Maji
21 September 2023, 18:46
TAEEs yatoa mafunzo kwa bodi za maji 15 Mufindi
Na Kelvin Mickdady -MufindiFM Bodi za kusimamia vyanzo na usafi wa maji wilayani Mufindi zimetakiwa kuboresha mfumo wa ufanyaji kazi ili kuongeza mapato ya serikali kupitia bodi hizo.Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmshauri ya wilaya ya Mufindi Mhe. Festo Mgina…
19 September 2023, 4:31 pm
Mradi wa maji wa Nzugumi wafikia asilimia 87
Mkoa wa Dodoma unazalisha nusu ya mahitaji ya maji ambapo mahitaji ya maji ni lita Milion 133 kwa siku na yanayozalishwa ni lita milion 67.8 hivyo kuwa na upungufu wa lita Milioni 66.7 kwa siku. Na Mindi Joseph. Mradi wa…
17 September 2023, 11:54 am
Dr. Lawrence Mbwambo aifafanua WWF kwa Naibu Waziri wa Maji
Na Edward Lucas “Ni shirika ambalo lipo Tanzania tangu miaka ya 1960 likifanya kazi hasa za Uhifadhi wa Wanyamapori lakini miaka ya 1990 liliongeza uwanda wa Uhifadhi na kuongeza programu za misitu, maji baridi, mazao ya bahari na nishati ”…
13 September 2023, 18:43
Umeme waleta mgao wa maji mkoani Mbeya
Maji ni uhai, viumbe wote hai wanategemea maji hata nje ya viumbe hai bado kumekuwa na uhitaji wa maji,nchi ya Tanzania imekuwa ikitegemea maji kuzalisha nishati ya umeme hivyo maji ni kila kitu kwenye shughuli yoyote ya binadamu. Na Hobokela…
13 September 2023, 13:38
Wananchi Mbeya wahimizwa kutunza mazingira kuongeza uzalishaji wa maji
Maisha ya binadamu yeyote duniani kote yanategemea mazingira na mtunzaji wa mazingira ni binadamu mwenyewe hivyo basi ni wajibu kutunza mazingira ili kuepukana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Na Hobokela Lwinga Kiongozi wa mbio za Mwenge wa…
12 September 2023, 5:10 pm
WWF: Mto Mara ulindwe na utunzwe
Kupitia Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara, Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF limeeleza mikakati linayoifanya kuulinda Mto Mara. Na Edward Lucas Wananchi mkoani Mara wametakiwa kuendelea kutunza rasilimali ya Mto Mara ili kuifanya kuwa endelevu.…
11 September 2023, 5:25 pm
BUWSSA: Wizi wa maji Bunda haukubaliki
Tatizo la wizi wa maji ndani ya mji wa Bunda lipo na wanaendelea kukamata watu wote wanaojihusisha na wizi huo pia mamlaka haipendezwi na tabia hizo. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Bunda mkoani Mara kuacha tabia ya…
8 September 2023, 10:11 am
Miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bil 2.427 yapitiwa na Mwenge wa Uhuru…
RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa wilaya ya Rungwe Jafari Hanniu ametakiwa kusimamia vizuri mradi wa maji wa Ikuti –lyenje ili mradi huo ukamilike kwa muda ulioyo pangwa . Kauli hiyo imetolewa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru…
29 August 2023, 5:11 pm
Wananchi watakiwa kuzingatia unywaji wa maji kwa kiwango kinachohitajika
Hata hivyo, hii inaweza kutofautina kulingana na umri wako, jinsia na kiwango cha shughuli unayoifanya. Na Abraham Mtagwa. Imeelezwa kuwa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa hasa uwepo wa jua kali nyakati za mchana, ni muhimu kwa wanajamii kuzingatia…
28 August 2023, 1:52 pm
Busanda waomba vituo vya kuchotea maji viongezwe
Serikali kupitia wakala wa maji safi na usafi wa mazingira vijijini RUWASA imeendelea kusogeza huduma hiyo hadi maeneo ya vijijini ambayo yalikuwa yakikabiliwa na changamoto ya maji safi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Busanda wilayani Geita wameiomba serikali…