Maji
27 Mei 2025, 11:19
Sangamwalugesha yaomba kujengewa soko la kisasa
“Uchumi wetu unajengwa na wajasiliamali wadogo wadogo hivyo tuna kila sababu kwa mamlaka husika kuwatengenezea mazingira mazuri ya wao kufanya biashara ikiwemo miundombinu ya masoko pamoja na kuangalia tozo ambazo hazina afya kwa wafanyabiashara”. Na, Daniel Manyanga Kukosekana kwa soko…
24 Mei 2025, 20:25
Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara
“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…
21 Mei 2025, 16:02
Katakata ya umeme Simiyu yawaibua wananchi
‘‘Tunahitaji nishati ya umeme ya kutosha mahitaji yetu ni kweli juhudi ni kubwa sana zinazofanywa na kiongozi wetu mkuu wa nchi hii Rais ,Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa kutosha ili waweze kuongeza uzalishaji mali na kujiongezea…
12 Mei 2025, 13:05
Wananchi kuchangia pato la taifa kupitia pori la akiba Kijereshi
‘‘Kuchangia uchumi wa nchi kupitia utalii siyo jukumu la watilii wa kigeni kama ambavyo watu wengine wanafikiri sote tunajukumu hilo kama wananchi wazalendo ambao tunazunguka katika maeneo ya hifadhi au mapori ya akiba ili sisi tuwe mabalozi wazuri hata kuwajuza…
10 Mei 2025, 9:17 um
CHADEMA kuvunja makundi, kuendeleza mapambano
CHADEMA yaendelea na kampeni yake ya No reforms, no election katika mikoa ya kanda ya ziwa na leo mei 10,2025 ni zamu ya mkoa wa Geita. Na Mrisho Sadick: Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika…
10 Mei 2025, 1:54 um
CCM yaombwa kuingilia sakata la wananchi kukamatwa Chato
Suala la michango kwa ajili ya shughuli za maendeleo katika kijiji limewatibua baadhi ya wananchi nakukimbilia CCM kuomba utatuzi. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kijiji Cha Kalebezo Kata ya Nyamirembe wilayani Chato Mkoani Geita wamekiomba Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa…
7 Mei 2025, 19:43
PharmAccess yaja na mikopo nafuu kuboresha huduma za afya Zanzibar
Na Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, kuboresha huduma za afya kwa wananchi wote zanzibar , Taasisi ya PharmAccess…
6 Mei 2025, 18:17
Hewa tiba yaokoa gharama za matibabu kwa wananchi Simiyu
‘‘Hatuwezi kuwa na taifa lenye uchumi mkubwa kama watu wake wako wanapambana na changamoto ya miundombinu ya afya lazima kwanza tujali afya za watu ambao ndiyo nguvu kazi ya kuyafikia hayo maendeleo ni kweli tumefanya mageuzi makubwa sana katika sekta…
5 Mei 2025, 17:24
Wakulima wa pamba waomba kutazamwa upya kwa bei ya msimu huu
“Tusikilize hoja za wakulima wa pamba na tuzifanyie kazi maana kuna siku uzalishaji wa zao hilo utakuja kushuka na mwisho tutaanza kumtafuta mchawi ni nani wakati sisi ndiyo tulikuwa watu wa kwanza kufifisha juhudi za wakulima wetu kwa kitu kidogo…
3 Mei 2025, 20:14
Bei ya pamba bado ni kitendawili kwa wakulima
‘‘Nani atamfunga Paka kengele? Je nani ambaye ataziona nguvu za wakulima wa zao la pamba wanapohangaika wakati wa kilimo hivi hatuwezi kuwa na soko huria ili kuipa thamani pamba yetu maana naona kabisa vita vya Panzi furaha ya Kunguru anayeumia…