Maji
10 April 2026, 06:59
Pelekeni watoto shule wakasome, DC Simalenga
“Waswahili na wajuzi wa falsafa wanamisemo mizuri kuhusu elimu utasikia elimu ni bahari elimu ni ufunguo wa maisha, elimu haina mwisho, elimu ni dira hiyo yote misemo ni chachu ya kuleta ushindani na hamasa kwa wazazi na walezi kujuwa umuhimu…
31 March 2026, 12:09 pm
Utelekezaji wa familia unavyoathiri malezi ya watoto
Makala hii inaelezea mwanamke ambae aliyetelekezwa na mumewake baada ya kupata ulemavu na kusababisha mzigo wa malezi kwa mzazi mmoja. Na Zaituni Juma akishirikiana na Nicholaus Mwaibale Bi Tausi ni mama wa watoto watatu mkazi wa Manispaa ya Tabora, ambaye…
27 March 2026, 14:11 pm
Kilimo cha mavundu chatoa tumaini kwa wakulima Nachingwea
‘Kilimo ni uti wa mgongo’, huu ni msemo uliotumiwa tangu enzi za kale na hadi leo msemo huu unaishi ndani ya jamii zetu na kutambua umuhimu wa kilimo katika maisha. Na. Faraja Membe Shirika la Kuhifadhi Misitu Asili Tanzania (TFCG),…
18 March 2026, 16:43
TANROADS Simiyu waanza ujenzi wa barabara ya heavy weight
“Tunahitaji kuwa na miundombinu imara ya barabara ili kulinda usalama wa vyombo vya usafiri pamoja na watumiaji wake maana siku hizi kelele zimekuwa nyingi sana kutoka kwa watumiaji wa barabara juu ya ubovu wake na namna ambavyo unachangia kuhari vyombo…
17 March 2026, 13:22
RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi
“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…
17 March 2026, 06:19
RC Macha ataka elimu ya matumizi ya barabara
“Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anamringi Macha ameagiza watu wote wanoharibu miundombinu ya barabara kwa namna mbalimbali ikiwemo kupitisha mifugo kwenye barabara za lami mkoani humo wapatiwe elimu juu ya matumizi ya barabara na baada ya kuelemishwa wale wote watakaoendelea kufanya shughuli zinazoharibu miundombinu…
13 March 2026, 2:45 pm
Madereva wakumbushwa kukagua magari kuepusha ajali
Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali hapa nchini wito umetolewa kwa watumiaji wa barabara pamoja na madereva kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa vyombo vyao vya moto ili kuepusha ajali. Na Oliva Joel Hai -Kilimanjaro Katika kipindi hiki…
11 March 2026, 14:21
DC Anney atangaza msako kwa wadaiwa sugu wa mikopo ya 10%
“Hatuwezi kupoteza fedha za walipa kodi kwa watu wasiokuwa waaminifu wanaokuja kwa kuomba mikopo kwenye halmashauri zetu wanapewa ikifika wakati wa marejesho wanaingia mitini lazima tuwe na sheria kali katika kulinda kodi za wananchi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.”…
6 March 2026, 6:00 pm
Mwanakulya “Wanawake chachu ya maendeleo”
“Msherehekee na kuanzimisha siku ya wanawake duniani” Na Samwel Mbugi Wanawake manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutambua na kuthamini mchango wa mwanamke katika jamii. Akizungumza mbele ya wanawake katika ukumbi wa manispaa ya…
6 March 2026, 09:27
Wakulima wa pamba waomba sheria kali waliochezea mizani msimu mwaka jana Simiyu
“Tunatumia nguvu kazi kubwa sana hadi pamba kufika sokoni tukitarajia tutapata faida kutokana na kile ambacho tumekifanya kwa msimu mzima wa kilimo halafu panatokea mtu mmoja tu anaanza kutengeneza faida kutokana na jasho la watu wengine hii haipo sawa tunawavunja…