Radio Tadio

michezo

13 October 2024, 5:24 pm

Wenye ulemavu wajipanga kushinda uchaguzi Kagera

“Wasioona ni muhimu wajiamini katika kila jambo wanalofanya kwa kuwa wana haki sawa na watu wengine wote hivyo wanapaswa kupewa ushirikiano katika jamii.“ Na: Theophilida Felician -Kagera Kuelekea chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2025 nchini vyama…

2 October 2024, 9:01 pm

TGNP Manyara yamsaidia mzee aliyetelekezewa watoto

Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP Mkoani Manyara umemsaidia mzee Tlaho Meho kumjengea nyumba kwakua mazingira anayoishi ni hatarishi kwake na watoto wadogo alioachiwa na mke wake aliyemtoroka. Na Marino Kaweshe Kituo cha Taarifa na Maarifa  kinachofanya kazi zake kwenye kata…

26 September 2024, 09:54

Mbunge agawa majiko 200 ya gesi kwa wajasiriamali Kibondo

Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kujua umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuhakikisha utunzaji wa mazingira nchini unaendelea kwa kugawa mitungi ya gesi katika makundi mbalimbali ya wajasiriamali na mama ntilie na baba ntilie. Na James Jovin…

24 September 2024, 8:47 pm

Rasilimali zilizopo Katavi fursa ukuaji uchumi kwa wananchi

“Wapo wananchi ambao hawaelewi juu ya kuchangamkia fursa zinazopatikana mkoani Katavi” Na Roda Elias-Katavi Wananchi mkoani Katavi wameeleza namna wanavyonufaika  na  rasilimali zilizopo huku wakiiomba serikali kutatua baadhi ya changamoto . Rasilimali zilizotajwa ni kama vile viwanda vidogo, uwepo wa…

19 September 2024, 11:33

Mwenge wa uhuru wazindua mradi wa maji wa bilioni 1.6 Kasulu

Wananchi katika hamashauri ya wilaya kasulu mkoani kigoma wametakiwa kushirikiana na serikali katika kulinda na kutunza vyanzo vya maji ikiwemo kuacha kufanya shughuli za kibinadamu karibu na vyanzo hivyo. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Kiongozi wa mbio za Mwenge wa…

12 September 2024, 6:07 pm

Wazazi mahiri wapunguza ukatili Manyara

Halmashauri za wilaya mkoani Manyara zimetakiwa  kutambua mchango  unaotolewa na wazazi mahiri ambao wamesaidia kupunguza changamoto za ukatili kwenye maeneo mengi wanayofanyia kazi Na Marino Kawishe Wizara ya maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makundi maalumu imezitaka halmashauri za wilaya…

28 August 2024, 13:51

Vijana watakiwa kutunza mazingira Kasulu

Ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko, halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira kwa kufanya usafi huku ikiendelea kutoa elimu kwa wananchi waweze kuzingatia usafi wa mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Vijana kutoka taasisi ya…

27 August 2024, 13:38

Wenyeviti watakiwa kusimamia usafi wa mazingira Kasulu

Wenyeviti wa mitaa katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kushirikiana na viongozi wa kata kuhamasisha usafi wa mazingira ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Katika zoezi la usafi ambalo limefanyika katika mtaa wa Sido kata ya Murubona…

20 August 2024, 12:42

Wanaochoma misitu kuwekwa mbaroni Kasulu

Serikali wilayani kasulu mkaoni kigoma imesema haitaacha kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wotw wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira kwa kuchoma moto. Na Michael Mpunije – kASULU Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuunga mkono jitihada za serikali…