Dodoma FMmichezomichezoLigi ya wilaya yaanza jijini Dodoma Ligi ya wilaya yaanza jijini Dodoma 12 April 2021, 2:06 pm Na; Matereka Junior Ligi ya wilaya imeanza rasmi jana na mechi ya ufunguzi imewakutanisha kati ya WAGONGA NYUNDO 3-0 NZUGUNI RANGERS. Katibu wa DUFA, Omarooh Omar amezungumzia kuanza kwa ligi hii. CLIP OMAROH michezo Share