Radio Tadio

Maji

23 August 2026, 06:19

Magereza waacha tabasamu kwa watoto njiti

“Magereza siyo sehemu ya mateso kama ambavyo watu wengi wamekaririshwa na baadhi ya watu hapa ukija kama mfungwa siku unaachiwa unatoka na ujuzi ambao utakusaidia huko maana yake hii ni sehemu kurekebisha tabia na kupatiwa ujuzi”. Na Daniel Manyanga  Katika…

21 August 2026, 14:26

Miaka 20 ya polisi jamii yaacha faraja kwa wagonjwa Maswa

“Wananchi wasituone kama maadui wao kama wanavyotafsiri watu wengine polisi na raia ni ndugu hakuna utofauti wowote hata polisi ni kazi tu lakini kuna siku atasitaafu kazi na kurudi kwenda kuishi na wananchi wa kawaida”. Na,Daniel Manyanga Katika kuadhimisha miaka…

15 August 2026, 14:31

MV Liemba yafanya majaribio ziwa Tanganyika

MV Liemba, ambayo imekuwa sehemu muhimu ya historia ya usafiri katika Ziwa Tanganyika, inatarajiwa kurejea katika huduma ikiwa ni hatua muhimu katika juhudi za serikali kuimarisha usafiri wa majini nchini. Na Mwandishi wetu Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema…

8 August 2026, 13:51

Wito umetolewa kwa makanisa kuhubiri upendo kwa wajane

“Tunahitaji kutiana moyo kwa mambo yote ili kuendelea kulitangaza neno la Mungu kwa mataifa yote bila kujali hali zetu za kimwili”. Na,Daniel Manyanga  Wito umetolewa kwa kanisa la waadventista wasabato nchini kuwatambua wamama wajane(wamama majasiri) kwa kuwasaidia vitu mbalimbali ikiwa…