Dodoma FM

Recent posts

31 January 2022, 16:02

Viongozi watakiwa kuwa mstari wa mbele kuhimiza usafi katika maeneo

Na ;Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi jijini hapa  wamesema ili kuhakikisha suala la usafi linapewa kipaumbele katika mitaa mbalimbali ya jiji viongozi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuhimiza suala hilo. wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi jijini hapa…

31 January 2022, 15:19

Umbali mrefu wa kufika shule wapelekea wanafunzi kuacha shule.

Na; Neema Shirima. Imeelezwa kua umbali mrefu wa kufika shuleni umekuwa ni chanzo cha utoro kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Zuzu. Hayo yamesemwa na baadhi ya wananchi wa mtaa wa Chididimo katika kata ya Zuzu ambapo wamesema inawalazimu…

27 January 2022, 15:34

Ucheleweshaji wa miradi hurudisha nyuma matumaini ya wananchi

Na; Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea mwitikio wa wananchi kuchangia nguvu kazi katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo kuwa mdogo  ni pamoja na baadhi ya viongozi kusuasua kukamilisha miradi hiyo. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya…

27 January 2022, 14:45

Wakazi wa Nzasa waiomba serikali iwasaidie kukamilisha ujenzi wa shule

Na ;Victor Chigwada. Wanafunzi wa kijiji cha Nzasa Kata ya Chiboli hulazimika kutembea kila siku  Zaidi ya kilomita 15 kuifata shule ilipo. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wananchi hao wamesema kuwa umbali mrefu umekuwa changamoto kwa wanafunzi wa umri…

26 January 2022, 16:16

Wakazi wa Nzuguni waiomba Serikali iwaboreshee barabara

Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi katika Kata ya Nzuguni  jijini Dodoma wameiomba Serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara pamoja na daraja katika mto unaotenganisha Nzuguni A na B ambapo umekuwa changamoto wakati wa mvua. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi…

26 January 2022, 15:58

Maduka ya Dawa yaliyopo mita 500 kutoka hospitali yatakiwa kuondoewa

Na; Benard Filbert. Baadhi ya wadau wa afya wanaomiliki maduka ya dawa karibu na Hospitali za Serikali wametakiwa kuachana na vitendo vya hujuma kutokana na kutopatikana baadhi ya dawa ndani ya Hosptali huku zikipatikana kwenye maduka yao. Wito huo umetolewa…

25 January 2022, 16:27

Serikali imesema inatambua mchango unaofanywa na vijana wajasiriamali

Na; FRED CHETI.                Serikali imesema kuwa inatambua mchango unaofanywa na kundi la vijana wajasiriamali wadogo maarufu kama Machinga katika kukuza uchumi wa nchi huku ikiahidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa kundi hilo. Kaulu hiyo imetolewa leo na Rais wa Jamhuri…

24 January 2022, 15:45

Msitu wapelekea wakazi wa Ihumwa kuishi kwa Mashaka

Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto wanazokutana nazo katika msitu unaowatenganisha kati ya mtaa wa chang’ombe na mtaa wa mahoma makulu. Wakiongea na taswira ya habari wananchi hao wamesema…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger