Maji
May 1, 2024, 4:36 pm
Nyumba 11 zabomoka kutokana na mvua kubwa,Kijiji cha Mwashimbai
Nyumba zilizoanguka hazikuzingatia ujenzi bora wenye kuvumilia hali ya hewa ya sasa Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya nyumba 11 katika kijiji cha Mwashimbai kata ya Ngaya halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga zimeanguka kutokana na changamoto ya mvua zinazoendelea…
16 April 2024, 4:00 pm
Amuua mke kisa wivu wa kimapenzi
Matukio ya kujeruhi na kuua wenza wao yamezidi kushamili katika maeneo ya Kanda ya ziwa hasa katika wilaya ya Sengerema ambapo zaidi ya matukio matano yameripotiwa kutokea ndani ya miezi mitatu. Na:Said Mahera Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina la Jackson…
February 6, 2024, 9:24 pm
DC Makete aiagiza MAKEUWASA kuhakikisha mradi wa maji Isaplano unakamilika
Ikiwa ni muda mrefu umepita tangu kuanza kutekelezwa kwa Mradi wa Maji katika kata ya Isaplano Mkuu wa wilaya ya Makete Mh.Juma Samweli Sweda ameagiza Mamlaka ya Maji safi na Mazingira kuhakikisha mradi huo unakamailika kwa wakati Na Ombeni Mgongolwa…
6 February 2024, 7:01 pm
Wananchi Hanang walalamikia maji
Wananchi wa kata ya Maskata wilayani Hanang waiomba serikali kurejesha miundombinu ya maji. Na Mzidalfa Zaid Wananchi wa kijiji cha Lambo kata ya Maskata wilayani Hanang mkoani Manyara wamelalamikia changamoto ya maji katika kijiji hicho ambapo wamesema walipata huduma ya…
31 January 2024, 08:39
Wizara ya Maji yaishukru UNICEF
Na Ezekiel Kamanga Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amefanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wanawake na Watoto Duniani (UNICEF) nchini Tanzania Bi. Elke Wisch. Mazungumzo yamefanyika katika ofisi za…
25 January 2024, 16:04
Bilioni 30 kutumika mradi wa maji wa miji 28 Kasulu
Zaidi ya bilioni 30 zimetengwa na Serikali katika halmashauri ya mji kasulu kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 kasulu mjini ambao unajengwa kata ya kumnyika katika halmashauri hiyo. Michael Mpunije Kutoka Wilaya ya Kasulu ametuandalia…
24 January 2024, 16:02
Wananchi walia na ukosefu wa maji, watumia maji ya mito na visima
Baadhi ya Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kutokana na huduma hiyo kushindwa kuwafikia kwa zaidi ya miaka 60 na kuwalazimu kutumia maji machafu kutoka…
24 January 2024, 2:34 pm
Rc Manyara akabidhi pikipiki 66 jumuiya za maji ruwasa,
Mkuu wa Mkoa wa Manyara amekabidhi piki piki 66 kwa jumuiya za maji katika wilaya za mkoa wa Manyara Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amekabidhi piki piki 66 kwa jumuiya za maji katika wilaya zote…
23 January 2024, 8:00 pm
Aweso aitaka Duwasa kumaliza tatizo la maji UDOM
Kwa mujibu wa makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM anasema chuo hicho kinakadiriwa kuwa na wanafunzi takribani elfu 36 hivyo kuchangia ongezeko la uhitaji wa huduma ya maji katika chuo hicho. Na Thadei Tesha.Waziri wa maji mh Juma…
23 January 2024, 5:55 pm
Vyanzo vya maji asili siyo salama zaidi kipindi hiki cha mvua Geita
Serikali wilayani Geita imeendelea kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Na Mrisho Shabani: Serikali wilayani Geita imewataka wakazi wa Kata za Katoro , Ludete na Nyamigota wilaya humo kuepuka kutumia maji ya kwenye…