![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Maji
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/07/picha-wananchi-1-350x350.jpg )
25 July 2024, 10:34 am
M/Kiti UVCCM wilaya ya Geita ahimiza vijana kujiandikisha
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Geita Manjale Magambo amewataka vijana kujitokeza katika kwenda kujiandikisha katika daftari la mpinga kura. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa UVCCM Manjale Magambo akiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika Julai 22,…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/07/screenshot-20240718-111925-1-1-350x350.jpg )
July 24, 2024, 4:06 pm
Wamiliki wa silaha mkoani Manyara watakiwa kuhakiki silaha zao
Kamanda wa wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi amesema jeshi la polisi kwa kushirikiana na timu kutoka makao makuu ya polisi Dodoma watafanya uhakiki wa silaa kwa wamiliki wa silaa ili kujiridhisha kama anuani ya mmiliki wa silaa imebadilika na…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/mahindi-pic-350x350.jpg )
24 July 2024, 2:37 pm
Mbinu bora za uhifadhi mazao ya chakula
Picha kwa msaada wa mtandao Na Evanda Barnaba Uhifadhi wa mazao ya chakula ni suala muhimu sana, hasa kwa wakulima na jamii zetu kwa ujumla. Mazao mengi yanaharibika baada ya mavuno kutokana na uhifadhi duni, jambo ambalo linaweza kusababisha upungufu…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/mazao-350x350.jpg )
23 July 2024, 12:39 pm
Mbinu bora za uhifadhi wa mazao ya chakula
Picha kwa masaada wa mtandaoni Na Mwaandishi wetu Evanda Barnaba Jamii na wakulima hawana uelewa wa namna bora ya kuhifadhi mazao ya chakula mwandishi wetu Evanda Barnaba Amemtembelea bwana Maulidi Hashimu kutoka kijiji cha loksale kuzungumza naye mchakato mzima kuanzia…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
19 July 2024, 17:29
UWSA Mbeya kuongeza mtandao wa maji taka
Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka na kukarabati ili kuwafikia wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi na usafi wa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/07/screenshot-20240719-115909-1-350x350.jpg )
19 July 2024, 5:29 pm
Madereva wazembe,vyombo vibovu hakuna atakae kuwa salama Simiyu
“Katika kuzuia na kupambana na madereva wazembe wanaosababisha ajali zisizo za lazima zinazotokana na ubovu wa vyombo vya usafirishaji wanavyotumia jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limekuja oparesheni la ukaguzi wa vyombo vya moto” Na,Daniel Manyanga Kamanda wa jeshi la…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/07/screenshot-20240719-120339-350x350.jpg )
19 July 2024, 2:27 pm
Shimo lakatisha maisha ya Anna, Martha Bariadi
“Usalama wa maisha ni jambo muhimu ili kutimiza malengo ya wananchi wetu nchi bila kuhakikisha usalama wa maeneo wanapotoka wananchi hatuwezi kufikia azma ya maendeleo ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla” Na Daniel Manyanga Wanafunzi wawili waliotambulika kwa majina…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/07/screenshot-20240716-124807-1-350x350.jpg )
17 July 2024, 9:45 pm
Maswa:Wananchi wa Zanzui meno thelathini na mbili nje mradi wa maji safi
“Katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya sita imeendelea kutekeleza adhima ya kumtua Mama ndoo kichwani kwa vitendo” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya billion 1.5 zinatarajiwa kutumika kupeleka huduma ya…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/05/20240507-085829-350x350.jpg )
15 July 2024, 9:10 pm
TVS 150 kupeleka kicheko kwa wateja wa maji mjini Maswa
“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji” Na, Daniel Manyanga Mamlaka ya maji safi na usafi wa…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/07/screenshot-20240711-161753-350x350.jpg )
11 July 2024, 4:49 pm
Nyongo amwaga maua kwa Dkt.Samia kwa utekelezaji miradi Maswa
“Ujenzi wa mabweni mashuleni watajwa kuwa mwarobaini wa kukabiliana na mimba mashuleni haswa kwa wanafunzi wa kike Ili waweze kutimiza malengo yao” Na, Daniel Manyanga Naibu waziri ofisi ya Rais mipango na uwekezaji ambaye pia ni mbunge wa jimbo la…