Elimu
9 January 2024, 17:39
madarasa 38 shule za sekondari yakamilishwa wilayani kakonko
Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma imekamilisha ujenzi wa vyumba 38 vya madarasa katika shule za sekondari wilayani humo hatua itakayowezesha wanafunzi wote waliochaguliwa kidato cha kwanza kuanza masomo kwa wakati Ujenzi huo uliogharimu shilingi milioni 760 umeambatana na utengenezwaji wa…
8 January 2024, 8:47 pm
Wanafunzi kidato cha kwanza kupokelewa shuleni bila kujali mapungufu ya mahitaji…
Mzazi anaweza kumpeleka mtoto hata kama hajakamilisha mahitaji yote ili aweze kuanza masomo wakati taratibu za kukamilisha mahitaji hayo zikiendelea. Na Fred Cheti.Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka shule wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza bila ya…
8 January 2024, 17:31
RC Kigoma aagiza shule zote kutoa chakula kwa wanafunzi
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna jenerali mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye, amefanya ziara ya Kushitukiza kwa Baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari za Halmashauri za Wilaya ya Kigoma na Manispaa ya Kigoma Ujiji, na…
8 January 2024, 17:15
Ndejembi aagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu wahusika wa mradi Kigoma
Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Deogratius Ndejembi amemuagiza Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Kigoma na Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kutoa maelezo ya maandishi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Adolf Nduguru ya kwanini walitoa taarifa ya kukamilika kwa ujenzi…
8 January 2024, 2:22 pm
RC Dendego aagiza wanafunzi wapokelewe bila kikwazo
Na Joyce BugandaMkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewaagiza Walimu na Wakuu wa Shule wote Mkoani humo kuwapokea bila vikwazo wanafunzi wote wanaojiunga na kidato cha kwanza na wale wanaoanza elimu ya msingi. Ameyasema hayo leo wakati wa…
8 January 2024, 8:51 am
Mbunge Maboto atoa vifaa vya milion 28 kwa wanafunzi Bunda mjini
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amekabidhi vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi mil 28 kwa wanafunzi wanaoishi kwenye mazingira magumu wanaotarajia kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo…
5 January 2024, 11:23 pm
Wanafunzi wasiokuwa na sare kuendelea na masomo
Zikiwa zimebaki siku chache shule za msingi na sekondari kufunguliwa hapa nchini mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu atoa wito kwa wakuu wa shule. Na Elizabeth Mafie Wito umetolewa kwa wakuu wa shule za msingi na sekondari katika mkoa…
4 January 2024, 15:02
Wazazi kuchukuliwa hatua kwa kushindwa kumpeleka mtoto shule Kasulu
Wazazi na walezi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwapelekea watoto wao shule ili waweze kupata elimu itakayo wasaidia katika maisha yao ya kila siku. Akizungumza na vyombo vya habari mjini Kasulu Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wilayani Kasulu Selemani Malumbo…
4 January 2024, 14:07
Shule mpya wilayani Chunya kuwakomboa wanafunzi
Tayari tumekwisha Jenga vyumba 8 vya madarasa, ofisi za walimu mbili, jengo la utawala, maktaba, jengo la kompyuta na maabara tatu ya kemia, fizikia na biolojia Na Samwel Mpogole Shule mpya ya Sekondari ya Kata Kambikatoto wilaya ya Chunya Jimbo…
3 January 2024, 10:14 am
Jamii ya wafugaji yahitaji elimu kumkomboa mtoto wa kike
Mkoa wa Manyara unatajwa kuwa wa pili kwa vitendo vya ukatili nchini hivyo elimu zaidi inahitajika hasa kwa jamii ya wafugaji ili kuwanusuru watoto wa kike waweze kufikia ndoto zao. Na Marino Kawishe Kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wilayani Simanjriro…