Radio Tadio

Maji

20 July 2026, 11:46

TPA kuendelea kupanua na kuboresha bandari nchini

Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…

19 July 2026, 15:43

Rais Dkt. Samia kuzindua meli nne za mizigo Kigoma

Uzinduzi wa meli za mizigo ndani ya ziwa Tanganyika ni hatua muhimu ya kuufungua mkoa wa Kigoma sasa kuwa lango la kibiashara kwa nchi zinazozunguka ziwa Tanganyika Na Josephine Kiravu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu…

15 July 2026, 06:32

Simiyu kukabiliana na biashara haramu ya binadamu

“Hakuna mtu aliye juu ya sheria ambaye anafikiria atasalimika na mkono wa serikali kutokana na biashara haramu ambazo anafanya tutahakikisha tunathibiti kwa nguvu zote ili kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu”. Na, Anita Balingilaki Katika kuhakikisha kuna kuwepo uthibiti wa usafirishaji…

23 June 2026, 11:27 am

Jeneza kuwekwa juu ya gari la Dc, Dc Timbuka atoa ufanunuzi

Mkuu wa Wilaya ya Siha, Dkt. Christopher Timbuka, amesema serikali na vyombo vya ulinzi vilichukua hatua mbalimbali kudhibiti sintofahamu zilizojitokeza wakati wa mazishi ya kijana Emanueli, ikiwemo kuwaachilia waliokamatwa na kutumia nguvu kiasi kurejesha utulivu na kwamba mazishi yalikamilika salama…

6 June 2026, 9:23 pm

CCM Geita yapiga marufuku siasa za makundi

Ujenzi wa ofisi hiyo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha shughuli za CCM ngazi ya kata na kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa majukumu ya chama Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nikolaus Kasendamila amewataka wanachama wa…

1 May 2026, 1:17 am

Rasmi waziri katambi afunga kambi ya nduta kibondo

Katambi amewataka watanzania kutathmini athari za  maisha ya ukimbizi jambo litakalowafanya waendelee kulinda amani ya nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Patrobas Katambi amefunga rasmi Kambi ya wakimbizi ya Nduta iliyopo wilayani Kibondo mkoani hapa. Kambi hiyo…