Mazingira
8 August 2026, 13:51
Wito umetolewa kwa makanisa kuhubiri upendo kwa wajane
“Tunahitaji kutiana moyo kwa mambo yote ili kuendelea kulitangaza neno la Mungu kwa mataifa yote bila kujali hali zetu za kimwili”. Na,Daniel Manyanga Wito umetolewa kwa kanisa la waadventista wasabato nchini kuwatambua wamama wajane(wamama majasiri) kwa kuwasaidia vitu mbalimbali ikiwa…
8 August 2026, 12:51
54 wabatizwa makambi ya mtaa wa Luguru Ginnery Itilima
“Matamanio yetu ni kuona watu wanabadili nia na kumgeukia Mungu maana mambo ya kidunia mara nyingi mwisho wake huwaga ni mbaya sasa ni muda mwafaka wa kuihubiri injili ya Bwana kwa watu wote”. Na Daniel Manyanga Watu 54 wamebatizwa katika…
30 July 2026, 10:28
Serikali yatambua mchango wa taasisi za dini Kasulu
Viongozi wa dini wametakiwa kuendelea kuhimiza jamii na waumini wao kusimamia maadili mema ili kujenga kizazi chema Na Hagai Ruyagila Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kutambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kujenga taifa lenye maadili mema,…
11 July 2026, 4:43 pm
Viongozi wa vijiji Hai wahimizwa kuwatambua wanaotoa tiba asili
Viongozi wa Vijiji na mitaa wilaya ya Hai wameashwa kuwatambua watu wote wanaotoa tiba asili, kufuatia vifo vya watu wanne wa familia moja waliofariki kwa kudhaniwa wamekunywa dawa za asili. Na Oliver Joel Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bomang’ombe, Julius Swai,…
7 July 2026, 11:32
Wananchi watakiwa kudumisha amani na mshikamano Kigoma
Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani na bila amani hakuna maendeleo ya kudumu katika nyanja za uchumi, elimu, afya na ustawi wa jamii, hivyo kila mwananchi anapaswa kuitunza na kuilinda amani ili Tanzania iendelee kuwa taifa lenye…
1 July 2026, 12:48
Wananchi Kigoma wahimizwa kuombea viongozi na taifa
Taifa lenye amani na utulivu hujengwa kwa ushirikiano wa wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali za kijamii, ikiwemo taasisi za dini na mojawapo ya njia zinazotajwa kuchangia ustawi wa taifa ni kuwaombea viongozi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima…
29 June 2026, 13:08
Viongozi wa dini watakiwa kuacha uadui, waungane kuimarisha jamii Kigoma
Umoja wa viongozi wa dini ni jambo muhimu sana katika kuleta amani, maadili na maendeleo katika jamii na viongozi wa dini wana nafasi kubwa ya kuwaongoza waamini katika njia sahihi zinazompendeza Mungu na pia zinazochangia ustawi wa jamii kwa ujumla…
19 June 2026, 8:00 am
AI inavyotumika na namna Tanzania inavyojipanga matumizi salama na yenye tija
Tanzania inaendelea kuchukua hatua katika matumizi ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) kama sehemu ya juhudi za kuimarisha elimu, biashara, huduma za jamii na uchumi wa kidijitali. Makala hii ya sauti inaangazia namna Serikali inavyojenga mazingira ya matumizi ya AI kupitia…
17 June 2026, 21:03
Wakristo waaswa kuacha imani potofu kwa kumwamini Mungu Kigoma
Waamini wa dini ya kikristo na wasio wakristo Mkoani Kigoma wameaswa kuondokana na imani za kishirikina na badala yake kumfanya Mungu kuwa ngome katika maisha yao. Hayo yamesemwa na Rd Matiasi Kalihadya katika misa takatifu iliyoambatana na ibada ya uzinduzi…
9 June 2026, 11:45
Watakiwa kuongoza waumini kufikia kusudi la Mungu
Viongozi wa dini wana nafasi kubwa katika kuiongoza jamii kiroho, kimaadili na kijamii. Kupitia mafundisho yao, viongozi hawa hutoa mwongozo unaowasaidia waumini kuishi kwa amani, upendo na mshikamano. Hivyo, ni muhimu viongozi wa dini kumtegemea Mungu na kuwa dira sahihi…