Maji
20 July 2026, 11:46
TPA kuendelea kupanua na kuboresha bandari nchini
Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…
19 July 2026, 15:43
Rais Dkt. Samia kuzindua meli nne za mizigo Kigoma
Uzinduzi wa meli za mizigo ndani ya ziwa Tanganyika ni hatua muhimu ya kuufungua mkoa wa Kigoma sasa kuwa lango la kibiashara kwa nchi zinazozunguka ziwa Tanganyika Na Josephine Kiravu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu…
15 July 2026, 06:32
Simiyu kukabiliana na biashara haramu ya binadamu
“Hakuna mtu aliye juu ya sheria ambaye anafikiria atasalimika na mkono wa serikali kutokana na biashara haramu ambazo anafanya tutahakikisha tunathibiti kwa nguvu zote ili kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu”. Na, Anita Balingilaki Katika kuhakikisha kuna kuwepo uthibiti wa usafirishaji…
11 July 2026, 4:43 pm
Viongozi wa vijiji Hai wahimizwa kuwatambua wanaotoa tiba asili
Viongozi wa Vijiji na mitaa wilaya ya Hai wameashwa kuwatambua watu wote wanaotoa tiba asili, kufuatia vifo vya watu wanne wa familia moja waliofariki kwa kudhaniwa wamekunywa dawa za asili. Na Oliver Joel Mwenyekiti wa Mji Mdogo Bomang’ombe, Julius Swai,…
6 July 2026, 7:59 pm
Katibu mwenezi CCM Mkoa wa Geita awataka wananchi kulinda amani
Kufuatia kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii juu ya kufanyika kwa maandamano nchini CCM imeendelea kuwataka kupuuza taarifa hizo zenye lengo la kuvuruga amani. Na Mrisho Sadick: Katibu mwenezi wa CCM Mkoa wa Geita Andrew Mnunke amewataka wakazi wa…
23 June 2026, 11:27 am
Jeneza kuwekwa juu ya gari la Dc, Dc Timbuka atoa ufanunuzi
Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amesema serikali na vyombo vya ulinzi vilichukua hatua mbalimbali kudhibiti sintofahamu zilizojitokeza wakati wa mazishi ya kijana Emanueli, ikiwemo kuwaachilia waliokamatwa na kutumia nguvu kiasi kurejesha utulivu na kwamba mazishi yalikamilika salama…
6 June 2026, 9:23 pm
CCM Geita yapiga marufuku siasa za makundi
Ujenzi wa ofisi hiyo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha shughuli za CCM ngazi ya kata na kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa majukumu ya chama Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nikolaus Kasendamila amewataka wanachama wa…
4 June 2026, 2:19 pm
Wafugaji Simanjiro washauriwa kuhifadhi malisho na kuchanja mifugo
Wafugaji katika Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameshauriwa kuchukua hatua za dharura za kuhifadhi malisho na kulinda vyanzo vya maji, ili kukabiliana na msimu wa kipupwe unaotarajiwa kuwa na baridi kali na ukavu mkubwa. Na Isack Dickson Rai hiyo imetolewa…
1 May 2026, 1:17 am
Rasmi waziri katambi afunga kambi ya nduta kibondo
Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…
24 April 2026, 1:14 pm
Upatikanaji wa maji unavyobadili maisha ya wanawake Simanjiro
Na Isack Dickson Katika Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara, upatikanaji wa maji safi na salama unaendelea kufungua fursa mpya za maendeleo kwa wanawake. Kupitia kilimo cha umwagiliaji, wanawake wengi sasa wanalima mbogamboga, kuongeza kipato cha familia, kuboresha lishe za…