
Mazingira

20 March 2023, 5:05 pm
Miti Yapandwa Kituo cha Afya Kazima
KATAVI Wanawake wa kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania [KKKT ]na Wanawake wakatoliki wa Tanzania [WAWATA]jimbo la Mpanda wameeleza umuhimu wa utunzaji mazingira ikiwa ni pamoja na upandaji wa miti. Wameyasema hayo wakati wa zoezi la upandaji miti ambalo limefanywa…

14 March 2023, 4:21 pm
Katika juhudi za kukijanisha Dodoma RC Senyamule aongoza wananchi kupanda miti
Kuuendeleza juhudi za kuukijanisha Mkoa wa Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule leo ameongoza wazazi,waalimu na wanafunzi wa shule ya Msingi Chang’ombe B kupanda miti. Na Fred Cheti. Katika kuuendeleza juhudi za kuukijanisha Mkoa wa Dodoma Mkuu…

3 March 2023, 2:05 pm
Wananchi watumie kumbukizi ya siku zao za kuzaliwa kupanda miti
Hatua hii inatoa tafsiri ya moja kwa moja na kuhitaji uhamasishaji wa pamoja wakufikia azma serikali ya Lengo la kupanda miti 5,075,000, katika kipindi cha miaka minne. Na Selemani Kodima Wito umetolewa kwa wananchi jijini Dodoma kutumia kumbukizi ya siku…

22 February 2023, 6:28 pm
Sheria ya Mita 60 Bado Changamoto
MPANDA Utekelezaji wa sheria ya kutofanya shughuli za kibinaadamu ndani ya mita 60 kutoka mtoni umekuwa bado una changamoto kwa wakazi wanaoishi karibu na maeneo ya mito licha ya msisitizo kuhusu sheria hiyo. Baadhi ya wakazi wanaoishi kuzunguka mto Mpanda…

22 February 2023, 6:18 pm
Mtapenda Yaendeleza Kampeni ya Upandaji Miti
NSIMBO Katika kuunga mkono Kampeni ya serikali ya upandaji wa miti kata ya Mtapenda Halmashauri Ya Nsimbo Mkoani Katavi imeanza zoezi la upandaji wa miti katika vijiji vyake kwa lengo la kuendelea kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Wakizungumza na…

22 February 2023, 12:54 pm
Agizo,DC Iringa Upandaji wa Miti
Kulingana na jiografia ya mkoa wa Iringa kupandwa Kwa miti hiyo Kando ya barabara kutachochea utunzaji wa mazingira pia itasaidia kupunguza athari za ajali hasa katika maeneo yenye milima na maporomoko. Na Hawa Mohammed. Serikali ya Wilaya ya Iringa imeagiza…

19 February 2023, 4:13 pm
Andaeni mikakati ya usafi ili itekelezwe
Na Rifati Jumanne Katika kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara inarejea katika usafi wa mazingira,mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kilombero imewaomba Halmashauri ya Wilaya kuandaa mikakati maalumu ili wao waitekeleze kama ilivyo azma yao ya kusaidiana na serikali katika kila…

18 February 2023, 09:24
Makala: Uhamasishaji wa kutunza bahari kwa manufaa ya baadae
By Musa Mtepa Ni mkala inayohusisha tasisi ya kiraia ya jumuia ya umoja wa wavuvi wa Jodari nchini Tanzania maarufu TUNA ALLIANCE ambao walifanya utafiti wa mazingira ya Bahari ya Hindi kutoka visiwani Zanzibar hadi mikoa ya Lindi na Mtwara.…

11 February 2023, 4:14 pm
Mikakati ya kuondokana na uchafu wa mazingira yaanza kutekelezwa-Ifakara
Na Elias Maganga Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wameshauriwa kuunga mkono kampeni ya usafi wa mazingira inayojulikana Usafi wangu mita tano na mita tano usafi wangu,kwa kufanya hivyo watakuwa wanajikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ya maambukizi.…

10 February 2023, 10:37 am
Suluhisho la migogoro ya Ardhi na uharibifu wa mazingira Pangani
Katika ngazi ya kijiji mamlaka inayohusika na maandalizi ya mpango wa matumizi ya ardhi ya kijiji ni halmashauri ya Kijiji ambayo inaweza kufanya utekelezaji wake kupitia kamati ya usimamizi na matumizi ya ardhi. Na Erick Mallya Serikali ya kijiji cha…