Radio Tadio

michezo

22 Aprili 2026, 15:46

Idara ya mazingira Kigoma MC yatakiwa kuondoa taka

Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imeanza kutekeleza zoezi la uondaaji wa taka zilipo katika vizimba ikiwa ni mkakati wa kufanya mji wa Kigoma kuwa msafi. Na Mwandishi wetu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kigoma Mjini…

21 Aprili 2026, 09:45

Wanachama CHADEMA wafanya usafi ofisi za Wilaya Kasulu

Usafi wa mazingira umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kulinda afya za wananchi na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi na wataalamu wa afya wanasema kuwa mazingira safi huchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kuenea kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, malaria…

15 Aprili 2026, 09:58

Majiko banifu yaleta afueni kwa kaya 1404 Uvinza

Majiko banifu ni aina ya majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kidogo na katika jamii nyingi, hasa vijijini, watu hutegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia kutokana na changamoto za kiafya, kiuchumi na kimazingira, matumizi ya majiko…

10 Aprili 2026, 6:07 um

Manyara na siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani

Kuelekea maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani , wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa ushirikiano katika mapambano ya watoto waishio mtaani na kufanya kazi mtaani. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na afisa ustawi…

8 Aprili 2026, 18:09

Wasio na vitunza taka Kasulu kukiona

Wafanyabiashara na wajasiriamali katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia suala la usafi wa mazingira katika maeneo yao ili kudhibiti taka ambazo zimekuwa zikizagaa katika maeneonyao. Na Emmanuel Kamangu Halamshauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma…

30 Machi 2026, 09:13

DC Kigoma ataka wasiozingatia usafi kuchukuliwa hatua

Usafi wa mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu, mazingira yanajumuisha sehemu tunazoishi, tunazofanyia kazi, pamoja na maeneo ya kijamii kama vile shule, masoko na hospitali. Na Mwandishi wetu Mkuu Wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid…

26 Machi 2026, 16:36

DC Kigoma aendesha kliniki ya ardhi kutatua migogoro

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua leo Machi 25, 2026 ameanza Kliniki ya kutatua migogoro ya ardhi kwa Wananchi wenye matatizo ya ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wlaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua,…

26 Machi 2026, 13:17

Geuzeni taka kuwa chanzo cha kipato

Shirika la Catholic Relief Services (SRC) limeendelea kuwakutanisha makundi mbalimbali ya wananchi kwa lengo la kuwapa elimu ya uchumi rejeshi ili kusaidia kutunza mazingira na kuhifadhi maji ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Wakazi wa Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia…

21 Machi 2026, 15:21

Kakonko wahimizwa kupanda miti kulinda mazingira

Upandaji miti ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu na viumbe wengine duniani na miti imekuwa na mchango mkubwa katika kuhifadhi mazingira, kuboresha hali ya hewa, na kusaidia maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya…