25 July 2022, 9:31 am

UKOSEFU WA  HUDUMA ZA KIJAMII KIKWAZO KWA WANAWAKE KUWA VIONGOZI.

  Ukosefu wa Huduma muhimu za Kijamii ni changamoto inayorejesha nyuma wanawake kufikia fursa katika demokrasia na  kujihusisha na harakai za uongozi. Ameyasema hayo Mratibu wa Chama Cha Waandishi Wa habari wanawake Tanzania (Tamwa) afisi ya ya  Pemba Fathiya Mussa…

Offline
Play internet radio

Recent posts

26 May 2024, 9:42 pm

Panza wanufaika na uhifadhi wa eneo la bahari

Iwapo wanawake watapewa nafasi katika uhifadhi wa mazingira ya bahari wanaweza kua mabalozi wazuri kwa kuwalea vijana na kuwapa elimu ya uhifadhi wa mazingira hayo. Na Khatib Nahoda Jamii nchini imetakiwa kuwashirikisha wanawake katika shughuli za uchumi wa buluu Ili…

25 May 2024, 6:39 am

Pemba kusogezewa mahakama ya rufaa

Jaji  mkuu wa Zanzibar Khamis Ramadhan amesema mahakama kuu ya Tanzania imedhamiria kujenga kituo jumuishi kisiwani Pemba ili kukidhi haja na matakwa ya wananchi kisiwani humo. Ameyasema hayo  mara baada ya utiaji wa Saini mkataba wa ujenzi kati ya mahakama…

21 May 2024, 4:08 pm

Wenye ulemavu Pemba waomba kupatiwa fursa za kimichezo

Jamii nchini imetakiwa kutoa ushrikiano katika kuwaunga mkono wanawake wenye ulemavu kwenye sekta ya michezo ili kuibua fursa zilizopo katika michezo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wanawake hao wanaojishughulisha na harakati za michezo wilaya ya Mkoani Bi. Fatma Mohd kutoka shehia…

27 October 2023, 6:14 pm

Kamati za mitihani Zanzibar zatakiwa kuzingatia maadili

Kufuatia kufanyika mitihani ya taifa ya  hivi karibuni  Zanzibar,  kamati maalum za usimamizi zimetakiwa kuwa waaminifu kwenye usimamizi wao na kuhakikisha  wanafanya kazi inavyotakiwa kwa kufuatia miongozo yao. Na Amina  Masoud. Kamati za za mitihani za mikoa na wilaya zimetakiwa…