Dodoma FM

Recent posts

04/03/2026, 17:42

Uhaba wa nguzo chanzo Mapinduzi A kukosa umeme

Wamejitahidi kufuatilia mamlaka husika lakini utekelezaji ndio umekosekana na kupelekea nishati ya umeme kuendelea kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa Kwa wakazi wa Mapinduzi A. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mtaa wa Mapinduzi A wamepaza sauti juu ya uhaba wa…

04/03/2026, 16:48

HakiElimu na wanafunzi wa mazingira magumu Mpwapwa

Msaada huo umetolewa kama chachu ya wanafunzi wenye mazingira magumu kutimiza ndoto zao za kimasomo. Na Steven Noel. Shirika la HakiElimu  limetoa  msaada wa sare za shule na vifaa  vingine vya kujifunzia kwa  wanafunzi  waishio katika mazingira magumu  wilayani Mpwapwa.…

04/03/2026, 16:30

BASATA yawataka wasanii nchini kujirasimisha

Semina hiyo imelenga kuwajengea uwezo viongozi wa makundi katika maeneo ya uongozi itifaki,elimu ya fedha ,urasimishaji pamoja na matumizi sahihi ya fursa mbalimbali kuelekea Tamasha la 17 la muziki wa kitamaduni wa asili ya chigogo. Na Anwary Shaban. Baraza la…

03/03/2026, 16:38

Elimu ya itifaki yasisitizwa Dodoma

“Dhamira yetu ni kujenga utamaduni wa kuzingatia itifaki katika sekta zote na kuhakikisha huduma hii inawafikia watumishi wengi zaidi,” amesema Sijabeja. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amezitaka taasisi za Serikali na Binafsi kuwapeleka Maafisa Habari…

03/03/2026, 16:23

Wanawake jitokezeni kupata hati miliki ardhi

Serikali ya awamu ya sita imetoa kipaumbele kwa wanawake kuanzia umri wa miaka 18 na kuendelea kupata hati za umiliki wa ardhi. Na Yusuph Hassan.Wanawake Mkoani Dodoma wanaomiliki ardhi wametakiwa kujitokeza katika zoezi la kuchukua hati za umiliki kupitia kliniki…

03/03/2026, 15:31

MOI yafanikisha huduma za kibobezi kwa wagonjwa 10,000

Huduma zingine ni za tiba ya maumivu, huduma ya upasuaji rekebishi wa viungo vilivyopooza, huduma ya upasuaji wa uvimbe na ubongo kwa kutumia teknolojia ya fluorescein na kuanza kwa wodi mpya za kisasa za ‘premier’ kwa ajili ya wagonjwa maalum…

03/03/2026, 12:50

Taasisi Dodoma zapata siku 3 za kusikiliza kero

Amesema kauli mbiu ya “Keroyako, wajibuwangu” imeboreshwa na sasa  KAULI MBIU NI KERO YAKO,WAJIBU WANGU,TABASAMU NA DKT SAMIA ili kuendana na dhamira ya Serikali ya kuona Watanzania wanapata furaha na huduma bora. Na Ibrahim Jamal. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,…

02/03/2026, 17:45

Walio vamia eneo la kimila Mapinduzi A watakiwa kuondoka mara moja

Wananchi wote walio vamia na kujikatia vipande katika eneo hilo kabla ya kusubiri kutolewa na mamlaka wametakiwa kuondoka mara moja. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa hapo awali ili kulinda mazingira ya eneo la kimila Kwa wakazi wa Mapinduzi A waliunda…

02/03/2026, 16:52

Wawezeshaji sekondari watakiwa kuwa na nidhamu na uwajibikaji shuleni

Mafunzo hayo yanatarajiwa kuwajengea wanafunzi maarifa, ujuzi na mitazamo chanya itakayowawezesha kujitambua, kujiamini na kufanya maamuzi sahihi. Na Mariam Kasawa. Wawezeshaji wa Stadi za Maisha katika Shule za Sekondari watakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu katika taaluma yao…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger