Dodoma FM
Dodoma FM
18 February 2026, 4:31 pm

Afisahuyo amesisitiza juu ya suala la kuzingatia sheria zote zinazo husu ufanyaji wa biashara ili kuwapa uwanja mpana wakufanya biashara zao kwa uhuru.
Jerome John.
WafanyabiasharaMkoani Dodoma watakiwakuzingatia suala la leseni za biashara zao kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.
Wito huoumetolewana Rehema Kionaumela afisa leseni mwandamizi kutoka Brela wakati akizungumza na Taswira ya Habari,amebainisha kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara wanashindwa kuweka leseni zao sehemu ya wazi katika maeneo yao ya biashara na inasababisha wateja kushindwa kuwa na uaminifu kwao.
Aidha bi Rehema ameongeza kuwa mfanyabiashara yeyote hatakiwi kutumia leseni moja katika biashara zake tofauti nikinyume cha sheria na hatua zaidi zinaweza kuchukuliwa endapo akibainika kufanya hivyo.