Radio Tadio

Maji

23 June 2026, 11:27 am

Jeneza kuwekwa juu ya gari la Dc, Dc Timbuka atoa ufanunuzi

Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amesema serikali na vyombo vya ulinzi vilichukua hatua mbalimbali kudhibiti sintofahamu zilizojitokeza wakati wa mazishi ya kijana Emanueli, ikiwemo kuwaachilia waliokamatwa na kutumia nguvu kiasi kurejesha utulivu na kwamba mazishi yalikamilika salama…

6 June 2026, 9:23 pm

CCM Geita yapiga marufuku siasa za makundi

Ujenzi wa ofisi hiyo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha shughuli za CCM ngazi ya kata na kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa majukumu ya chama Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nikolaus Kasendamila amewataka wanachama wa…

1 May 2026, 1:17 am

Rasmi waziri katambi afunga kambi ya nduta kibondo

Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za  maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…

17 April 2026, 16:26

Simiyu kuandika historia ya umeme Mei 30

“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ambao hauwezi kuwa kikwazo hasa kwa wafanyabiara na wajasiriamali ambao shughuli zao zinahitaji nishati hiyo bila kukatika mara kwa mara ili waweze kujiongezea kipato zaidi”. Na Daniel Manyanga  Wakazi wa mkoa wa Simiyu wameiomba…

April 13, 2026, 6:54 pm

Asante Africa Foundation yasaidia wanafunzi 101 Geita

Wanafunzi 101 kutoka shule za sekondari Dhahabu, Evarist na Lwamugasa wamepatiwa vifaa mbalimbali vya kujiendeleza kitaaluma dhamira kuu ikiwa ni kuongeza ufanisi wa sera ya elimu bure. Na Clement Shawishi- Geita Afisa Elimu kata ya Nyarugusu wilayani Geita Bw. Robert…

11 April 2026, 05:52

Wanaume Simiyu wafanyiwa ukatili wa kijinsia

Wakati taarifa kutoka dawati la jinsia na watoto zikieleza kuwa idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ni wanawake na watoto, lakini hali ni tofauti kwa baadhi ya wanaume wa mkoa wa Simiyu, wakieleza kuwa wamepitia ukatili kutoka kwa wake…