Radio Tadio

Mazingira

6 December 2023, 18:06

Kyela: Kisa mizoga kunuka wananchi wakimbia nyumba zao

Wakaazi wa kitongoji cha roma wanaokizunguka kizimba cha Roma wameitaka serikali ya mamlaka ya mji mdogo wa Kyela kuziondoa taka zinazozagaa katika kizimba hicho ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa kadhia ya harufu mbaya…

4 December 2023, 17:46

Uyole watumia vichaa kutupa taka mitaroni

Na Samwel Ndoni Baadhi ya wakazi wa bonde la Uyole jijini Mbeya wanadaiwa kuwatumia watu wenye ulemavu wa akili ‘vichaa’  kutupa taka kwenye makazi ya watu na mitaro huku wakiwalipa ujira wa sh.500. Hatua hiyo inatajwa kukwamisha juhudi za usafi…

7 November 2023, 5:13 pm

Wananchi Ihumwa A waomba kutengewa eneo la kuhifadhi taka

Hali hii inashangaza kuona mtaa huo ambao haupo mbali na ulipo mji wa serikali ukikosa mzabuni wa kukusanya takataka  na wananchi wakichoma takataka katika maeneo yao wakati sheria zipo na miongozo ya udhibiti na utunzaji wa mazingira . Na Victor…

28 October 2023, 13:56 pm

Makala – Matumizi ya mkaa wa karatasi

Na Musa Mtepa; Makala haya yanaeleza namna ambavyo kikundi hiki kimeamua kujikita katika kuandaaa mkaa unaotokana na mabox pamoja na karatasi. Katika makala haya utawasikia wanakikundi cha Tumalane, Utamaduni na Mazingira maarufu kama TUMA kinachopatikana katika kijiji cha Msangamkuu halmashauri…

24 October 2023, 1:38 pm

NGO’S zatakiwa kufanya tathmini za mazingira

Kikao hicho kimefanyika hapo jana ofini kwake ambapo katibu tawala alizungumza na wadau hao. Na Mariam Kasawa.Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya…

October 22, 2023, 12:35 pm

Wananchi waaswa kuendelea kutunza miradi ya maendeleo

Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis na viongozi wa halmashauri katika mradi wa shamba la kilimo cha ngano ugabwa.picha na ombeni mgongolwa Kutokana na fedha kutolewa kwaajili ya kuendeleza miradi…

16 October 2023, 18:03

Serikali, FAO wazindua kampeni ya upandaji miti Kigoma

Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini, serikali kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani FAO wamezindua zoezi la upandaji miti ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Na, Tryphone Odace Shirika la Chakula na Kilimo la…