Dodoma FM

Mradi mkubwa wa mapumziko unaotarajiwa kujengwa katika mtaa wa Swaswa

30 July 2024, 7:24 pm

Eneo hilo linatarajiwa kujengwa kisasa ambalo watu wataweza kufanya mazoezi na kupumzika.Picha na Fahari ya Dodoma.

Yussuph Hassani amezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo juu ya mradi wa eneo hilo.

Na Yussuph Hassan.

Tupo mtaa wa Swaswa leo mwenyekiti wa mtaa huo Bw. Charles Nyuma anazungungumzia mradi wa mapumziko ambao unatarajiwa kujengwa katika eneo hilo.