Radio Tadio

Maji

28 November 2023, 16:12

77% ya vijiji vimepata huduma ya maji safi na salama nchini

Na Hobokela Lwinga Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) ameitaka Sekta Binafsi kutumia fursa ya milango ya uwekezaji iliyofunguliwa na serikali ya awamu ya sita kuwekeza katika Sekta ya Maji. Wito huo ameutoa jijini Mbeya wakati akifungua…

27 November 2023, 5:28 pm

Mradi wa maji Nzuguni wafikia asilimia 96

Hatua hii ni moja ya njia ya kukabiliana na changamoto ya maji katika jiji la Dodoma ambapo Mradi wa Maji nzuguni unatarajia kuongeza hali ya uzalishaji wa maji kwa asilimia 11 na kuwanufaisha wakazi zaidi ya Wakazi 37,929 katika kata…

19 November 2023, 4:58 pm

RUWASA yakabiliwa na uhaba wa vitendea kazi, wataalam

(RUWASA) ndani ya miaka miwili ya utawala wa awamu ya sita wa Rais Samia Suluhu imefanikiwa kutoa huduma ya maji vijijini kwa asilimia 74. Na Alex Sayi Wakala wa Maji Safi na Mazingira Vijijini wilayani Maswa mkoani Simiyu RUWASA umebainisha…

19 November 2023, 11:18 am

CCM yakerwa kusuasua  miradi ya Maji Dodoma

Ikumbukwe kwamba  mwezi June mwaka huu, Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi Comredi Daniel Chongolo alifanya ziara Mkoani Dodoma na kuagiza kukamilishwa haraka kwa mradi wa maji wa kata ya chali na Ibihwa lakini mpaka sasa miradi yote imesimama kutokana…

13 November 2023, 5:11 pm

DC Mpwapwa abaini upigaji pesa za watumia maji

Sera ya Maji ina inasisitiza miradi ijengwe, iendeshwe na kusimamiwa na wananchi ili ijiendeshe kwa kufanyaa matengenezo kila inapohitajika bila kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Na seleman Kodima. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imeamua kuziunganisha jumuiya za watumia maji (CBWSO) badala…

12 November 2023, 12:36 pm

BUWSSA yapewa kongole usimamizi wa miradi ya maji

Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt. Vicent Naano ameipongeza Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Bunda kwa ubora wa miradi wanayoitekeleza. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt. Vicent Naano ameipongeza Mamlaka ya Maji na…

8 November 2023, 17:53

RUWASA yatatua kero ya maji Buhigwe

Wizara ya Maji Kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, wamefanikiwa kufikia asilimia 72.2 ya usambazaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi, na kupunguza kwa kiwango kikubwa cha ukosefu wa…

8 November 2023, 3:07 pm

RUWASA kuja na mfumo wa kudhibiti upotevu wa mapato

Baraza la madiwani Nsimbo Mkoa wa Katavi waishauri Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini [RUWASA]  kuthibiti Mapato. Na Betord Chove-Nsimbo Baraza la madiwani katika halmashauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi wameishauri Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira…