Dodoma FM
Dodoma FM
17 December 2020, 2:28 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo amewaagiza viongozi wa mikoa kwa kushirikiana na wadau wa elimu kuhakikisha wanakamilisha miundombinu ili wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza waweze kuripoti shule mapema Januari mwaka 2021.Waziri Jafo ameyasema hayo leo…
16 December 2020, 3:06 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Idadi ya vyoo bora nchini imeongezeka kutoka asilimia 62.4 kwa mwaka 2019 hadi asilimia 64 kwa mwaka 2020. Hali hii imechangiwa na usimamizi bora uliofanyika kupitia kampeni ya nyumba ni Choo ambayo inafanyika nchi Nzima kwa lengo…
16 December 2020, 2:16 pm
Na,Fred Cheti, Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli hii leo ameongoza kikao cha kwanza cha Baraza jipya la Mawaziri aliowateua hivi karibuni.Kikao hicho kimefanyika leo Disemba 16 katika ikulu ya chamwino jijini Dodoma na…
15 December 2020, 10:26 am
Lilongwe, Malawi. Waziri wa usalama wa ndani wa Malawi , Richard Banda, amesaini nyaraka kwa ajili ya mchungaji tajiri na maarufu Shepherd Bushiri na mke wake, Mary kurudishwa nchini Afrika Kusini. Hii inafuatia ombi la mahakama ya nchi jirani ya…
14 December 2020, 3:26 pm
Abuja, Nigeria. Gavana wa Jimbo la Katsina la Nigeria Aminu Masari amesema, wanafunzi 333 bado hawajulikani walipo baada ya shambulizi lililofanywa usiku wa Ijumaa na watu wenye silaha katika shule moja ya sekondari katika jimboni Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.…
14 December 2020, 2:56 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Utabiri wa hali ya hewa nchini umetajwa kuwasaidia wakulima katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi yanayojitokeza katika msimu wa Kilimo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima katika kata ya Hombolo jijini Dodoma wamesema kuwa utabiri huo…
14 December 2020, 2:40 pm
Na Thadey Tesha, Dodoma. Wadau wa kilimo nchini wameshauriwa kuwa na mazoea ya kuwatembelea wakulima mara kwa mara kwa lengo la kuwapa elimu ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa chakula nchini.Hayo yamesemwa na afisa kilimo wa Mkoa wa Dodoma Bw.Benard…
14 December 2020, 10:43 am
Younde, Cameroon. Cameroon sasa wako tayari kuwa mwenyeji wa CHAN 2020 baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kuidhinisha miundombinu yake kutoka kwa ukaguzi wa mwisho ulioongozwa na Baf Anthony Baffoe, Naibu Katibu Mkuu anayehusika na mpira wa miguu na…
14 December 2020, 9:52 am
Dar Es Salaam. Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBRC imeandaa mapambano kabambe ya ngumi ya kuanza mwaka. Mapambano hayo yanatarajiwa kufanyika siku ya Valentine Februari 14,2021 katika ukumbi wa Viwanja vya Sabasaba jijini Dar Es Salaam. Mratibu wa mapambano…
12 December 2020, 10:56 am
Jeddah, Saudi Arabia. Klabu ya Al-Ittihad imethibitisha kuwa mshambuliaji wake raia wa Uganda Emmanuel Okwi ataukosa mchezo wa leo wa kwanza wa Ligi Kuu nchini Misri dhidi ya Pyramids Fc kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-