![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
michezo
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2024/07/k27-scaled.jpg)
26 July 2024, 10:02
Usafi wa mazingira pasua kichwa Kasulu mji
Serikali katika halmashauri ya mji wa kasulu mkoani kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanadhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kuwachukulia hatua za kisheria wanaochafua mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo katika halmashauri ya Mji wa Kasulu…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/07/kubakwa.jpeg)
July 24, 2024, 11:00 am
Aliyebaka mwenye ulemavu ahukumiwa kwenda jela miaka 30
Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Babati Martin Masao amesema mnamo februari 6, 2024 Ramadhan Idd Kipusa alimbaka na kumlawiti binti wa miaka 19 ambaye ni mwenye ulemavu wakati mama mzazi wa binti huyo akiwa njiani kuelekea dukani kupeleka maandazi.…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/07/ki10.jpg)
23 July 2024, 2:53 pm
Uchomaji taka kiholela wawaibua wakazi wa Mbugani na Msalala road
Suala la uchafuzi wa mazingira limeendelea kupigwa vita ili kuhakikisha kuwa Jamii inakuwa salama na kujiepusha na magonjwa ya mlipuko. Na: Amon Bebe – Geita Baadhi ya wananchi wa mitaa ya Mbugani na Msalala road halmashauri ya mji wa Geita…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2024/07/kituo.jpg)
19 July 2024, 08:53
KUWASA yapewa heko utatuzi wa kero ya maji
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira manispaa ya Kigoma Ujiji (KUWASA) imesema imeendelea kuboresha miundombinu ya usambazaji wa maji kwenye makazi ya watu ili kuhakikisha wananchi wanapata maji ya kutosha. Na Emmanuel Matinde – Kigoma Kamati ya Siasa…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/14/2024/07/img-20240712-151325-1241-scaled.jpg)
13 July 2024, 9:27 am
Nyaburundu sasa kupata shule mpya ya sekondari
Kiasi cha shilingi milion 584 zimetolewa na serikali kujenga shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Nyaburundu ambayo itasaidia wanafunzi kutoacha shule. Na Mariam Mramba Jumla ya shilingi milioni mia tano themanini na nne zimetolewa na serikali kwa ajili ya…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/07/kubakwa.jpeg)
July 3, 2024, 4:25 pm
Mzee wa miaka 78 ambaka binti mlemavu wa miaka 10
Baada ya mzee wa miaka 78 kumbaka binti wa miaka kumi mwenye ulemavu wilayani Babati mkoani Manyara jeshi la polisi limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo kutokana na matukio mengi kama hayo kutokea katika mkoa wa Manyara. Na…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/07/img-20240628-183453-6.jpg)
3 July 2024, 9:58 am
Ashangaza majirani kwa kuhifadhi taka ndani Msalala Road
Suala la usafi wa mazingira ni jambo ambalo linahimizwa na viongozi kwa jamii kuzingatia ili kuweza kujiepusha na maradhi mbalimbali. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja kwa jina Elia Mayoyo (51) mkazi wa mtaa wa Msalala Road halmashauri ya…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2024/07/volcn-1.jpg)
2 July 2024, 16:28
Volkano la tope lalipuka, hofu yatanda kwa wananchi Kigoma
Serikali katika halmashauri ya wilaya Kigoma imewataka wananchi kutulia wakati ikiendelea kufuatilia hali ilivyo baada ya volkano la tope kulipuka. Na Josephine Kiravu – Kigoma Wananchi wa kijiji cha Pamila kata ya Matendo wametakiwa kuondoa hofu kufuatia kuwepo kwa tope…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/06/img-20240628-wa0002.jpg)
June 28, 2024, 4:51 pm
Jamii Manyara yatakiwa kupinga vitendo vya kikatili
Ili kupunguza vitendo vya kikatili vinavyoendelea nchini, wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalea watoto wao na kuwapa malezi bora yatayowakinga na ukatili unaofanyika katika familia na mitandao. Na Angel Munuo Wazazi na walezi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuwalea watoto wao…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/39/2024/06/rc-1024x768-1.jpeg)
21 June 2024, 12:33
Maafisa ardhi Kigoma watakiwa kupima maeneo, kutoa hatimiliki
Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi ambayo imekuwa ikijitokeza maeneo mbalimbali nchini, Halmashauri ya wilaya Kasulu kupitia kwa maafisa ardhi kupima maeneo yote na kutoa hatimiliki. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu ametakiwa kuwaagiza…