
Biashara

30 May 2023, 5:33 pm
Wafanyabiashara wa soko la Mavunde waomba kuboreshewa miundombinu
Hili ni soko la Mavunde ambalo lipo katika kata ya Chang’ombe jijini Dodoma ambapo miongoni mwa bidhaa zinazopatikana sokoni hapo ni pamoja na mbogamboga na matunda. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Mavunde lililopo Chang’ombe jijini Dodoma…

30 May 2023, 4:29 pm
Wananchi waomba maboresho soko la kimataifa Kibaigwa
Soko la kimataifa la Kibaigwa ni utambulisho wa wilaya ya Kongwa kimataifa hivyo lazima litunzwe kama chanzo cha mapato. Na Bernadetha Mwakilabi. Wafanyabiashara wadogowadogo katika soko la mazao la kimataifa la Kibaigwa wilayani Kongwa wameiomba serikali kufanya maboresho ya kisasa…

24 May 2023, 7:49 pm
Dodoma: Wafanyabiashara kituo cha Mnada Mpya waomba kuboreshewa mazingira
Pamoja na sababu hizo wafayabiahara hao wanasema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ikiwa ni pamoja na kuruhusu mabasi kuingia ndani ya kituo hicho ili waweze kupata wateja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika kituo cha mabasi cha…

24 May 2023, 7:17 pm
Wanawake, vijana watakiwa kubadili mitazamo na kushiriki katika sekta ya kilimo
Jukumu kubwa la taasisi ya uboreshaji wa mifumo na masoko ya kilimo AMDT ni kuwezesha na kuboresha mabadiliko makubwa ya kimkakati kwenye mifumo ya masoko ya sekta za kilimo. Na Mindi Joseph. Vijana na wanawake wametakiwa kubadili mitazamo na kushirikiana…

23 May 2023, 6:30 pm
Wakazi wa Chaduru waomba serikali ikamilishe soko la Tambukareli
Miundombinu ya soko hilo inaelezwa kuwa mibovu na kusababisha wafanyabiashara kushindwa kufanya biashara ndani ya eneo hili. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi wa kata ya Chaduru jijini Dodoma wameiomba serikali kukamilisha kwa haraka miundombinu ya soko la Tambukareli ili…

17 May 2023, 4:19 pm
Kushuka kwa bei ya mafuta ya kupikia kwaleta neema kwa wananchi
Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao wanasema kuwa kushuka kwa bei ya bidhaa hiyo kumechangiwa pia na msimu wa mavuno hususani zao la alizeti. Na Thadei Tesha. Kushuka kwa bei ya mafuta ya kupikia kumetajwa kuleta unafuu kwa wananchi pamoja na…

12 May 2023, 18:00 pm
Brela yawapiga msasa maafisa biashara mikoa 10
Na Msafiri Kipila Wakala wa leseni za biashara Brela wameendesha mafunzo ya siku 3 kwa maafisa biashara wa mikoa 10 ya kanda ya kusini na nyanda za juu kusini, yamefanyika hapa mkoani Mtwara lengo ikiwa ni kutatua changamoto zinazo wakabili.Wakizungumza…

8 May 2023, 4:54 pm
Bei ya kabichi shambani yawaliza wafanyabiashara
kwa sasa wastani wa bei ya kabichi ni kuanzia shilingi 1500 hadi 2000 huku wachache wakiuza kwa bei kati ya shilingi 1000 hadi 1500 kwa kabichi moja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa Mboga mboga aina ya kabichi Jijini…

5 May 2023, 4:38 pm
Wafanyabishara Maisha plus waiomba serikali kufanya ukarabati
Baadhi ya wafanyabiashara wanasema kuwa viongozi hao wamekuwa wakiahidi kupatia ufumbuzi baadhi ya changamoto hizo bila ya kutekeleza ahadi hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga katika soko la maisha plus jijini Dodoma wameiomba serikali kufanya…

05/05/2023, 11:57 am
“Wafanyabiashara wa Mafuta ya mawese zingatieni matumizi sahihi ya vipimo&…
Na glory Kusaga Wafanyabiashara wa Mkoa wa Kigoma hususani wauzaji wa Mafuta ya mawese wameaswa kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo na kuacha kutumia kipimo cha bidoo kwani siyo kipimo sahihi na kinafanya Serikali kushindwa kukusanya kodi kwa usahihi na kufanya…