michezo
21 June 2026, 20:32
Dimani yapanga operesheni kudhibiti madawa ya kulevya
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama, Rehema Makame Msheli, amewataka wazazi kuimarisha malezi ya watoto ili kuwakinga dhidi ya matumizi ya madawa ya kulevya. Viongozi wa wilaya hiyo wameeleza kuwa matumizi ya madawa ya kulevya yanachangia ongezeko la uhalifu…
20 June 2026, 22:10
Wavamizi wa misitu watakiwa kupisha ifikapo Julai 2026
Baadhi ya wakazi wanaoishi maeneo hayo wameonesha kutii agizo la Mkuu wa Mkoa Kigoma huku wakiiomba Serikali kuhakikisha inasogeza huduma zote muhimu katika eneo hilo. Na Mwandishi wetu Serikali Mkoani Kigoma imewataka wananchi waliovamia Hifadhi ya Misitu ya Mkuti na…
18 June 2026, 20:15
Serikali yakabidhi mlima Sunzu kwa TFS Kasulu
Mlima Sunzu umekabidhiwa kwa Wakala wa Misitu Tanzania TFS huku baadhi ya wananchi wakieleza kutoridhishwa na uamzi huo Na Sadick Kibwana Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imekabidhi umiliki wa Mlima Sunzu kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…
18 June 2026, 19:28
Kigoma yazindua mkakati wa usafi wa mazingira 2026/2029
Usafi wa mazingira ni muhimu kwa afya ya jamii kwani husaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amezindua mkakati wa Usafi wa Mazingira kwa Mkoa wa Kigoma unaolenga kuweka mwelekeo wa…
17 June 2026, 15:28
Mambosasa walia na vitendo vya kihalifu
Safia Mohamed. Wananchi wa Shehia ya Fuoni Mambo Sasa wameilalamikia serikali kutokana na kuongezeka kwa vitendo vya kihalifu vinavyoendelea kujitokeza katika eneo lao. Wakizungumza na waandishi wa habari katika mahojiano yaliyofanyika katika ofisi ya Sheha wa Shehia ya Fuoni Mambo…
9 June 2026, 11:56 am
Elimu, huduma maalum zinavyobadili maisha ya wasichana wenye ulemavu
Makala hii inaangazia namna elimu ya hedhi salama, huduma za afya na vituo vya ESRAC vinavyowasaidia wasichana wenye ulemavu kujitambua, kujiamini na kuendelea na masomo bila kuachwa nyuma. Na Samwel Mpogole Mussa. Damu ilipoanza kutoka kwa mara ya kwanza, hakuelewa…
7 June 2026, 10:15
Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kulinda mazingira Kasulu
Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya Mazingira, wananchi wameaswa kuungana na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Na Hagai Ruyagila Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza na kuhifadhi mazingira…
21 May 2026, 08:44
GCF yaanza kutoa elimu ya uhifahi wa mazingira Kigoma
Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto kubwa inayokabili dunia kwa sasa na athari zake zimeonekana kupitia ongezeko la ukame, uharibifu wa mazingira, kupungua kwa misitu na kuharibika kwa ardhi Na Emmanuel Kamangu Serikali kupitia mfuko wa dunia wa mabadiliko ya tabianchi…
4 May 2026, 07:43
Mwigulu aagiza taasisi za dini kuimarisha amani
“Pasipokuwa na amani, hata malengo binafsi ya mtu mmoja mmoja ya Mtanzania mmoja mmoja hayawezi kufikiwa,” Na Hafidh Ally Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini ili kuimarisha maadili, mshikamano wa…
30 April 2026, 13:05
Joy Fm yaadhimisha miaka 10 kwa kupanda miti Kigoma
Tukio hilo limebeba ujumbe mzito wa utunzaji wa mazingira na uhamasishaji wa jamii kushiriki katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi Na Mwandishi wetu Katika kuadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwa Redio Joy FM, uongozi wa redio hiyo umeungana na viongozi…