michezo
18 August 2026, 4:10 pm
Matumizi holela ya simu kwa watoto yatajwa kuchochea ukatili
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutambua wajibu na mipaka yao katika jamii ili kusaidia kupunguza vitendo vya ukatili, hususan ukatili dhidi ya watoto na ukatili wa kijinsia. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Afisa wa Dawati la Jinsia na…
17 August 2026, 08:22
DC Kigoma ahimiza wananchi kuzingatia usafi wa mazingira
Usafi wa mazingira ni jambo muhimu sana katika maisha ya kila siku na kila mtu ana wajibu wa kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama na hii ni muhimu zaidi katika maeneo ya sokoni kwa sababu sokoni hukusanyika watu wengi na…
14 August 2026, 10:52
DC Uvinza ahimiza wananchi kuchangamkia fursa ya uchumi rejeshi
Uchumi rejeshi kutoka kwenye taka ni mfumo wa kuzifanya taka ambazo zingeonekana hazina matumizi kuwa rasilimali yenye thamani ya kiuchumi kupitia ukusanyaji, uchakataji, urejelezaji na matumizi mapya Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mh. Dinah Mathamani, amewahimiza wananchi…
27 July 2026, 11:24
Wananchi watakiwa kuzingatia usafi wa mazingira Kasulu
Usafi wa mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya kila siku na mazingira safi huchangia afya bora ya watu, huongeza ustawi wa jamii, na husaidia kuzuia kuenea kwa magonjwa Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani…
19 July 2026, 16:02
TAWEA na CAF wazindua mradi wa kulinda mazingira Kigoma
Utunzaji wa mazingira ni msingi wa maendeleo endelevu, kwani unalinda afya, uchumi na ustawi wa jamii huku ukihakikisha rasilimali za asili zinadumu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo Na Emmanuel Kamangu Mradi wa Green Alert unaofadhiliwa na CAF…
16 July 2026, 6:57 pm
Manyara kuja na mpango wa kuzuai ukeketaji
Mkoa wa wa Manyara unatarajia kuja na mkakati wakutomeza ukeketaji Tanzania ambao utafika kwenye halmashauri ya wilaya ya Mbulu iliyoshamiri zaidi kwa vitendo hivyo. Na Marino Kawishe Serikali mkoani Manyara imesema inaendelea kupambana na vitendo vya ukatili vilivyoshamiri kwenye baadhi…
16 July 2026, 16:49
TAWEA kusimamia utunzaji wa hifadhi za misitu Kasulu
Utekelezaji wa mradi wa uhifadhi wa mazingira katika vijiji vinne vinavyozunguka Hifadhi ya Msitu wa Makere Kusini na pori la Akiba la Moyowosi, katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, unaotekelezwa na Shirika la TAWEA, umetajwa kuleta mabadiliko chanya…
21 June 2026, 20:32
Dimani yapanga operesheni kudhibiti madawa ya kulevya
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama, Rehema Makame Msheli, amewataka wazazi kuimarisha malezi ya watoto ili kuwakinga dhidi ya matumizi ya madawa ya kulevya. Viongozi wa wilaya hiyo wameeleza kuwa matumizi ya madawa ya kulevya yanachangia ongezeko la uhalifu…
20 June 2026, 22:10
Wavamizi wa misitu watakiwa kupisha ifikapo Julai 2026
Baadhi ya wakazi wanaoishi maeneo hayo wameonesha kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Kigoma huku wakiiomba Serikali kuhakikisha inasogeza huduma zote muhimu katika eneo hilo. Na Mwandishi wetu Serikali Mkoani Kigoma imewataka wananchi waliovamia Hifadhi ya Misitu ya Mkuti na…
18 June 2026, 20:15
Serikali yakabidhi mlima Sunzu kwa TFS Kasulu
Mlima Sunzu umekabidhiwa kwa Wakala wa Misitu Tanzania TFS huku baadhi ya wananchi wakieleza kutoridhishwa na uamzi huo Na Sadick Kibwana Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imekabidhi umiliki wa Mlima Sunzu kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…