Radio Tadio

Maji

5 October 2023, 20:35

Bilioni 5 zawanufaisha wananchi ujenzi mradi wa maji Mbarali

Maji ambayo imekuwa ikitajwa kuleta migogoro ya kindoa, kwa ujumla kero hiyo imekuwa ikitatuliwa pindi ambapo mamlaka yenye wajibu wa kupeleka huduma inapopeleka eneo husika, huku wajibu wa kutunza mradi huo likibaki wa watumiaji ambao ni wananchi. Na mwandishi wetu…

4 October 2023, 7:29 pm

Gilyoma: Bunda kutumia mita mpya za maji

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA inatarajia kufunga mita mpya takribani 6000 na kuondoa mita za zamani Na Catherine Msafiri Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWSSA) Bi. Esther Gilyoma, amesema…

September 29, 2023, 9:39 pm

Biteko amtaka Aweso kufanya ziara kata ya Murusagamba

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dr.Dotto Mashaka Biteko amemtaka Waziri wa Maji Juma Aweso kufanya ziara katika kata ya Murusagamba wilayani Ngara ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi hao. Na, Marco Pastory: Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

27 September 2023, 12:45 pm

Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba

Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao mwenyekiti wa mtaa alinusurika kupigwa Na Adelinus Banenwa Wakazi wa Mcharo Sasa waanza kunywa maji ya Bomba ni ule mradi unaotekelezwa na RUWASA ambao…

27 September 2023, 12:24 pm

Jamii yaaswa kuendelea kutunza vyanzo vya maji

Lengo la upimaji wa maji ya mto huo ni kutaka kubaini hali ya afya ya mto Tigite katika vigezo vya asili na vya kisayansi, kazi hiyo imefanyika leo 26 sept 2023 Na Thomas Masalu. Maji ni kichocheo muhimu cha maendeleo…

26 September 2023, 6:00 pm

Uhaba wa maji wahatarisha usalama wa wanafunzi Vilindoni

Na Mindi Joseph. Ukosefu wa Maji katika shule ya msingi Vilindoni imeendelea kuhatarisha usalama wa wanafunzi.Wanafunzi wa Shule hiyo wanalazimika kubeba dumu la lita tano ya maji kutoka nyumbani wengine wakifunga safari kwenda kuchota maji katika Visima.Mwenyekiti wa kamati ya…

26 September 2023, 3:25 pm

WWF, wadau wapima maji mto Tigite-Tarime

Shirika la WWF kwa kushirikiana na bonde la Ziwa Victoria wamefanya zoezi la kupima maji ya mto Tigite uliopo kijiji cha Matongo kata ya Matongo wilaya ya Tarime ili kubaini afya ya mto huo katika vigezo vya asili na vya…

21 September 2023, 18:46

TAEEs yatoa mafunzo kwa bodi za maji 15 Mufindi

Na Kelvin Mickdady -MufindiFM Bodi za kusimamia vyanzo na usafi wa maji wilayani Mufindi zimetakiwa kuboresha mfumo wa ufanyaji kazi ili kuongeza mapato ya serikali kupitia bodi hizo.Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmshauri ya wilaya ya Mufindi Mhe. Festo Mgina…