Elimu
11 January 2024, 18:33
Zaidi ya asilimia 34ya Wanafunzi Mbeya walipoti shuleni ndani ya siku tatu
Na mwandishi wetu, Mbeya Leo Alhamiss Januari 11 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde:Juma Homera ameipokea Kamati ya Kudumu ya Bunge Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Ikiongozwa na M/kit wa Kamati hiyo Denis Lazaro Yondo Mbunge wa…
11 January 2024, 1:15 pm
Kauli ya mkuu wa mkoa wa Arusha kuhusu watoto kurejea shuleni
Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuweka swala la elimu kuwa kipaumbele na kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuhakikisha wazazi wanawapeleka watoto shule. Na Nyangusi Olesang’ida Mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wazazi na…
11 January 2024, 12:11
Songwe Dc yafanya ziara ya uripoti wa Wanafunzi shuleni
Na mwandishi wetu, Songwe Wakuu wa Divisheni ya Elimu Awali, Msingi na Sekondari wamefanya ziara ya kufuatilia hali ya uripoti wa wanafunzi wanaoanza elimu ya awali, darasa la kwanza na wanaojiunga na kidato cha kwanza katika baadhi ya shule zilizopo…
11 January 2024, 11:50
Walimu Songwe DC wapewa mafunzo mtaala ulioboreshwa
Na mwandishi wetu, Songwe Walimu kutoka Kata za Saza, Mkwajuni na Mwambani Wilayani Songwe wamepewa mafunzo ya mtaala ulioboreshwa yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Mkwajuni. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Wilaya ya…
10 January 2024, 7:16 pm
Kampuni ya Blue Coast yakarabati madarasa saba
Wawekezaji wazawa waliyopo wilayani Geita wametakiwa kushirikiana na serikali kuondoa changamoto mbalimbali zilizopo kwenye sekta ya elimu kwenye maeneo waliyowekeza. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Mtaa wa Nyamalembo Kata ya Mtakuja Halmashauri ya Mji wa Geita wameishukuru kampuni…
9 January 2024, 21:25
Kyela:Milioni mbili zatolewa na tunajivunia Kyela Yetu kwa shule nne Kyela
Watoto zaidi ya sabini wenye uhitaji maalumu wamepokea vifaa mbalimbali vya kujifunzia kutoka kwa umoja wa kikundi cha tunajivunia Kyela Yetu hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Vifaa mbalimbali vya kujifunzia vyenye thamani ya shilingi milioni mbili vimetolewa na umoja…
9 January 2024, 9:01 pm
Ndugai akerwa na wanafunzi wanaojifelisha darasa la saba
March 14 mwaka 2023 Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kupitia kwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo white zuber ilitangaza kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na…
9 January 2024, 19:03
Mkuu wa mkoa wa Songwe agawa chakula na kula pamoja na wanafunzi
Na mwandishi wetu, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis K. Michael Ameshiriki kugawa chakula na kula pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Uwanjani iliyopo Halmashauri ya Mji Tunduma Mhe.Dkt. Michael, amefanya ziara hiyo ikiwa ni…
9 January 2024, 18:49
Mkuu wa mkoa wa Songwe aridhishwa na hatua za ujenzi wa wa shule mpya ya Izuba
Na Mwandishi wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt. Francis K. Michael, amekagua ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Izuba Kata ya Isongole Wilayani Ileje na kueleza kuridhishwa na mwenendo wa ujenzi shule hiyo. Mkoa wa Songwe amefanya ukaguzi…
9 January 2024, 18:19
Serikali yawapa tabasamu wakazi wa kata ya Lupepo wilayani Rungwe
Na mwandishi wetu Adha ya kutembea umbali mrefu kwa wanafunzi wa sekondari sasa imemalizika kwa wakazi wa kata ya Lupepo kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa , Maabara, Maktaba, vyoo na jengo la Utawala katika shule Mpya ya…