Dodoma FM
Dodoma FM
26 July 2023, 5:55 pm

Je wakazi wa eneo hili bado wanadumisha mila na desturi.
Na Yussuph Hassan.
Bado tupo wilayani Bahi kuitazama historia ya wilaya hii na leo tutafahamu kuhusu wenyeji wa eneo hili ni kabila gani hasa.