Radio Tadio

Elimu

17 December 2023, 1:52 pm

PWC watumia redio kumlinda mtoto wa kike kipindi cha likizo

Jamii za kifugaji wilayani Ngorongoro wamekuwa wakitumia kipindi cha likizo kwa wanafunzi pindi wanaporudi nyumbani kutekeleza mila na desturi kwa mtoto wa kike ambazo zimekuwa zikimkatili, Mila au matendo hayo ni kama vile kuozeshwa,mimba za utotoni,kufanyishwa kazi ngumu na hata…

13 December 2023, 8:39 pm

Leo tunaangazia uongozi kwa wanawake

Ameanza jitihada za kuhakikisha elimu inatolewa kwa wanawake. Na Mariam Matundu.Mifumo dume pamoja na uwoga vimetajwa kuwa sababu ya baadhi ya wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali wakati wa chaguzi . Diwani wa kata ya Nala bw.…

13 December 2023, 11:03 am

Wazazi waaswa kuwalinda wanafunzi kipindi cha likizo

Matukio mengi ya ukatili kwa wanafunzi hutokea kipindi cha likizo hivyo wazazi wawe makini kuwalinda watoto wao. Na Cosmas Clement. Wazazi na walezi wa wanafunzi wilayani Pangani mkoani Tanga wameaswa kuwa makini na kuimarisha usimamizi kwa watoto wao katika kipindi…

8 December 2023, 11:16 pm

Wanachama TADIO wanufaika na mafunzo ya kusimamia mitandao

Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…