Biashara
19 June 2026, 14:28
Wananchi Mtwara wasisitiziwa kuwa walinzi wa Mazingira
Wananchi wametakiwa kulinda mazingira na kuachana na shughuli zinazochangia uharibifu wake ili kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi, huku Serikali na wadau wakihimizwa kuimarisha elimu na usimamizi wa rasilimali Na Musa Mtepa Wananchi wametakiwa kuwa walinzi wa mazingira kwa kuachana…
14 June 2026, 8:54 am
Myinga ataka vikundi kutumia mikopo kwa tija na kurejesha kwa wakati
Pichani ni wajisirimali mbalimbali waliohudhuria katika mafunzo ya mikopo ya asilimia 10 yaliyofanyika shule ya msingi Kibaoni (picha na Juma Robert) Vikundi mbalimbali vya Wilaya ya Hai vilivyoshiriki mafunzo ya ujasiriamali vimeeleza kuwa elimu waliyoipata itawasaidia kusimamia vyema fedha za…
23 May 2026, 11:01
DC Mwaipaya aongoza zoezi la usafi Makaburi ya Msafa
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdala Mwaipaya, ameungana na wananchi kufanya usafi katika Makaburi ya Msafa na kuhimiza jamii kuendeleza usafi wa mazingira ili kuimarisha usalama na afya ya wananchi Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Ndugu Abdala…
1 May 2026, 15:39
TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara
TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…
27 April 2026, 23:38
Wakulima Kijiji cha Kitaya walia na wanayama wahalibifu wa Mazao
Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…
24 April 2026, 10:38 am
Fuime: Ni kosa kuzaa watoto na kushindwa kuwahudumia
“Niwasihi wananchi wazae watoto watakaoweza kuwahudumia” Na Anna Mhina Katika jitihada za kupunguza ongezeko la vitendo vya uhalifu jamii imetakiwa kuzingatia umuhimu wa malezi bora ya watoto watakaokuwa raia wema na wenye mchango chanya katika familia na taifa kwa ujumla.…
April 22, 2026, 3:52 pm
Uchimbaji mgodi wa Msasa kuanza baada ya ukaguzi
Shughuli za uchimbaji zitarejea mgodini hapo baada ya ukaguzi wa Wizara ya Madini kukamilika na kwamba Wachimbaji hawanabudi kuwa na subira na utulivu wakati ukaguzi huo. Na Clement Shawishi – GEITA Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amesema zoezi…
April 20, 2026, 7:26 pm
Geita yang’ara kiuchumi kupitia sekta ya madini, uwekezaji
Uwekezaji katika sekta ya madini umechangia pakubwa sekta hiyo kuongeza pato la Mkoa wa Geita ambalo kwa sasa ni zaidi ya Shilingi Trillion 9 kwa mwaka. Na Clement Shawishi- GEITA Imeelezwa kuwa zaidi ya 40% ya uzalishaji wa dhahabu Mkoani…
17 April 2026, 16:26
Simiyu kuandika historia ya umeme Mei 30
“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ambao hauwezi kuwa kikwazo hasa kwa wafanyabiara na wajasiriamali ambao shughuli zao zinahitaji nishati hiyo bila kukatika mara kwa mara ili waweze kujiongezea kipato zaidi”. Na Daniel Manyanga Wakazi wa mkoa wa Simiyu wameiomba…
23 March 2026, 14:20
Sekondari Naliendele na siku ya hali ya hewa duniani
Wananchi wamehimizwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa kutoka TMA ili kuboresha shughuli zao. Elimu imetolewa kwa wanafunzi Naliendele, wakihamasishwa kuwa mabalozi wa taarifa hizo kwa familia na jamii. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda…