michezo
27 October 2025, 12:42
Wananchi watakiwa kudumisha usafi wa mazingira Kasulu
Serikali imeendelea kuhamasisha wananchi kuzingatia suala usafi wa mazingira kama ambavyo sheria ya mazingira ya 2016 inavyoelekeza kila mwananchi kuhakikisha mazingira yanayomzunguka yanakuwa safi salama Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanadumisha usafi wa…
October 27, 2025, 12:15 pm
Maandalizi ya uchaguzi Wilaya ya Arusha yamekamilika – DC Mkude atoa tamko
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, amesema maandalizi ya uchaguzi yamekamilika katika maeneo matatu ya kampeni ambayo yanaelekea ukingoni. Aidha, ametangaza kuwa siku ya Jumatano itakuwa mapumziko kwa idara zote ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika zoezi…
October 19, 2025, 11:10 pm
NIDA, Leseni au Pasi ya Kusafiria kutumika kupigia kura
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…
15 October 2025, 3:53 pm
Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…
October 13, 2025, 10:27 pm
Mgombea udiwani CCM Mahamoud Saidi Omary aendelea kunadi sera zake
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, mamia ya wananchi wa Kata ya Ungalimitedi wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Darajani kumsikiliza mgombea udiwani wa Kata ya Ungalimited kupitia Chama cha Mapinduzi…
1 October 2025, 10:27 pm
Mgogoro wa kimapenzi wapelekea moto kuteketeza villa Kusini Unguja
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya wageni (villa) na kusababisha hasara kubwa ya mali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…
21 September 2025, 3:32 pm
Wazazi watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili
Wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalinda watoto wao ambao wamehitimu darasa la saba katika kipindi hiki ambacho wanajiandaa kuingia kidato cha kwanza ili wasifanyiwe vitendo vya ukatili. Na Mzidalfa Zaid Wito huo huo umetolewa na mkuu wa shule ya Greenland Primary…
3 September 2025, 7:01 pm
Jamii Manyara yatakiwa kuwapa watoto lishe bora
Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuhakikisha watoto wote kuanzia umri wa miaka 0 hadi 8 wanapata lishe bora na huduma za malezi jumuishi ili iwasadie katika ukuaji . Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa…
2 September 2025, 11:09
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira Kasulu
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wananchi kuzingatia usafi wa mazingira ili kuepuka mlipuko wa magonjwa Na Hagai Ruyaila Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuongeza juhudi katika utunzaji wa mazingira kwa kuacha kutupa taka…
August 21, 2025, 2:07 am
Shilingi bilioni 45 kujenga madaraja matano Kagera
Shilingi bilioni 45 zinatarajiwa kutumika kujenga madaraja matano mkoani Kagera ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati za mvua hali inayokwamisha shughuli za usafiri na ufarishaji mkoani Kagera. Na Avitus Kyaruzi Serikali inatekeleza ujenzi wa madaraja matano ambayo yamekuwa hatarishi hasa nyakati…