Dodoma FM
Dodoma FM
24 March 2021, 12:06
Na; Mariam Matundu. Viongozi wanawake jijini Dodoma wamesema watamkumbuka daima hayati Dkt.John Magufuli kwa kuwa aliwaamini wanawake na kuwapa nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi cha uongozi wake. Akizungumza na taswira ya habari mmoja wa madiwani wanawake Kata ya…
24 March 2021, 09:09
Na ;Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu, Sera,Bunge,ajira ,vijana na wenye ulemavu Bi. Jenista Mhagama amesema kamati iliyo pewa kazi ya kufanya maandalizi yote ya mazishi imekamilisha maandalizi hayo na bado inaendelea kusimamia mambo mbalimbali. Bi. Mhagama ameyasema hayo…
24 March 2021, 06:21
Na; Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani tayari wamewasili katika uwanja wa CCM Kirumba kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyefariki Dunia…
23 March 2021, 11:36
Na; Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa (UN) umesema Bendera ya Umoja huo itapepea nusu mlingoti katika Ofisi za Makao Makuu jijini New York Nchini Marekani. Bendera hiyo itapepea Machi 26, 2021 ili kumuenzi Rais John Magufuli ambaye atazikwa siku hiyo…
23 March 2021, 10:24
Na; Mariam Kasawa Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli utalala Ikulu Zanzibar leo Jumanne Machi 23, 2021 na kesho asubuhi utapelekwa Mkoani Mwanza. Hayo yameelezwa leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar…
23 March 2021, 06:34
Na; Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa, kufuatia Marekebisho yaliyofanywa katika Sheria ya Madini ambayo ni Matunda ya jitihada za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli yameifanya Tanzania iheshimike kimataifa. Hayo yamebainishwa…
23 March 2021, 06:23
Na; Mariam Kasawa. Hatimaye zoezi la kuuaga mwili wa hayati Dkt. John Pombe Magufuli limekamilika Jijini Dodoma na sasa ni zamu ya Zanzibar. Leo Machi 23 2021 wananchi wa Zanzibar watapata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa rais…
22 March 2021, 12:50
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali walio hudhuria katika tukio la kumuaga Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wamemzungumzia kuwa alikuwa shujaa na mkombozi waTanzania, Afrika na Duniani. Wakizungumza katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Marais Walio hudhuria shughuli hiyo wamesema watamkumbuka…
22 March 2021, 08:57
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali wakiwa uwanja wa Jamhuri katika tukio la kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli. Zoezi la kumuaga Hayati Dkt. John Maguli likiwa linaendelea katika viwanja vya Jamhuri Mkoani Dodoma. Wananchi wamekumbushwa kuendelea kujipanga pembezoni mwa…
22 March 2021, 07:55
Na; Mariam Kasawa. Baada ya uongozi wa mkoa wa Dodoma kutambua hamu ya wakazi wa jiji hili ya kutamani kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli wameamua kuzunguka maeneo mbalimbali ili kila mwananchi aweze kushiriki zoezi hili. Akizungumza na waandishi wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-