Dodoma FM
Dodoma FM
23 March 2021, 10:24 am
Na; Mariam Kasawa Mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Dkt.John Magufuli utalala Ikulu Zanzibar leo Jumanne Machi 23, 2021 na kesho asubuhi utapelekwa Mkoani Mwanza. Hayo yameelezwa leo na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokuwa kwenye uwanja wa Amaan Zanzibar…
23 March 2021, 6:34 am
Na; Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa, kufuatia Marekebisho yaliyofanywa katika Sheria ya Madini ambayo ni Matunda ya jitihada za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli yameifanya Tanzania iheshimike kimataifa. Hayo yamebainishwa…
23 March 2021, 6:23 am
Na; Mariam Kasawa. Hatimaye zoezi la kuuaga mwili wa hayati Dkt. John Pombe Magufuli limekamilika Jijini Dodoma na sasa ni zamu ya Zanzibar. Leo Machi 23 2021 wananchi wa Zanzibar watapata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa rais…
22 March 2021, 12:50 pm
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali walio hudhuria katika tukio la kumuaga Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wamemzungumzia kuwa alikuwa shujaa na mkombozi waTanzania, Afrika na Duniani. Wakizungumza katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Marais Walio hudhuria shughuli hiyo wamesema watamkumbuka…
22 March 2021, 8:57 am
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali wakiwa uwanja wa Jamhuri katika tukio la kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli. Zoezi la kumuaga Hayati Dkt. John Maguli likiwa linaendelea katika viwanja vya Jamhuri Mkoani Dodoma. Wananchi wamekumbushwa kuendelea kujipanga pembezoni mwa…
22 March 2021, 7:55 am
Na; Mariam Kasawa. Baada ya uongozi wa mkoa wa Dodoma kutambua hamu ya wakazi wa jiji hili ya kutamani kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli wameamua kuzunguka maeneo mbalimbali ili kila mwananchi aweze kushiriki zoezi hili. Akizungumza na waandishi wa…
22 March 2021, 5:24 am
Na; Mariam Kasawa Rais mstaafu wa awamu ya nne Mh.Jakaya Kikwete amesema Taifa la Tanzania lipo salama chini ya uongozi wa Rais mpya Samia Suluhu, kwani rais huyo anafahamu kile kilicho fanyika Tanzania, kinachostahili kufanyika pamoja na mipango ya Serikali…
21 March 2021, 1:57 pm
Na; Mariam Kasawa Wakazi wa Mkoa wa Dodoma na maeneo ya jirani wametakiwa kujitokeza mapema katika uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kushiriki zoezi la kumuaga hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Akizungumza na waandishi wa habari Msemaji mkuu wa Serikali Dkt.Hassani…
21 March 2021, 11:57 am
Na; Mariam Kasawa Zoezi la kuandaa uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kuupokea mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli mpaka sasa yamekwisha kamilika . Akizungumza na vyombo vya habari Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri mkuu Patrobas Katambi amesema…
21 March 2021, 10:30 am
Na ; Mariam Kasawa. Marais zaidi ya 10 wa Mataifa mbalimbali Duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli itakayofanyika kesho mjini Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema hadi sasa ana orodha…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-