Dodoma FM
Dodoma FM
25/10/2023, 14:02

Baadhi ya jamii bado zinaamini mila na desturi kamdamizi kuwa mwanaume ni kilakitu katika familia .
Na Mariam Matundu.
Je uhuru wa matumizi ya kipato ninini?
Je nini kinapelekea baadhi ya wanaume kuwanyima wake au wenza wao uhuru wa kutumia vipato vyao.