Maji
6 June 2026, 9:23 pm
CCM Geita yapiga marufuku siasa za makundi
Ujenzi wa ofisi hiyo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha shughuli za CCM ngazi ya kata na kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa majukumu ya chama Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nikolaus Kasendamila amewataka wanachama wa…
4 June 2026, 2:19 pm
Wafugaji Simanjiro washauriwa kuhifadhi malisho na kuchanja mifugo
Wafugaji katika Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameshauriwa kuchukua hatua za dharura za kuhifadhi malisho na kulinda vyanzo vya maji, ili kukabiliana na msimu wa kipupwe unaotarajiwa kuwa na baridi kali na ukavu mkubwa. Na Isack Dickson Rai hiyo imetolewa…
1 May 2026, 1:17 am
Rasmi waziri katambi afunga kambi ya nduta kibondo
Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…
24 April 2026, 1:14 pm
Upatikanaji wa maji unavyobadili maisha ya wanawake Simanjiro
Na Isack Dickson Katika Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara, upatikanaji wa maji safi na salama unaendelea kufungua fursa mpya za maendeleo kwa wanawake. Kupitia kilimo cha umwagiliaji, wanawake wengi sasa wanalima mbogamboga, kuongeza kipato cha familia, kuboresha lishe za…
22 April 2026, 08:04
“Wachimbaji wadogo wa madini tumieni mifumo rasmi ya kifedha”
“Tumieni mifumo rasmi ya kifedha ili kuongeza thamani na kuweza kupata mikopo kwa urahisi kutokana na utunzaji wa kumbukumbu wa kifedha kwenye mifumo ya kidigitali na hii itatusaidia kujuwa kipato na matumizi katika shughuli zetu za uchimbaji wa madini”. Na,Daniel…
17 April 2026, 16:26
Simiyu kuandika historia ya umeme Mei 30
“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ambao hauwezi kuwa kikwazo hasa kwa wafanyabiara na wajasiriamali ambao shughuli zao zinahitaji nishati hiyo bila kukatika mara kwa mara ili waweze kujiongezea kipato zaidi”. Na Daniel Manyanga Wakazi wa mkoa wa Simiyu wameiomba…
April 13, 2026, 6:54 pm
Asante Africa Foundation yasaidia wanafunzi 101 Geita
Wanafunzi 101 kutoka shule za sekondari Dhahabu, Evarist na Lwamugasa wamepatiwa vifaa mbalimbali vya kujiendeleza kitaaluma dhamira kuu ikiwa ni kuongeza ufanisi wa sera ya elimu bure. Na Clement Shawishi- Geita Afisa Elimu kata ya Nyarugusu wilayani Geita Bw. Robert…
11 April 2026, 05:52
Wanaume Simiyu wafanyiwa ukatili wa kijinsia
Wakati taarifa kutoka dawati la jinsia na watoto zikieleza kuwa idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ni wanawake na watoto, lakini hali ni tofauti kwa baadhi ya wanaume wa mkoa wa Simiyu, wakieleza kuwa wamepitia ukatili kutoka kwa wake…
10 April 2026, 06:59
Pelekeni watoto shule wakasome, DC Simalenga
“Waswahili na wajuzi wa falsafa wanamisemo mizuri kuhusu elimu utasikia elimu ni bahari elimu ni ufunguo wa maisha, elimu haina mwisho, elimu ni dira hiyo yote misemo ni chachu ya kuleta ushindani na hamasa kwa wazazi na walezi kujuwa umuhimu…
31 March 2026, 12:09 pm
Utelekezaji wa familia unavyoathiri malezi ya watoto
Makala hii inaelezea mwanamke ambae aliyetelekezwa na mumewake baada ya kupata ulemavu na kusababisha mzigo wa malezi kwa mzazi mmoja. Na Zaituni Juma akishirikiana na Nicholaus Mwaibale Bi Tausi ni mama wa watoto watatu mkazi wa Manispaa ya Tabora, ambaye…