Dodoma FM

Recent posts

6 March 2025, 6:09 pm

Mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa miaka 6 Kiteto

Mpaka sasa jumla ya mashahidi wanne (4) upande wa mashtaka wametoa ushahidi wao, mshtakiwa amerejeshwa rumande hadi 19/03/2025 kesi hiyo itakaposikilizwa tena . Na Kitana Hamis.Ally Bahi mwenye Umri wa miaka 37 Mkazi wa Kijiji Cha Ndaleta Wilayani Kiteto Mkoani…

6 March 2025, 5:50 pm

Tanzania nchi ya kwanza kutumia mtambo unaotumia tiba hewa

Hospitali ya Taifa Muhimbili yenye kampasi mbili, ni Hospitali ya Rufaa ya Kitaifa na kubwa kuliko zote nchini yenye vitanda 2,043 ambapo Upanga kuna vitanda 1,435 na Mloganzila vipo 608 ambapo Katika Kampasi zote mbili Wagonjwa 4,000 wanaonwa kwa siku.…

6 March 2025, 5:34 pm

Jeshi la polisi Manyara lamfariji mjane kwa kumkabidhi kiwanja

Miaka kadhaa iliyo pita alimpoteza Mume wake Hali ya maisha yake ilibadilika na kupelekea yeye na familia yake kukosa mahali pa kuishi. Na Kitana Hamis.Jeshi la Polisi Wilayani Babati Mkoani Manyara limemfariji Mjane Mwenye Watoto Sita kwa kumkabidhi kiwanja na…

5 March 2025, 5:23 pm

MOI yafanikiwa kuanzisha huduma zaidi ya 10 za kibobezi

Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) ilianzishwa kwa Sheria ya Bunge namba 7 ya mwaka 1996 lengo likiwa ni kutoa huduma za kibingwa na kibobezi za mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu. Na Alfred…

5 March 2025, 1:14 pm

Tunawezaje kuondoa ukatili wa kiuchumi kwenye familia?

Katika kufahamu suala hilo mwandishi wetu Alfred Bulahya amefanya mahojiano na mkurugenzi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya GFF. Na Alfred Bulahya.Tunapozungumzia ukatili wa kiuchumi ni kitendo cha kikatili ambacho mtu mmoja anaweza kumiliki kwa nguvu vyanzo vya uchumi vya…

5 March 2025, 1:00 pm

Tanzania yashiriki mkutano wa dunia wa mawasiliano ya simu

Wakati huo huo, Waziri Silaa ameshiriki Mjadala wa Kitaifa (National Dialogue Tanzania: Towards a Fully Digitalized Economy) katika kikao cha pembeni na Kampuni ya Watoa Huduma za Mawasiliano Duniani (GSMA) ambao ni waandaji wakuu wa mkutano wa MWC 2025. Na…

5 March 2025, 12:40 pm

Wananchi Kiteto wafanya maombi ya kuomba mvua

Hii hapa taarifa yake kitana hamisi kutoka Wilayani Kiteto. Na Kitana Hamis.Wananchi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara Wamefanya Dua ya kuomba Mvua baada ya kuona Hali ya ukame inazidi huku mazao yakikauka siku hadi siku. Kitana Hamis ametuandalia taarifa kamili huu…

5 March 2025, 12:13 pm

Msangalale walia na SGR kuharibu makazi yao

Wakazi wa maeneo hayo wamesema wamekuwa wakilalamika tangu mwaka 2019. Na Anwary Shaban.Wanachi Dodoma walia uwepo wa SGR unavyoharibu makazi yao. Wananchi wa kitongoji cha Msangalale kata ya Makulu jijini Dodoma wamelalamikia uharibifu wanaoupata kutokana na mafuriko ya maji yanayotoka…

5 March 2025, 11:38 am

Kamishna Mkuu TRA ahimiza ulipaji kodi wa hiari

Kaulimbiu katika Mkutano huo wa Baraza la wafanyakazi wa TRA ni “Baraza la Wafanyakazi ni chachu ya utendaji kazi wenye tija, maadili na utumishi endelevu”. Na Alfred Bulahya.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amewataka…

4 March 2025, 12:15 pm

Yafahamu Mazingira asili ya mkoa wa Dodoma

Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika. Na Yussuph Hassani.Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger