Radio Tadio

Biashara

22 July 2024, 09:10 am

Upepo wa ajabu waezua paa la nyumba Mtwara

Limeanzia kati kati ya Bahari ,tumeona taswira muonekano kama Samaki wawili wakubwa wenye mvuke wa moshi na upepo mkubwa ambao umeleta taharuki ambao ulikuja kuishia kwenye nyumba ya Bwana Fadhili Ismail Na Musa Mtepa Watu wawili wamenusurika kujeruhiwa na paa…

21 June 2024, 10:29 am

Transfoma yalipuka na kuzua taharuki Mbugani

Wananchi wa mtaa wa Mbugani mjini Geita wamekumbwa na taharuki baada ya transifoma iliyopo katika mtaa huo kupata hitilafu na kushika moto hali iliyopelekea kukatika kwa umeme katika eneo hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Tukio hilo limetokea usiku wa…

15 June 2024, 15:45 pm

TPDC yatoa mafunzo kwa wanafunzi wa STEMCO Mtwara

Sekta ya mafuta na gesi ni sekta nyeti ambayo wananchi wengi wanapaswa kufahamu nini kinafanyika huko na miradi gani inatekelezwa hivyo kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2015 (Petroleum Act 2015) inaipa TPDC hadhi ya kuwa shirika la mafuta katika…

12 June 2024, 12:27

TARI nchini yawafikia wakuliwa migomba Busokelo,Mbeya

Zao la migomba ni zao la chakula na biashara ,katika nchi ya Tanzania ipo mikoa ambayo imekuwa na uzalishaji mwingi kupitia kilimo hicho ikiwemo mikoa ya Kagera eneo la Bukoba na Mbeya katika halmashauri ya wilaya ya Rungwe na Busokelo.…

25 May 2024, 22:36 pm

NEMC, wanahabari kushirikiana kuelimsha jamii Mtwara

Mabadiliko ya tabia yanasababishwa na vyanzo vya asili na shughuli za binadamu ambazo changamoto kubwa zinazoleta na mabadiliko hayo ni Pamoja na kuongezeka kwa kiwango cha joto duniani ,misimu ya mvua isiyotabirika na kuongeze kwa kina cha bahari. Na Musa…

25 May 2024, 15:22 pm

RC Mtwara, wananchi wafanya usafi

Wananchi wengi wameonesha kufurahishwa kwa kitendo cha viongozi wa serikali ya mkoa na wilaya ya Mtwara kuungana nao katika zoezi zima la usafi na wengi wao wakisema kuwa watakuwa na mwendelezo wa zoezi hilo majumbani mwao Na Musa Mtepa Mkuu…