Radio Tadio

Maji

27 Septemba 2025, 12:42 mu

Mgombea ubunge CCM Geita mjini awafikia wajasiriamali Nyankumbu

“Ilani ya CCM kwa mwaka 2025 imeainisha maeneo muhimu yanayogusa maisha ya wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu pamoja na biashara” – Mhandisi Chacha Na:Ester Mabula Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya CCM Mhandisi Chacha Wambura katika…

24 Septemba 2025, 22:47

Wasira atembelea jimbo la Pangani

“Amani ni hewa unavuta bila ushuru lakini kwakuwa ipo unaweza kuona ni jambo lakawaida ni sawa na amani ikiwemo unaona kama haina haja ila ikitoweka ndiyo unona faida yake.” Wasira Na Cosmas Clement Makamu mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi bara…

24 Septemba 2025, 9:45 mu

Mapung’o aahidi kuipeleka kata ya Butobela kileleni

Vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kunadi sera na ilani za vyama vyao ikiwa ni kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Butobela, jimbo la Busanda, wilaya ya Geita,…

18 Septemba 2025, 7:22 um

UWT kusaka kura milioni 16 za Dkt. Samia

Zaidi ya wanawake 700,000 wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Geita hali ambayo inawapa matumaini UWT Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeweka mkakati wa kutafuta kura milioni 16 kwa ajili ya mgombea…

16 Septemba 2025, 8:34 um

CHAUMMA yaahidi kujenga viwanda Geita

Mpango huo ni nyenzo ya maendeleo endelevu na njia ya kuinua maisha ya wananchi wa Geita na maeneo jirani. Na Mrisho Sadick: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA Salum Mwalimu ameahidi…

16 Septemba 2025, 11:10 mu

UDP yaahidi kusimamia rasilimali za nchi

Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ikiwa ni njia ya kunadi sera na mipango yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Edga Rwenduru Chama cha United Democratic Party (UDP) kimewaahidi watanzania kusimamia rasilimali za nchi  kwa…

16 Septemba 2025, 7:39 mu

Dkt. Jafari Rajabu aahidi maendeleo kwa wananchi Busanda

Mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda, wilaya ya Geita kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jafari Rajabu Seif, amezindua rasmi kampeni zake Septemba 15, 2025 kwa kuahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Na: Ester Mabula Akizungumza wakati wa uzinduzi…