Maji
5 February 2026, 20:18
Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu
“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga Mtoto mmoja…
21 January 2026, 05:58
DC Simalenga awa mbogo kwa wazazi wasiopeleka watoto shule
“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…
20 January 2026, 12:26
34% ya vifo nchini ni magonjwa yasiyoambukiza
“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga Asilimia 34 ya…
14 January 2026, 20:04
Anamringi: Zimamoto washirikishwe kabla ya ujenzi wa majengo kuanza
“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…
12 January 2026, 15:36
Kilimo cha umwagiliaji mkombozi mwenye tija Simiyu
“Haiwezekani kila kukicha wakandarasi wazama kuilalamikia serikali kutowapatia miradi na badala yake wanawapatia tu wageni swali tu dogo ni lini wakandarasi hao wameomba na hawakupata je vigezo wanatimiza na wanatekeleza kwa ubora bila ya kuwa chenga chenga.” Na,Daniel Manyanga Naibu…
12 January 2026, 13:45
Wabunge Simiyu walia na ubovu wa miundombinu ya barabara
“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…
12 January 2026, 12:50
Mil. 253 kuanzisha mashamba darasa 300 ya malisho nchini
“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …
22 December 2025, 9:30 am
Kilimo cha umwagiliaji kinavyowawezesha wanawake Simanjiro
Na Isack Dickson, Katika Wilaya ya Simanjiro, mabadiliko ya tabianchi si hadithi tena, bali ni ukweli mchungu unaohatarisha usalama wa chakula, hata hivyo kundi la wanawake 111 katika vijiji 5 limeamua kubadili mwelekeo. Kupitia ushirikiano na shirika la TACCEI, wanawake…
18 December 2025, 12:34
Jela miezi 9 kwa kuua kwa maneno baba yake Itilima
“Vijana vijana vijana nawaita mara tatu tafuteni mali zenu za halali kwa kutoa nguvu, akili, uwezo uliopewa na Mungu achaneni kuanza kutamani urithi angali wazazi wako bado wapo hai hapo ni kuliaibisha kundi la vijana taifa la leo na kesho…
4 December 2025, 6:28 pm
Picha: Reuben Sagayika akabidhiwa rasmi ofisi kata ya Kalangalala
Ikiwa ni siku chache tangu kuapishwa rasmi kwa madiwani wateule watakaoongoza kuanzia 2025 hadi 2030, sasa wameanza rasmi majukumu. Na: Ester Mabula Diwani mpya wa Kata ya Kalangalala, Reuben Emmanuel Sagayika, amekabidhiwa rasmi ofisi leo Disemba 04, 2025 kutoka kwa…