Maji
23 Agosti 2025, 15:37
Fisi waua kondoo, mbuzi wa mwenyekiti wa kitongoji Itilima
“Matukio ya wanyama pori wakali kuvamia makazi ya watu na kuua mifugo kuna kila namna ya kufanya kwa mamlaka za wanyama pori ili kuleta usalama kwa wananchi na mali zao lengo ni kuondoa umasikini kwa jamii kutokana na nguvu kubwa…
20 Agosti 2025, 5:32 um
Wananchi Kahama watakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji
”Wananchi wilayani Kahama changamkieni fursa za uwekezaji na kampuni ya Uwekezaji ya UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS)” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutumia fursa ya kuwekeza fedha zao na kampuni ya…
19 Agosti 2025, 12:26 um
Sheria na kanuni za matumizi ya barabara yazingatiwe
”watembea kwa miguu zingatieni upande wao sahihi wa kupita, kwa mjibu wa sheria za usalama barabarani ni mkono wa kulia wa mtumiaji ili kutoa nafasi ya kuona chombo cha moto kilichombele yake” Na John Juma Watumiaji wa barabara katika Halmashauri…
18 Agosti 2025, 10:23
Watuma salamu nchini wapeleka faraja kwa wagonjwa Simiyu
“Kufanya matendo ya huruma kwa wahitaji siyo utajiri bali ni kuwakumbuka wenye uhitaji kama vitabu vitakatifu vya dini vinavyosema kuwa dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji hivyo basi jamii yenye uwezo ni bora ikawa na moyo wa kuwakumbuka wenzetu…
14 Agosti 2025, 4:17 um
Wajumbe wa CCM Mikononi mwa TAKUKURU Geita
Wakati joto la uchaguzi Mkuu likiendelea kupanda TAKUKURU nayo imekaa mguu sawa kuhakikisha inakabiliana na vitendo vya Rushwa. Na Mrisho Sadick – Geita Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita imewakamata nakuwahoji baadhi ya wajumbe wa…
13 Agosti 2025, 7:11 um
BOT yatoa agizo kuhusu utunzaji wa noti
Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…
9 Agosti 2025, 8:32 um
Wananchi watakiwa kuacha tabia ya kukopa mikopo umiza
Tanzania Commercial Banki (TCB) kwa mwaka jana imetoa mikopo zaidi ya shilingi bilioni 360 kwa wabiashara wadogo na wakati kwa vigezo rafiki. Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuachana na mikopo kwenye taasisi za kifedha zisizo rasmi…
23 Julai 2025, 18:38
Ubalozi wa amani PPA Kagera wanolewa
Taasisi ya Ubalozi wa Amani Mkoa wa Kagera ni moja kati ya taasisi makini zinazoamini katika huduma bora baada ya kupata mafunzo maalum kuhusu mbinu za ulinzi wa amani nchini Theophilida Felician Wanachama wa taasisi ya ubalozi wa amani PPA…
16 Julai 2025, 6:14 um
Yapi madhara vijana kutumika vibaya kwenye siasa?
Msikilizaji na mdau wa Storm FM Sauti ya Geita karibu kusikiliza Makala ya Tafakari Pevu inayoangazia madhara ya vijana kutumika vibaya kwenye siasa kuelekea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Makala hii imeandaliwa na timu nzima ya Storm FM
10 Julai 2025, 5:17 um
Viongozi Kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi
”kasikilizeni na kuzitatua changamoto mbalimbali za wananchi wenu pamoja na kushirikiana katika suala ya maendeleo” Mboni Mhita Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa wilayani ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kusikiliza na kutatua changamoto mbali mbali za wananchi wao pamoja na…