

13 August 2024, 4:23 pm
Kutokana hali hiyo Taswira ya Habari leo tunawatazama Vijana ambapo ni Wahanga wa ukosefu wa elimu hii .
Na Seleman Kodima.
Ukosefu wa Elimu ya afya ya uzazi imekuwa ikitajwa kama sababu ya kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii.
Katika kufahamu zaidi hili tumefanikiwa kufanya mahojiano na na Dkt Francis Andrew kutoka Hospitali ya Umati na hapa anaeleza zaid