 2026, 3:52 pm
Mbogwe waiomba serikali kuanzisha vituo rasmi vya ununuzi wa mazao
Changamoto ya walanguzi wa mazao kwenda moja kwa moja mashambani imegeuka mwiba mchungu kwa wakulima wilayani Mbogwe huku wakidai kupata hasara nakuiomba serikali kuingilia kati. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa Kata ya Ilolangulu Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita wameiomba Serikali…
29 June 2026, 7:54 am
Kwasadala wahimizwa kuzingatia lishe bora, kushiriki mapokezi ya mwenge 2026
Wananchi wamekumbushwa umuhimu wa kula mlo kamili, kudumisha usafi wa mazingira na kushiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru utakaopitia wilayani Hai, huku miradi ya maendeleo ikitarajiwa kuzinduliwa. Na Elizabeth Mafie Hai- Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha Kwasadala kata ya Masama…
26 June 2026, 16:32
Ziwatuwe yarudisha tabasamu baada ya serikali kusafisha majaa yaliyokuwa kero
Baada ya zaidi ya mwezi mmoja wa kukithiri kwa taka katika eneo la Ziwatuwe, Shehia ya Amani, Manispaa ya Mjini imefanikiwa kuondoa taka hizo na kurejesha hali ya usafi. Wananchi wameishukuru Serikali kwa kusikiliza kilio chao, huku ikiahidi kuweka madampo…
23 June 2026, 1:15 pm
Mkuu wa Wilaya amahasisha mazoezi
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Hassan Omary Bomboko amesisitiza umuhimu wa mazoezi kwa afya na maendeleo ya jamii, huku akiwahamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za mapokezi ya Mwenge wa Uhuru unaotarajiwa kuwasili wilayani Hai Julai 3, 2026. Na Juma…
21 June 2026, 20:19
Manispaa Kati yaimarisha usafi
Na Hakika Mwinyi. Wananchi wametakiwa kuendelea kudumisha usafi na kutunza mazingira katika maeneo yanayowazunguka, kwa kuwa jukumu hilo ni la kila mmoja na si la Manispaa pekee. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Kati, Dkt. Mwanaisha Ali…
28 May 2026, 08:55
Mwang’onda: “Tuilinde amani ya nchi”
Na Fredrick Siwale Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa wametakiwa kulinda amani iliyopo Nchini kwani ndio msingi wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo. Akizungumza katika mkesha wa Mwenge uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkombwe Halmashauri ya Mji…
16 May 2026, 4:00 pm
Mbunge Geita Mjini awawezesha vijana kupata mafunzo ya kilimo Tabora
Hakika msemo wa wahenga usemao ukihitaji mali basi utaipata shambani umeendelea kujidhihirisha baada ya vijana kutoka Geita kutaraji kunufaika na kilimo. Na Mrisho Sadick: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha Wambura amewawezesha Jumla ya vijana 23 kutoka Kata…
4 May 2026, 07:43
Mwigulu aagiza taasisi za dini kuimarisha amani
“Pasipokuwa na amani, hata malengo binafsi ya mtu mmoja mmoja ya Mtanzania mmoja mmoja hayawezi kufikiwa,” Na Hafidh Ally Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini ili kuimarisha maadili, mshikamano wa…
1 May 2026, 12:36 am
Walimu na wanafunzi wa shule za sekondari wapewa elimu ya kilimo
Fuateni kanuni bora za kilimo cha bustani ili kuhakikisha uzalishaji endelevu wa mbogamboga pamoja na kuimarisha lishe bora kwa wanafunzi. Na. Abdunuru Shafii Afisa Kilimo kutoka Halmashauri ya Mji Kasulu anayeshughulikia mazao ya bustani Bi. Elina Alphonce amefanya ziara katika…