Radio Tadio

Maji

15 August 2026, 14:31

MV Liemba yafanya majaribio ziwa Tanganyika

MV Liemba, ambayo imekuwa sehemu muhimu ya historia ya usafiri katika Ziwa Tanganyika, inatarajiwa kurejea katika huduma ikiwa ni hatua muhimu katika juhudi za serikali kuimarisha usafiri wa majini nchini. Na Mwandishi wetu Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema…

8 August 2026, 13:51

Wito umetolewa kwa makanisa kuhubiri upendo kwa wajane

“Tunahitaji kutiana moyo kwa mambo yote ili kuendelea kulitangaza neno la Mungu kwa mataifa yote bila kujali hali zetu za kimwili”. Na,Daniel Manyanga  Wito umetolewa kwa kanisa la waadventista wasabato nchini kuwatambua wamama wajane(wamama majasiri) kwa kuwasaidia vitu mbalimbali ikiwa…

8 August 2026, 12:51

54 wabatizwa makambi ya mtaa wa Luguru Ginnery Itilima

“Matamanio yetu ni kuona watu wanabadili nia na kumgeukia Mungu maana mambo ya kidunia mara nyingi mwisho wake huwaga ni mbaya sasa ni muda mwafaka wa kuihubiri injili ya Bwana kwa watu wote”. Na Daniel Manyanga Watu 54 wamebatizwa katika…

5 August 2026, 14:08

Unyonyeshaji pekee hulinda afya ya mtoto

Unyonyeshaji wa maziwa ya mama ni njia bora ya kumpatia mtoto lishe kamili, kinga dhidi ya magonjwa na msingi mzuri wa ukuaji katika miezi sita ya mwanzo wa ukuaji wake. Na Asha Madohola Wananchi Wilayani Kilosa wamehimizwa kuendelea kuzingatia unyonyeshaji…

1 August 2026, 10:45

Kilosa yazindua wiki ya unyonyeshaji duniani

Wiki ya Unyonyeshaji Duniani huadhimishwa kila mwaka kuanzia Agosti 1 hadi 7, ikiwa na lengo la kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa unyonyeshaji wa maziwa ya mama katika kuhakikisha watoto wanapata afya bora, lishe sahihi na ukuaji unaofaa. Na Asha Madohola…

30 July 2026, 17:15

Vijana wapatiwe elimu ya mikopo, DC Simalenga

“Tunahitaji kuona kundi la vijana wanajisimamia wao kiuchumi na siyo kuanza kulaumu serikali kwamba haitoi ajira wakati tayari serikali kupitia halmashauri kuna asilimia kumi ya mapato ya ndani inawasubiri wao ili kujikwamua kiuchumi kupitia vikundi”.  Na Daniel Manyanga  Mkuu wa…

20 July 2026, 11:46

TPA kuendelea kupanua na kuboresha bandari nchini

Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…

19 July 2026, 15:43

Rais Dkt. Samia kuzindua meli nne za mizigo Kigoma

Uzinduzi wa meli za mizigo ndani ya ziwa Tanganyika ni hatua muhimu ya kuufungua mkoa wa Kigoma sasa kuwa lango la kibiashara kwa nchi zinazozunguka ziwa Tanganyika Na Josephine Kiravu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu…