
Mazingira

6 December 2023, 18:06
Kyela: Kisa mizoga kunuka wananchi wakimbia nyumba zao
Wakaazi wa kitongoji cha roma wanaokizunguka kizimba cha Roma wameitaka serikali ya mamlaka ya mji mdogo wa Kyela kuziondoa taka zinazozagaa katika kizimba hicho ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa kadhia ya harufu mbaya…

4 December 2023, 17:46
Uyole watumia vichaa kutupa taka mitaroni
Na Samwel Ndoni Baadhi ya wakazi wa bonde la Uyole jijini Mbeya wanadaiwa kuwatumia watu wenye ulemavu wa akili ‘vichaa’ kutupa taka kwenye makazi ya watu na mitaro huku wakiwalipa ujira wa sh.500. Hatua hiyo inatajwa kukwamisha juhudi za usafi…

20 November 2023, 14:24
Jamii Kigoma yashauriwa kushirikiana na serikali kukabiliana na uharibifu wa ma…
Serikali imesema itaendelea kuthamini mchango wa taasisi ya Jane Goodall katika kuhakikisha inatekeleza shughuli zake za utoaji wa elimu ya mazingira na kilimo kuitia ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Na Tryphone Odace Wadau wa maendeleo mkoani Kigoma wameshauriwa…

14 November 2023, 5:58 pm
Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasicha…
Leo tunaangazia jinsi Athari za mabadiliko ya tabia nchi zinavyosababisha kushuka kwa elimu ya wasichana. Na Mariam Matundu. Mariam matundu awali alizungumza na mwanaharakati wa maswala ya mabadiliko ya tabia nchi na haki za wasichana fower malle na ameanza kumuuliza…

7 November 2023, 5:13 pm
Wananchi Ihumwa A waomba kutengewa eneo la kuhifadhi taka
Hali hii inashangaza kuona mtaa huo ambao haupo mbali na ulipo mji wa serikali ukikosa mzabuni wa kukusanya takataka na wananchi wakichoma takataka katika maeneo yao wakati sheria zipo na miongozo ya udhibiti na utunzaji wa mazingira . Na Victor…

1 November 2023, 12:37 pm
Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri shughuli za kilimo-Makala
Mabadiliko ya Tabianchi ni mabadiliko ya hali ya hewa ya muda mrefu katika eneo fulani (Mkoa, Nchi au Bara) tofauti na iliyozoeleka. Mabadiliko hayo huleta athari katika nyanja za kiuchumi, kimazingira na kijamii. Na Alfred Bulahya. Tunapata kusikia kisa cha…

28 October 2023, 13:56 pm
Makala – Matumizi ya mkaa wa karatasi
Na Musa Mtepa; Makala haya yanaeleza namna ambavyo kikundi hiki kimeamua kujikita katika kuandaaa mkaa unaotokana na mabox pamoja na karatasi. Katika makala haya utawasikia wanakikundi cha Tumalane, Utamaduni na Mazingira maarufu kama TUMA kinachopatikana katika kijiji cha Msangamkuu halmashauri…

24 October 2023, 1:38 pm
NGO’S zatakiwa kufanya tathmini za mazingira
Kikao hicho kimefanyika hapo jana ofini kwake ambapo katibu tawala alizungumza na wadau hao. Na Mariam Kasawa.Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ally Gugu ameyataka Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yanayojihusisha na masuala ya Mazingira kukutana na kufanya tathmini ya…

October 22, 2023, 12:35 pm
Wananchi waaswa kuendelea kutunza miradi ya maendeleo
Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis na viongozi wa halmashauri katika mradi wa shamba la kilimo cha ngano ugabwa.picha na ombeni mgongolwa Kutokana na fedha kutolewa kwaajili ya kuendeleza miradi…

16 October 2023, 18:03
Serikali, FAO wazindua kampeni ya upandaji miti Kigoma
Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini, serikali kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani FAO wamezindua zoezi la upandaji miti ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Na, Tryphone Odace Shirika la Chakula na Kilimo la…