Dodoma FM
Dodoma FM
3 December 2025, 3:28 pm
Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…
3 December 2025, 12:43 pm
Changamoto hiyo ni kubwa Kwa wakazi wa Igandu kwani inakwamisha baadhi ya shughuli za kijamii. Picha na Mtandao. Aidha amesema amejitahidi kuwasilisha maombi kwa wakandarasi wanaofanya ukarabati kwenye maeneo ya kalavati Ili kuwajengea kivuko katika reli hiyo. Na Victor Chigwada.…
2 December 2025, 4:29 pm
Kupitia mapato ya ndani ya halmashauri ya jiji la Dodoma, serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu ikiwemo kujenga matundu ya vyoo, madarasa na maabara, lengo ni kuwapatia wanafunzi mazingira salama wezeshi ya kujifunzia. Na Lilian Leopold. Timu ya Menejimenti ya…
2 December 2025, 12:48 pm
Picha ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) William Lukuvi, katika Madhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani. Picha na Jambo Tv. Hapo jana Desemba 1,2025 katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, Serikali imesema…
1 December 2025, 5:20 pm
Maeneo mengi katika Mkoa wa Dodoma na wilaya zake ikiwemo Dodoma, Mpwapwa, Kongwa, Bahi, Chamwino, Chemba na Kondoa yanatarajiwa kupata mvua chache hadi za wastani katika kipindi chote cha msimu. Na Mwandishi wetu.Wananchi wameendelea kupata elimu kuhusu uchaguzi sahihi wa…
1 December 2025, 4:54 pm
Kupitia taarifa ya 2024, NIDA imejisajili na kutambua jumla ya watu miloni 24.5 tangu kuanzishwa kwa zoezi (2012). Kutoka idadi hiyo, NIDA imetoa Namba za Utambulisho (NIN) kwa watu milioni 20.8 Na Victor Chigwada.Wananchi wa mitaa ya Ihumwa,Chilwana na Chang’ombe…
1 December 2025, 4:27 pm
Sheria ya Ununuzi wa Umma imeelekeza taasisi zote za umma kutenga asilimia 30 ya manunuzi yote kwa ajili ya makundi maalumu wakiwemo vijana ili kuongeza ushiriki wao katika uchumi wa Taifa, Na Anwary Shaban.Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwaamini vijana na…
1 December 2025, 1:01 pm
Picha ni ofisi ya Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoa wa Dodoma inayopatikana kata ya Miyuji mtaa wa Mailimbili. Picha na Lilian Leopold. Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zinaonyesha Tanzania ina zaidi ya vijana milioni…
1 December 2025, 12:37 pm
Tafiti za lishe zinaonyesha kuwa ulaji wa karanga unaweza kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa asilimia 15, na pia kuchangia katika kuimarisha kinga ya mwili. Picha na Mtandao. Mbali na kuwa kitafunwa cha kawaida, karanga huchangia kuongeza kinga ya…
28 November 2025, 6:16 pm
Udhalilishaji, kusambazwa kwa picha au video bila ridhaa, na vitisho kupitia mitandao ya kijamii vimekuwa vikiongezeka. Katika ulimwengu wa kidigitali, wanawake wameendelea kuwa wahanga wakuu wa ukatili wa kijinsia mtandaoni. Vitendo vya matusi, udhalilishaji, kusambazwa kwa picha au video bila…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-