Radio Tadio

michezo

4 May 2026, 07:43

Mwigulu aagiza taasisi za dini kuimarisha amani

“Pasipokuwa na amani, hata malengo binafsi ya mtu mmoja mmoja ya Mtanzania mmoja mmoja hayawezi kufikiwa,” Na Hafidh Ally Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini ili kuimarisha maadili, mshikamano wa…

30 April 2026, 13:05

Joy Fm yaadhimisha miaka 10 kwa kupanda miti Kigoma

Tukio hilo limebeba ujumbe mzito wa utunzaji wa mazingira na uhamasishaji wa jamii kushiriki katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi Na Mwandishi wetu Katika kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwa Redio Joy FM, uongozi wa redio hiyo umeungana na viongozi…

28 April 2026, 11:05 am

Wahukumiwa miaka miwili jela kuzusha kuibiwa nyeti

Pichani ni Fadhil Elisha Mtega na David Michael Lugendo wakazi wa Usokami, wilaya ya Mufindi waliohukumiwa miaka miwili ( Kila mmoja) na Mahakama ya Hakimu mkazi ya wilaya hiyo. Picha na Witness Alex. Kwa mara ya kwanza duniani suala hilo…

28 April 2026, 10:18

Mradi wa uhimilivu mabadiliko tabianchi waanzishwa Kibondo

Elimu ya mabadiliko ya tabianchi si tu kuongeza maarifa, bali ni chombo muhimu cha kuboresha maisha, kulinda mazingira, na kuhakikisha maendeleo endelevu Na Mwandishi wetu Mfuko wa Green Climate Fund (GCF) kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais imeanzisha…

27 April 2026, 16:24

DC Uvinza ahimiza usafi wa mazingira

Mkuu wa Wilaya Uvinza mkoani Kigoma amesema wananchi hawana budi kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuhakikisha wanaepukana na mazingira ambayo yanaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Wilaya ya Uvinza wameungana kushiriki shughuli za usafi…

27 April 2026, 14:41

Watu 7 hadi 10 hufariki kwa malaria kila mwaka Kasulu

Wananchi katika Halmashauriya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuchukua hatua za kudhibiti ugonjwa Malaria kwa kuweka salama mazingira na kufukia madibwa katika maeneo yao Na Emmanuel Kamangu Imeelezwa watu saba hadi kumi katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu…

27 April 2026, 12:17

DC Kasulu ataka wananchi kuenzi muungano

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni moja ya matukio muhimu zaidi katika historia ya Tanzania, ulioweka msingi wa taifa moja lenye umoja, amani na mshikamano na Muungano huu ulianzishwa tarehe 26 Aprili 1964, ukiziunganisha nchi mbili zilizokuwa huru kuwa Jamhuri…

22 April 2026, 15:46

Idara ya mazingira Kigoma MC yatakiwa kuondoa taka

Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imeanza kutekeleza zoezi la uondaaji wa taka zilipo katika vizimba ikiwa ni mkakati wa kufanya mji wa Kigoma kuwa msafi. Na Mwandishi wetu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kigoma Mjini…

21 April 2026, 09:45

Wanachama CHADEMA wafanya usafi ofisi za Wilaya Kasulu

Usafi wa mazingira umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kulinda afya za wananchi na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi na wataalamu wa afya wanasema kuwa mazingira safi huchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kuenea kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, malaria…

15 April 2026, 09:58

Majiko banifu yaleta afueni kwa kaya 1404 Uvinza

Majiko banifu ni aina ya majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kidogo na katika jamii nyingi, hasa vijijini, watu hutegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia kutokana na changamoto za kiafya, kiuchumi na kimazingira, matumizi ya majiko…