Radio Tadio

Maji

10 May 2025, 9:17 pm

CHADEMA kuvunja makundi, kuendeleza mapambano

CHADEMA yaendelea na kampeni yake ya No reforms, no election katika mikoa ya kanda ya ziwa na leo mei 10,2025 ni zamu ya mkoa wa Geita. Na Mrisho Sadick: Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika…

10 May 2025, 1:54 pm

CCM yaombwa kuingilia sakata la wananchi kukamatwa Chato

Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…

6 May 2025, 6:17 pm

Hewa tiba yaokoa gharama za matibabu kwa wananchi Simiyu

‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…

3 May 2025, 8:14 pm

Bei ya pamba bado ni kitendawili kwa wakulima

‘‘Nani atamfunga Paka kengele? Je nani ambaye ataziona nguvu za wakulima wa zao la pamba wanapohangaika wakati wa kilimo hivi hatuwezi kuwa na soko huria ili kuipa thamani pamba yetu maana naona kabisa vita vya Panzi furaha ya Kunguru anayeumia…

1 May 2025, 5:47 pm

Wafanyabiashara Maswa wakana kuchangishwa fedha za nyumba ya DC

“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na  watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…

24 April 2025, 6:40 pm

Jela miaka 30, fidia laki mbili kwa kuzini na mwanae wa damu

“Nafikiri bado kuna kila sababu kwa mamlaka zilizopewa kutunga sheria kukaa tena chini kuziangalia upya hizi sheria zetu maana haiwezekani kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea licha ya wahusika kuhukumiwa kutumikia adhabu ya kifungo kama itawezekana adhabu ya…