Radio Tadio

Maji

19 February 2026, 15:44

Ukarabati MV Liemba wafikia asilimia 55 Kigoma

Serikali kupitia Wizara ya uchukuzi imesema haitosita kuchukua hatua za kisheria kwa wasimamizi wanaopewa dhamana ya kusimamia miradi ya maendeleo ambao wanashindwa kuendana na kasi ya serikali katika utekelezaji na ukamilishaji wa miradi kwa wakati Na Tryphone Odace Naibu Waziri…

19 February 2026, 13:03

Jeshi la zimamoto na uokoaji lapata mtambo wa kisasa

“Kuna wilaya zingine hazina hata gari la zimamoto la kisasa kama hili lenye uwezo mkubwa wa kubeba tani tano lakini sisi tumepata lazima tukatunze sana huo mtambo ili uwasaidie wananchi panapotokea changamoto ya moto tuweze kuzima ili kuzuia madhara kwa…

18 February 2026, 10:41

Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi

“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga  Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…

17 February 2026, 15:45

Baraza la madiwani Maswa lapitisha bil. 51 mwaka 2026/27

“Tunahitaji kuona miradi inayotekelezwa iwaguse moja kwa moja wananchi katika kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ili kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja kutokana na shughuli anayoifanya”. Na,Daniel Manyanga  Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu…

15 February 2026, 12:44 am

Diwani kata ya Ichwankima ahimiza umoja

“Maendeleo ya kata yetu yanahitaji umoja na ushirikiano na tuweke makundi pembeni, na mimi nawahakikishia nitakuwa kiongozi wa wote bila kumbagua mtu” – Diwani Kulwa Ludaho Na: Ester Mabula Diwani wa Kata ya Ichwankima wilayani Chato, mkoani Geita, Kulwa Elias…

13 February 2026, 15:21

Wandishi wa habari waombwa kuwa sehemu ya mabadiliko ya tabianchi

“Tunamatumaini makubwa kutoka kwenu ya kuleta chachu ya mabadiliko ya tabianchi jamii ifahamu madhara yake na namna ya kukabiliana na mabadiliko hayo”. Na,Anita Balingilaki Mabadiliko ya tabianchi ambayo yamekuwa chanzo kikubwa  cha kusababisha mafuriko na ukame kwenye maeneo mbalimbali yanatajwa…

5 February 2026, 20:18

Paulo Bunga wa Malita auliwa na mamba mto Simiyu

“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga  Mtoto mmoja…