Radio Tadio

Maji

12 June 2025, 17:42

Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa

“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…

12 June 2025, 2:46 pm

Wananchi watakiwa kuacha kukata miti hovyo

”Wananchi acheni tabia ya kukata miti hovyo ili kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa kijiji cha Chela katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kutunza na kulinda mazingira katika maeneo…

10 June 2025, 10:24

MEK wapigwa msasa kuwatambua wenye mahitaji maalum Bariadi

“Hakuna sheria inayobagua watoto kutokana na mapungufu ya kimaumbile, binadamu wote kwa Mungu wetu sote tupo na haki hivyo ni wakati sasa kwa jamii kuachana na imani kuwachukulia watoto wenye mahitaji maalum kama vile ni mkosi, tuwapatie mahitaji yao kama…

5 June 2025, 20:59

Askofu Sangu aomba ukarabati wa barabara ya Bariadi-Nkololo

“Hakuna maendeleo ya vitu kama watu wako hawana miundombinu rafiki ya barabara maana ndiyo njia Kuu ya wananchi kupiga hatua kimaendeleo maana wakipata shida ya kiafya watawahi kwenye matibabu lakini hata biashara itakuwa katika maeneo husika”. Na, Daniel Manyanga  Askofu…

4 June 2025, 5:19 pm

Nishati safi yaokoa maisha ya wanawake Geita

Matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa wanawake maeneo ya vijijini Mkoani Geita yalikuwa mwiba mchungu. Na Mrisho Sadick: Kuongezeka kwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia maeneo ya vijijini imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza mauaji ya Wanawake yaliyokuwa yakisababishwa…

29 May 2025, 12:19

UVCCM Bariadi yarudisha furaha kwa wagonjwa

‘‘Ni kweli bado jamii yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali zipo familia zenye uwezo wa kiuchumi lakini hizi ambazo hazina uwezo wa kimaisha tunawezaje kuzisaidia ili nazo ziweze kupata furaha hili ni jambo tunaweza kulifanya tu endapo watu wenye uwezo mkubwa…

28 May 2025, 19:51

TAKUKURU Simiyu yaokoa bilion 6 kwenye sekta ya elimu

“Kumaliza rushwa hapa nchini ni changamoto kubwa sana maana hata watumishi umma waliokula kiapo cha uaminifu ndiyo wanakuwa watu na viongozi wa kwanza katika kutekeleza ubadhilifu wa mali za umma halafu hao hao ndiyo wanahimiza uzalendo haya ni maajabu kweli”.…