Maji
19 Machi 2025, 16:55
IPOSA yatajwa kuwakwamua vijana kiuchumi mkoani Simiyu
‘‘Aliyesema kuwa elimu ni ufunguo wa maisha ni kweli hakukosea ndiyo tunawatu wengi sana ambao hawakuweza kupata elimu ndani ya mfumo rasmi lakini haimaanishi kuwa watu hawa wasiweze kupata fursa ya elimu hata ya ufundi stadi ili kuondoa utegemezi kwenye…
18 Machi 2025, 21:20
Wanafunzi mabalozi wazuri wa usalama barabarani Bariadi
“Elimu ya usalama barabarani bado haikwepeki hivyo mamlaka husika zinao wajibu wa kutoa elimu hasa kwa makundi ambayo yanaweza kuwa msaada mkubwa wa kufikisha elimu kwa jamii kubwa”. Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinaisha au kupungua mkoani…
17 Machi 2025, 9:43 um
Wakandarasi wasio kamilisha miradi kwa wakati, kunyang’anywa kazi
Kulia ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Zainab Katimba na katika ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge TAMISEMI, Jastine Nyamoga (Picha na Sebastian Mnakaya) kasi ya mkandarasi huyo haidhirishi ambapo mpaka sasa ametekeleza ujenzi kwa asilimia 48 pekee huku…
13 Machi 2025, 13:04
Bariadi: Chifu wa Kilulu jela miaka 20, viboko 12 kwa kumiliki fisi
“Je sheria zetu zinasemaje mtu mpaka kuanza kumiliki nyara za serikali bila kuwa na kibali chochote kutoka kwa mamlaka za uhifadhi wanyamapori huyo mnyama mpaka anaanza kumilikiwa je ! mamlaka za uhifadhi tulikuwa wapi kuzuia vitendo hivyo ni fikra zangu…
12 Machi 2025, 18:07
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…
12 Machi 2025, 12:19
Masunga, Daudi jela miaka 5 kwa wizi wa nguruwe wilayani Maswa
“Hatuwezi kuendelea kuona watu ambao wanapambana katika kujikwamua kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali wanarudishwa nyuma na watu ambao hawana nia njema ya kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja hadi Taifa kwa ujumla lazima tuwajibishane kwa kufuata sheria ili kukomesha tabia…
9 Machi 2025, 2:45 um
Mbunge atoa kompyuta 5 Ihanamilo sekondari
Wadau mbalimbali wa elimu wameombwa kuendelea kujitokeza kusaidia sekta hiyo hususani katika masuala ya TEHAMA. Na Mrisho Shabani: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Costantine Kanyasu ametoa Kompyuta zenye thamani ya zaidi ya milioni 10 katika shule ya sekondari Ihanamilo…
7 Machi 2025, 2:13 um
Wanawake Katavi watakiwa kugombea nafasi za uongozi uchaguzi mkuu
Picha ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere. Picha na Anna Mhina “Wanawake wajitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu” Na Anna Mhina Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kujitoka katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.…
26 Febuari 2025, 5:31 um
Serikali ya Mtaa yaifukuza SAMBA MICROFINANCE kwa kuwaumiza wananchi
“Hawa akina mama walikopa mwezi Januari tarehe 30, 2025 walitakiwa kufanya marejesho ya mkopo mwezi March 01, 2025 lakini kabla hata muda wa kurudisha haujafika wamepeleka hela wanakataliwa wanapigwa penati ya mara mbili ya fedha ambayo walitakiwa kurejesha hii sio…
24 Febuari 2025, 15:51
TRA mkoa wa Simiyu yakusanya bilioni 14.2 kwa miezi sita
‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…