Mazingira
7 July 2026, 11:32
Wananchi watakiwa kudumisha amani na mshikamano Kigoma
Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani na bila amani hakuna maendeleo ya kudumu katika nyanja za uchumi, elimu, afya na ustawi wa jamii, hivyo kila mwananchi anapaswa kuitunza na kuilinda amani ili Tanzania iendelee kuwa taifa lenye…
1 July 2026, 12:48
Wananchi Kigoma wahimizwa kuombea viongozi na taifa
Taifa lenye amani na utulivu hujengwa kwa ushirikiano wa wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali za kijamii, ikiwemo taasisi za dini na mojawapo ya njia zinazotajwa kuchangia ustawi wa taifa ni kuwaombea viongozi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima…
29 June 2026, 13:08
Viongozi wa dini watakiwa kuacha uadui, waungane kuimarisha jamii Kigoma
Umoja wa viongozi wa dini ni jambo muhimu sana katika kuleta amani, maadili na maendeleo katika jamii na viongozi wa dini wana nafasi kubwa ya kuwaongoza waamini katika njia sahihi zinazompendeza Mungu na pia zinazochangia ustawi wa jamii kwa ujumla…
19 June 2026, 8:00 am
AI inavyotumika na namna Tanzania inavyojipanga matumizi salama na yenye tija
Tanzania inaendelea kuchukua hatua katika matumizi ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) kama sehemu ya juhudi za kuimarisha elimu, biashara, huduma za jamii na uchumi wa kidijitali. Makala hii ya sauti inaangazia namna Serikali inavyojenga mazingira ya matumizi ya AI kupitia…
17 June 2026, 21:03
Wakristo waaswa kuacha imani potofu kwa kumwamini Mungu Kigoma
Waamini wa dini ya kikristo na wasio wakristo Mkoani Kigoma wameaswa kuondokana na imani za kishirikina na badala yake kumfanya Mungu kuwa ngome katika maisha yao. Hayo yamesemwa na Rd Matiasi Kalihadya katika misa takatifu iliyoambatana na ibada ya uzinduzi…
9 June 2026, 11:45
Watakiwa kuongoza waumini kufikia kusudi la Mungu
Viongozi wa dini wana nafasi kubwa katika kuiongoza jamii kiroho, kimaadili na kijamii. Kupitia mafundisho yao, viongozi hawa hutoa mwongozo unaowasaidia waumini kuishi kwa amani, upendo na mshikamano. Hivyo, ni muhimu viongozi wa dini kumtegemea Mungu na kuwa dira sahihi…
25 May 2026, 09:49
DC Kasulu ataka wananchi kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Ebola
Ugonjwa wa Ebola ni hatari kubwa kwa sababu husababishwa na virusi vinavyoenea kwa haraka kupitia kugusana na majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa kama damu, mate, jasho, mkojo au matapishi Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanali Isaac…
21 May 2026, 15:08
Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule
Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…
21 May 2026, 08:38
Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu
Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…
12 May 2026, 09:48
Kanisa lanunua magari kuimarisha uchumi wa kanisa Kasulu
Makanisa yana umuhimu mkubwa wa kuanzisha miradi ya kuongeza kipato kwa sababu yanasaidia kuimarisha huduma za kiroho na maendeleo ya jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Katika jitihada za kusaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, Dayosisi ya…