Radio Tadio

Maji

17 Aprili 2026, 4:26 um

Simiyu kuandika historia ya umeme Mei 30

“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ambao hauwezi kuwa kikwazo hasa kwa wafanyabiara na wajasiriamali ambao shughuli zao zinahitaji nishati hiyo bila kukatika mara kwa mara ili waweze kujiongezea kipato zaidi”. Na Daniel Manyanga  Wakazi wa mkoa wa Simiyu wameiomba…

Aprili 13, 2026, 6:54 um

Asante Africa Foundation yasaidia wanafunzi 101 Geita

Wanafunzi 101 kutoka shule za sekondari Dhahabu, Evarist na Lwamugasa wamepatiwa vifaa mbalimbali vya kujiendeleza kitaaluma dhamira kuu ikiwa ni kuongeza ufanisi wa sera ya elimu bure. Na Clement Shawishi- Geita Afisa Elimu kata ya Nyarugusu wilayani Geita Bw. Robert…

11 Aprili 2026, 5:52 mu

Wanaume Simiyu wafanyiwa ukatili wa kijinsia

Wakati taarifa kutoka dawati la jinsia na watoto zikieleza kuwa idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ni wanawake na watoto, lakini hali ni tofauti kwa baadhi ya wanaume wa mkoa wa Simiyu, wakieleza kuwa wamepitia ukatili kutoka kwa wake…

10 Aprili 2026, 6:59 mu

Pelekeni watoto shule wakasome, DC Simalenga

“Waswahili na wajuzi wa falsafa wanamisemo mizuri kuhusu elimu utasikia elimu ni bahari elimu ni ufunguo wa maisha, elimu haina mwisho, elimu ni dira hiyo yote misemo ni chachu ya kuleta ushindani na hamasa kwa wazazi na walezi kujuwa umuhimu…

31 Machi 2026, 12:09 um

Utelekezaji wa familia unavyoathiri malezi ya watoto

Makala hii inaelezea mwanamke ambae aliyetelekezwa na mumewake baada ya kupata ulemavu na kusababisha mzigo wa malezi kwa mzazi mmoja. Na Zaituni Juma akishirikiana na Nicholaus Mwaibale Bi Tausi ni mama wa watoto watatu mkazi wa Manispaa ya Tabora, ambaye…

18 Machi 2026, 4:43 um

TANROADS Simiyu waanza ujenzi wa barabara ya heavy weight

“Tunahitaji kuwa na miundombinu imara ya barabara ili kulinda usalama wa vyombo vya usafiri pamoja na watumiaji wake maana siku hizi kelele zimekuwa nyingi sana kutoka kwa watumiaji wa barabara juu ya ubovu wake na namna ambavyo unachangia kuhari vyombo…

17 Machi 2026, 1:22 um

RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi

“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…

17 Machi 2026, 6:19 mu

RC Macha ataka elimu ya matumizi ya barabara

“Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anamringi Macha ameagiza watu wote wanoharibu miundombinu ya barabara kwa namna mbalimbali ikiwemo kupitisha mifugo kwenye barabara za lami mkoani humo wapatiwe elimu juu ya matumizi ya barabara na baada ya kuelemishwa wale wote watakaoendelea kufanya shughuli zinazoharibu miundombinu…

13 Machi 2026, 2:45 um

Madereva wakumbushwa kukagua magari kuepusha ajali

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini wito umetolewa kwa watumiaji wa barabara pamoja na madereva kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa vyombo vyao vya moto ili kuepusha ajali. Na Oliva Joel Hai -Kilimanjaro Katika kipindi hiki…