Radio Tadio

Maji

15 Septemba 2025, 8:25 mu

Katoro waitika uzinduzi wa kampeni za CCM jimbo hilo

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi mikakati ya kuhakikisha maendeleo yanashuka hadi ngazi za chini. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi kampeni katika Jimbo jipya la Katoro Mkoani Geita kwa msisitizo wa kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi hususan…

13 Septemba 2025, 2:22 um

Katibu wa vijana CHADEMA Nyarugusu ajiunga CCM

Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…

12 Septemba 2025, 5:28 mu

Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi CCM akemea makundi

“Kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kutafuta ushindi wa chama chetu na sio kuendelea kuvunja nguvu katika masuala yasiyo leta tija ndani ya chama” – Mwenyekiti Nyamaigoro Na: Ester Mabula Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya CCM wilaya ya Geita…

5 Septemba 2025, 14:44

Magembe wa Sunzula atupwa jela miaka 30

“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…

3 Septemba 2025, 15:42

Wadau kuja na mkakati elimu jumuishi Ifakara

Kongamano la elimu jumuishi ambalo limewakutanisha wadau mbalimbali kwa pamoja, wameahidi kuendeleza juhudi za kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wote, bila ubaguzi. Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote bila ubaguzi, kongamano la elimu jumuishi limefanyika leo…

23 Agosti 2025, 9:28 um

Hawa hapa walioteuliwa kugombea ubunge Geita

Kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa cha uteuzi wa wagombea kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Amos Makalla ametangaza majina…