Mazingira
1 Mei 2026, 2:26 um
Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…
Aprili 28, 2026, 1:06 um
Mitazamo hasi kuhusu malaria yakemewa Muleba
Wananchi wamehimizwa kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya, kutumia vyandarua vyenye viuatilifu pamoja na kudumisha usafi wa mazingira ili kupunguza mazalia ya mbu. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Wakazi wa Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera wametakiwa kuondoa mitazamo hasi pindi…
21 Aprili 2026, 10:07
Askofu ataka familia kushirikiana katika maendeleo Kibondo
Umuhimu wa familia kushirikiana kuleta maendeleo ni mkubwa sana katika maisha ya kijamii, kiuchumi na hata kirohona familia inapokuwa na mshikamano na ushirikiano, hujenga msingi imara wa mafanikio kwa kila mwanachama Na Dotto Josephati Askofu wa Kanisa la FPCT Kibondo…
15 Aprili 2026, 8:20 um
Mashujaa FC yajipanga kuivaa Singida Black Stars
Kila mchezaji yuko focused kuelekea mchezo huu. Tunatambua utakuwa mgumu kwa sababu tunaiheshimu Singida Black Stars kama wapinzani wetu, lakini nasi tuna kikosi imara chenye wachezaji bora wazawa wenye uwezo wa kupambana na kupata matokeo chanya Na. Abdunuru Shafii Afisa…
6 Aprili 2026, 12:51
Wakristo wahimizwa kudumisha amani, upendo Kasulu
Jamii imeendelea kukumbushwa umuhimu wa kudumisha upendo na amani kama msingi wa maisha ya imani na mshikamano wa kijamii. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo katika Kata ya Murufiti, Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, wameaswa kuendelea kuishi…
31 Machi 2026, 10:56
Wakristo wahimizwa kudumisha amani na upendo Kasulu
Amani na upendo huimarisha mshikamano wa kijamii na wat wanapoishi kwa kuheshimiana na kusaidiana, hujenga umoja unaowezesha jamii kuishi kwa utulivu bila migogoro. Na Hagai Ruyagila Wakristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kuishi maisha ya kudumisha amani, upendo na…
25 Machi 2026, 19:33
Moro yazindua ugawaji miche bora ya korosho
Lengo ni kuinua kipato cha wakulima kuchangia kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla. Na Katalina Liombechi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mheshimiwa Adam Malima, amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa miche bora ya mikorosho kwa wakulima wa mkoa…
17 Machi 2026, 10:24
Askofu awalilia waliofariki ajali ya boti ziwa Tanganyika
Siku chache baada ya ajali ya boti iliyosababisha vifo vya watumishi wa idara ya afya wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, baadhi ya viongozi wa dini na waumini wa kanisa la Anglikana wamesema maisha ya binadamu hapa duniani ni muda na…
13 Machi 2026, 12:58
Waaswa kutenda mema kipindi cha kwaresma Kasulu
Mchungaji Bhikolimana Abrahamu Bhitona Katika msimu huu wa mfungo wa Kwaresma, Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameaswa kuendelea kutenda matendo mema ili kuenzi mateso na kifo cha Yesu Kristo pamoja na kuimarisha upendo na mshikamano katika…
11 Machi 2026, 12:53
Viongozi wa dini waaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano Kasulu
Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani na Kwaresma kwa wakristo viongozi wa dini hawana budi kuendelea kuwaunganisha waumini wao ili kuweza kuishi kwa upendo Na Hagai Ruyagila Viongozi…