Maji
5 October 2023, 20:35
Bilioni 5 zawanufaisha wananchi ujenzi mradi wa maji Mbarali
Maji ambayo imekuwa ikitajwa kuleta migogoro ya kindoa, kwa ujumla kero hiyo imekuwa ikitatuliwa pindi ambapo mamlaka yenye wajibu wa kupeleka huduma inapopeleka eneo husika, huku wajibu wa kutunza mradi huo likibaki wa watumiaji ambao ni wananchi. Na mwandishi wetu…
4 October 2023, 7:29 pm
Gilyoma: Bunda kutumia mita mpya za maji
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA inatarajia kufunga mita mpya takribani 6000 na kuondoa mita za zamani Na Catherine Msafiri Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) Bi. Esther Gilyoma, amesema…
3 October 2023, 10:55 am
Wahandisi watakiwa kusimamia wakandarasi miradi ya maji Pemba
Kukamilika kwa miradi ya maji safi kisiwani Pemba yanayotarajia kufikia kila kijiji baada ya kukamilika miradi hiyo itafika kila kijiji na kuwafikia wananchi kwa masaa 24 bila ya kukatika. Na fatma Rashid Msimamizi wa huduma za jamii kutoka Ofisi ya…
September 29, 2023, 9:39 pm
Biteko amtaka Aweso kufanya ziara kata ya Murusagamba
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dr.Dotto Mashaka Biteko amemtaka Waziri wa Maji Juma Aweso kufanya ziara katika kata ya Murusagamba wilayani Ngara ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi hao. Na, Marco Pastory: Naibu Waziri Mkuu na Waziri…
28 September 2023, 3:14 pm
WWF kuboresha chazo cha maji kisima cha Ryawaka- Rorya
Watalaamu wa Shirika la WWF leo 28 Sept 2023 wametembelea chanzo cha maji ya kisima cha Ryawaka kilichopo Kijiji cha Kwibuse Kata ya Kisumwa wilaya ya Rorya Mkoani Mara. Na Thomas Masalu Watalaamu wa Shirika la WWF leo 28 Sept…
27 September 2023, 12:45 pm
Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba
Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao mwenyekiti wa mtaa alinusurika kupigwa Na Adelinus Banenwa Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao…
27 September 2023, 12:24 pm
Jamii yaaswa kuendelea kutunza vyanzo vya maji
Lengo la upimaji wa maji ya mto huo ni kutaka kubaini hali ya afya ya mto Tigite katika vigezo vya asili na vya kisayansi, kazi hiyo imefanyika leo 26 sept 2023 Na Thomas Masalu. Maji ni kichocheo muhimu cha maendeleo…
26 September 2023, 6:00 pm
Uhaba wa maji wahatarisha usalama wa wanafunzi Vilindoni
Na Mindi Joseph. Ukosefu wa Maji katika shule ya msingi Vilindoni imeendelea kuhatarisha usalama wa wanafunzi.Wanafunzi wa Shule hiyo wanalazimika kubeba dumu la lita tano ya maji kutoka nyumbani wengine wakifunga safari kwenda kuchota maji katika Visima.Mwenyekiti wa kamati ya…
26 September 2023, 3:25 pm
WWF, wadau wapima maji mto Tigite-Tarime
Shirika la WWF kwa kushirikiana na bonde la Ziwa Victoria wamefanya zoezi la kupima maji ya mto Tigite uliopo kijiji cha Matongo kata ya Matongo wilaya ya Tarime ili kubaini afya ya mto huo katika vigezo vya asili na vya…
21 September 2023, 18:46
TAEEs yatoa mafunzo kwa bodi za maji 15 Mufindi
Na Kelvin Mickdady -MufindiFM Bodi za kusimamia vyanzo na usafi wa maji wilayani Mufindi zimetakiwa kuboresha mfumo wa ufanyaji kazi ili kuongeza mapato ya serikali kupitia bodi hizo.Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmshauri ya wilaya ya Mufindi Mhe. Festo Mgina…