Radio Tadio

Biashara

10 December 2024, 12:15 pm

DC Kaminyoge aongoza wananchi wa Isageng’he kupanda miti

“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…

2 December 2024, 12:44

Viongozi serikali za mitaa watakiwa kulinda amani na usalama

Viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wametakiwa kuhakikisha wanalinda amani na usala katika maeneo yao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Kanal Isaac Mwakisu amewataka viongozi wa serikali za vijiji na vitongoji…

25 November 2024, 14:27

Askofu Mlola awataka vijana kukemea rushwa Kigoma

Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma Mhashamu Joseph Mlola amewataka vijana kuwa mstari mbele kukemea vitendo vya rushwa kwenye jamii hasa kipindi hiki cha uchaguzi wa Serikali za mitaa. Na Emmanuel Kamangu Vijana  mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanakemea ruswa…