Dodoma FM
Dodoma FM
20 August 2021, 12:15
Na;Mindi Joseph. Serikali imewataka Maafisa biashara kufanya kazi kwa ushirikiano na weledi ili kuboresha huduma kwa wananchi na kupunguza kero pamoja na kuepuka kupokea rushwa. Akizungumza leo wakati wa kufunga mafunzo ya maafisa biashara Jijini Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara…
20 August 2021, 11:15
Na; Benard Filbert. Serikali pamoja na wananchi wameombwa kuzingatia na kuzilinda haki za binadamu ili kuepusha uvunjifu wa amani katika jamii. Hayo yameelezwa na mwanasheria Daniel Mayula kutoka taasisi ya SAUTI YANGU ambayo imekuwa ikijihusisha na utetezi wa haki za…
19 August 2021, 13:31
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Kawawa Kata ya Msanga Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwasaidia kufikisha huduma ya umeme katika Kijiji hicho ili wananchi waweze kwenda na wakati. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
19 August 2021, 13:21
Na; Benard Filbert. Baadhi ya wakazi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuhakikisha wanatoa elimu katika jamii kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia na ubakaji ili kusaidia kukomesha tatizo hilo. Wamesema hayo wakati wakizungumza na taswira ya habari wakati wakielezea nini kifanyike…
19 August 2021, 13:06
Na;Yussuph Hans. Wakulima na wafugaji Mkoani Dodoma wameshauriwa kuzingatia elimu ya kisiki hai itakayowasaidia kuwa na kilimo bora pamoja na malisho ya kutosha kwa wanyama. Ushauri huo umetolewa na Mratibu wa Mradi wa kisiki hai Wilaya ya mpwapwa Olipa chipwaza…
19 August 2021, 12:52
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chitabuli Kata ya Membe Wilayani Chamwino wametakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja pamoja na barabara inayounganisha Kijiji hicho na Kijiji cha Membe. Akizungumza na Taswira ya Habari Diwani wa Kata ya…
18 August 2021, 14:02
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wamelalamikia uchakavua wa barabara unao sababishwa na magari makubwa yanayobeba madini ya mchanga katika kijiji cha msanga. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema licha…
18 August 2021, 13:46
Na; Selemani Kodima. Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la kiselu wilayani kiteto kunatajwa kusaidia kuchochea uchumi wa wakazi wa kata ya Sunya pamoja na wafanyabiashara wa maeneo ya Gairo na Kongwa. Akizungumza na Dodoma FM Diwani wa kata ya Sunya…
18 August 2021, 13:19
Na; Alfred Bulahya. Tume ya haki za Binadamu na Utawala Bora imesaini mkataba wa makubaliano mengine ya kushirikiana kufanya kazi na kituo Cha sheria na haki za Binadamu LHCR Kwa ajili ya kulinda, kutetea na kustawisha haki za makundi maalumu…
18 August 2021, 13:04
Na; Mariam Matundu. Wadau wa masuala ya jinsia wameomba waandishi wa habari Nchini kuongeza weledi katika masuala ya jinsia ili kuondoa mitazamo hasi hasa kwa viongozi wanawake pale wanapofanya nao mahojiano . Wakizungumza na taswira ya habari wadau hao wamesema…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-