Mazingira
25 May 2026, 09:49
DC Kasulu ataka wananchi kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Ebola
Ugonjwa wa Ebola ni hatari kubwa kwa sababu husababishwa na virusi vinavyoenea kwa haraka kupitia kugusana na majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa kama damu, mate, jasho, mkojo au matapishi Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Isaac…
21 May 2026, 15:08
Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule
Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…
21 May 2026, 08:38
Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu
Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…
12 May 2026, 09:48
Kanisa lanunua magari kuimarisha uchumi wa kanisa Kasulu
Makanisa yana umuhimu mkubwa wa kuanzisha miradi ya kuongeza kipato kwa sababu yanasaidia kuimarisha huduma za kiroho na maendeleo ya jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Katika jitihada za kusaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, Dayosisi ya…
1 May 2026, 2:26 pm
Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…
April 28, 2026, 1:06 pm
Mitazamo hasi kuhusu malaria yakemewa Muleba
Wananchi wamehimizwa kuzingatia ushauri wa wataalam wa afya, kutumia vyandarua vyenye viuatilifu pamoja na kudumisha usafi wa mazingira ili kupunguza mazalia ya mbu. Na Shafiru Yusuph- Muleba, KAGERA Wakazi wa Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera wametakiwa kuondoa mitazamo hasi pindi…
21 April 2026, 10:07
Askofu ataka familia kushirikiana katika maendeleo Kibondo
Umuhimu wa familia kushirikiana kuleta maendeleo ni mkubwa sana katika maisha ya kijamii, kiuchumi na hata kirohona familia inapokuwa na mshikamano na ushirikiano, hujenga msingi imara wa mafanikio kwa kila mwanachama Na Dotto Josephati Askofu wa Kanisa la FPCT Kibondo…
15 April 2026, 8:20 pm
Mashujaa FC yajipanga kuivaa Singida Black Stars
Kila mchezaji yuko focused kuelekea mchezo huu. Tunatambua utakuwa mgumu kwa sababu tunaiheshimu Singida Black Stars kama wapinzani wetu, lakini nasi tuna kikosi imara chenye wachezaji bora wazawa wenye uwezo wa kupambana na kupata matokeo chanya Na. Abdunuru Shafii Afisa…
6 April 2026, 12:51
Wakristo wahimizwa kudumisha amani, upendo Kasulu
Jamii imeendelea kukumbushwa umuhimu wa kudumisha upendo na amani kama msingi wa maisha ya imani na mshikamano wa kijamii. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo katika Kata ya Murufiti, Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, wameaswa kuendelea kuishi…
31 March 2026, 10:56
Wakristo wahimizwa kudumisha amani na upendo Kasulu
Amani na upendo huimarisha mshikamano wa kijamii na wat wanapoishi kwa kuheshimiana na kusaidiana, hujenga umoja unaowezesha jamii kuishi kwa utulivu bila migogoro. Na Hagai Ruyagila Wakristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kuishi maisha ya kudumisha amani, upendo na…