Radio Tadio

Maji

17 January 2025, 8:14 pm

DC Simalenga ataka uwazi ugawaji wa viuatilifu vya Pamba

“Kilimo ni uti wa mgongo katika taifa letu ambapo zaidi ya asilimia 75 ya wananchi wake wanahusika na kilimo hivyo lazima tuwekeze nguvu kubwa ili kuzalisha kwa tija”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi  mkoani Simiyu,Simon Simalenga amewataka viongozi…

8 January 2025, 8:53 pm

Bariadi DC yaomba kutumia bilioni 34 mwaka 2025/26

“Uroho wa viongozi kutaka maendeleo katika maeneo yao ya kiutawala ni chachu moja wapo ya kutambua kiongozi mwenye kujali wananchi anaowaongoza”. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amewashauri madiwani wa halmashauri ya wilaya ya…

8 January 2025, 8:05 pm

Idadi ya watalii wa ndani imeshuka pori la akiba Kijereshi

“Elimu ya utalii bado inahitajika kwa jamii ili kuwajengea uzoefu wa kupenda kutembelea vivutio mbalimbali kwa lengo la kujifunza pamoja na kuchangia pato la Taifa”. Na, Daniel Manyanga Imeelezwa kuwa elimu utalii bado inahitajika kwa wananchi mkoani Simiyu ili waweze…

7 January 2025, 8:34 pm

Binadamu waathiri pori la akiba Kijereshi

“Shughuli za kibinadamu ni changamoto nyingine katika kuhifadhi mapori ya akiba tunakila sababu jamii kwa ujumla kushiriki kikamilifu katika kulinda tuzu zetu”. Na, Daniel Manyanga Wananchi waishio pembezoni mwa pori la akiba Kijereshi lililopo katika wilaya za Bariadi na Busega…

6 January 2025, 8:43 pm

Wafugaji Itilima watakiwa kutoingiza mifugo hifadhini

“Mifugo inachangia pato la Taifa lakini hatuwezi kuacha maeneo ya hifadhi hapa nchini yaharibiwe na wafugaji wasiotaka kufuata sheria,kanuni na taratibu za uhifadhi katika kulinda uoto wa asili ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.”  Na, Daniel Manyanga  Wafugaji waishio…

31 December 2024, 9:06 pm

Rais Samia apeleka furaha kwa yatima mkoani Simiyu

“Dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji ili nao waweze kujisikia kuwa wanathaminiwa na jamii na kuwatambua katika kuijenga nchi bila kujali mapungufu waliyonayo”. Na, Daniel Manyanga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, amewakumbuka watoto yatima…

24 December 2024, 15:34 pm

Upatikanaji wa huduma za kijamii kwa wenye ulemavu

Na Msafiri Kipila na Grace Hamis Abedi Yusuph Lukanga ambaye ni mlemavu wa miguu, amesema kwamba bado kuna changamoto kubwa katika huduma za afya na za kijamii kwa watu wenye ulemavu kutokana na miundombinu isiyo rafiki kwa mahitaji yao. Hata…

24 December 2024, 12:31 pm

Nini kifanyike kuondoa unyanyapaa wa walemavu katika jamii?

Na Grace Hamisi Unyanyapaa kwa watu wenye ulemavu ni changamoto inayowakumba katika sehemu mbalimbali za maisha yao. Mara nyingi, watu wenye ulemavu huonekana kana kwamba hawana uwezo wa kujitetea au kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii. Katika makala hii, tunachunguza…

23 December 2024, 8:36 pm

Wazazi wafelisha wanafunzi 213 elimu ya msingi mkoani Simiyu

“Pamoja na kwamba maandiko matakatifu yanasema kuwa mkamate sana elimu usimwache aende zake mshike maana yeye ni uzima wako Mithali 4:13 lakini wazazi wameendelea kuwa vikwazo kwa wanafunzi kutimiza ndoto zao”. Na, Daniel Manyanga Wanafunzi 213 walifanya mtihani wa kumaliza…