
Maji

12 May 2025, 1:05 pm
Wananchi kuchangia pato la taifa kupitia pori la akiba Kijereshi
‘‘Kuchangia uchumi wa nchi kupitia utalii siyo jukumu la watilii wa kigeni kama ambavyo watu wengine wanafikiri sote tunajukumu hilo kama wananchi wazalendo ambao tunazunguka katika maeneo ya hifadhi au mapori ya akiba ili sisi tuwe mabalozi wazuri hata kuwajuza…

10 May 2025, 9:17 pm
CHADEMA kuvunja makundi, kuendeleza mapambano
CHADEMA yaendelea na kampeni yake ya No reforms, no election katika mikoa ya kanda ya ziwa na leo mei 10,2025 ni zamu ya mkoa wa Geita. Na Mrisho Sadick: Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika…

10 May 2025, 1:54 pm
CCM yaombwa kuingilia sakata la wananchi kukamatwa Chato
Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…

7 May 2025, 7:43 pm
PharmAccess yaja na mikopo nafuu kuboresha huduma za afya Zanzibar
Na Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, kuboresha huduma za afya kwa wananchi wote zanzibar , Taasisi ya PharmAccess…

6 May 2025, 6:17 pm
Hewa tiba yaokoa gharama za matibabu kwa wananchi Simiyu
‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…

5 May 2025, 5:24 pm
Wakulima wa pamba waomba kutazamwa upya kwa bei ya msimu huu
“Tusikilize hoja za wakulima wa pamba na tuzifanyie kazi maana kuna siku uzalishaji wa zao hilo utakuja kushuka na mwisho tutaanza kumtafuta mchawi ni nani wakati sisi ndiyo tulikuwa watu wa kwanza kufifisha juhudi za wakulima wetu kwa kitu kidogo…

3 May 2025, 8:14 pm
Bei ya pamba bado ni kitendawili kwa wakulima
‘‘Nani atamfunga Paka kengele? Je nani ambaye ataziona nguvu za wakulima wa zao la pamba wanapohangaika wakati wa kilimo hivi hatuwezi kuwa na soko huria ili kuipa thamani pamba yetu maana naona kabisa vita vya Panzi furaha ya Kunguru anayeumia…

1 May 2025, 5:47 pm
Wafanyabiashara Maswa wakana kuchangishwa fedha za nyumba ya DC
“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…

30 April 2025, 2:34 pm
Jumanne jela miaka 30,fidia laki tano kwa kubaka mwanafunzi wa sekondari Maswa
“Kuna kila sababu sasa kwa mamlaka za kutunga sheria kukubali kuwa sheria walizotunga siyo kali na wala wananchi waovu hawaziogopi tena hizo adhabu maana kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea sasa ipo haja ya kurudi tena darasani tuje…

24 April 2025, 6:40 pm
Jela miaka 30, fidia laki mbili kwa kuzini na mwanae wa damu
“Nafikiri bado kuna kila sababu kwa mamlaka zilizopewa kutunga sheria kukaa tena chini kuziangalia upya hizi sheria zetu maana haiwezekani kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea licha ya wahusika kuhukumiwa kutumikia adhabu ya kifungo kama itawezekana adhabu ya…