Dodoma jiji kucheza na Azam FC kesho uwanja wa Jamhuri Dodoma
Dodoma jiji kucheza na Azam FC kesho uwanja wa Jamhuri Dodoma
21/04/2021, 12:50
Na; Matereka Junior
Makocha wa timu zote mbili Dodoma jiji na Azam fc wamezungumzia maandalizi yao ya mwisho kuelekea mchezo wao wa kesho Alhamis katika uwanja wa Jamhuri.