Dodoma FM

Recent posts

20 August 2021, 12:15

Serikali yawataka maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi

Na;Mindi Joseph. Serikali imewataka Maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi ili kuboresha huduma kwa wananchi na kupunguza kero pamoja na kuepuka kupokea rushwa. Akizungumza leo wakati wa kufunga mafunzo ya maafisa biashara Jijini Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara…

20 August 2021, 11:15

Wananchi na Serikali watakiwa kuzingatia na kuzilinda haki za binadamu

Na; Benard Filbert. Serikali pamoja na wananchi wameombwa kuzingatia na kuzilinda haki za binadamu ili kuepusha uvunjifu wa amani katika jamii. Hayo yameelezwa na mwanasheria Daniel Mayula kutoka taasisi ya SAUTI YANGU ambayo imekuwa ikijihusisha na utetezi wa haki za…

19 August 2021, 13:31

Wakazi wa Kawawa waiomba serikali kuwapelekea huduma ya umeme

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Kawawa Kata ya Msanga Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwasaidia kufikisha huduma ya umeme katika Kijiji hicho ili wananchi waweze kwenda na wakati. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…

19 August 2021, 13:06

Wakazi wa Dodoma watakiwa kuzingatia elimu ya kisiki hai.

Na;Yussuph Hans. Wakulima na wafugaji Mkoani Dodoma wameshauriwa kuzingatia elimu ya kisiki hai itakayowasaidia kuwa na kilimo bora pamoja na malisho ya kutosha kwa wanyama. Ushauri huo umetolewa na Mratibu wa Mradi wa kisiki hai Wilaya ya mpwapwa Olipa chipwaza…

18 August 2021, 13:19

Tume ya haki za binadamu kushirikiana na LHCR

Na; Alfred Bulahya. Tume ya haki za Binadamu na Utawala Bora imesaini mkataba wa makubaliano mengine ya kushirikiana kufanya kazi na kituo Cha sheria na haki za Binadamu LHCR Kwa ajili ya kulinda, kutetea na kustawisha haki za makundi maalumu…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger