Dodoma FM
Dodoma FM
25 March 2026, 16:43
Amekiri kusimama kwa ujenzi wa jengo la mama na mtoto ambalo limefikia kwenye hatua ya kupaua lakini ujenzi umekwama kwa sasa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Ilolo na Muungano wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuingilia kati ili ujenzi wa…
25 March 2026, 11:40
Elimu na masuala ya Mifumo rasmi ya Serikali ambapo wameajiriwa katika ngazi zote za Serikali ikiwa ni pamoja na Vijiji, Kata, Wilaya, Mkoa, Zahanati, Vituo vya Afya na Hospitali. Na Mariam Kasawa.Serikali imesema itaendelea kutoa ajira kwa Maafisa Ustawi wa…
25 March 2026, 09:45
Wananchi wametakiwa kutumia fursa hiyo ya kiteknolojia kujikwamua kiuchumi na kulinda miundombinu hiyo dhidi ya uharibifu. Na Mariam Kasawa Serikali imetakiwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa miundombinu ya mawasiliano nchini ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa vijijini.…
24 March 2026, 17:33
Pamoja na wale wote ambao kwa mujibu wa maoteo walipaswa kuandikishwa darasa la awali na darasa la kwanza, lakini hawajaandikishwa, waweze kupelekwa shule. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewapa siku 07 Maafisa Elimu Kata…
24 March 2026, 17:12
Aidha wameongeza kuwa umbali wa kufuatilia vitambulisho vya Taifa umewakatisha tamaa wengi ambao hawana vitambulisho hivyo ikiwemo vijana na kubaki bila vitambulisho vya Taifa. Na Victor Chigwada. Vijana wa kata ya Ngh’ambaku wilayani chamwino ambao hawana vitambulisho vya Taifa NIDA…
24 March 2026, 16:59
Mpango huo umepitishwa katika vijiji vya Lukole, Mzase, Kingiti, Iyenge, Kidenge, Mgoma, Nzogole na kitati ikiwa ni mwendelezo wa serikali kuhakikisha vijiji vyote nchini vinapangwa, kupimwa na kumilikishwa. Na Steven Noel. Wananchi wa vijiji nane vya Halmashauri ya Wilaya ya…
24 March 2026, 16:31
Ikumbukwe kuwa kila ifikapo Machi 24 kila mwaka Dunia huazimisha siku ya kifua kikuu. Na Jerome john. Wananchi Mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu wawapo kwenye mazingira ya kufanyia kazi au nyumbani. Akizungumza na Taswira…
23 March 2026, 18:48
Na Mariam Kasawa. Kuzuia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kunahitaji ushirikiano wa jamii, serikali, na taasisi kupanda miti, kulinda misitu, na kudhibiti taka. Hatua muhimu ni pamoja na sheria kali za mazingira (Sura 191), kutoa elimu, na kusimamia mipango kabambe…
23 March 2026, 18:22
Licha ya changamoto ya baadhi ya miundombinu ya maji kijijini hapo lakini kumeibuka tabia ya baadhi ya wananchi kushindwa kulipa bili za maji za kila mwezi hali inayo kwamisha uendeshaji wa huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha…
23 March 2026, 17:27
Ameeleza kuwa suala hilo tayari liliwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Jiji ambapo uchimbaji ulisitishwa kwa muda, lakini baadaye ukaendelea tena. Na Mariam Kasawa. Diwani wa Kata ya Zuzu, Jenesta Project Malingo, amesema anaendelea kufuatilia malalamiko ya wananchi wa Mtaa wa Sokoine…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-